< Ecclésiaste 10 >

1 Des mouches mortes infectent et corrompent l'huile du parfumeur; de même un peu de folie l'emporte sur la sagesse et la gloire.
Kama nzi walio kufa husababisha manukato kutoa harufu ya uozo, hivyo hivyo upumbavu kidogo hushinda hekima na heshima.
2 Le cœur du sage est à sa droite, et le cœur de l'insensé, à sa gauche.
Moyo wa mtu mwenye hekima huelekea kulia, lakini moyo wa mpumbavu huelekea kushoto.
3 Et aussi, quand l'insensé va dans le chemin, le sens lui manque, et il montre à tous qu'il est fou.
Wakati mpumbavu anapotembea barabarani, fikira zake zina upungufu, ikithibitisha kwa kila mtu kwamba ni mpumbavu.
4 Si l'esprit du prince s'élève contre toi, ne quitte point ta place; car le calme prévient de grandes fautes.
Kama jaziba za mtawala zikiinuka kinyume na wewe, usiache kazi yako. Utulivu unaweza kutuliza ukatili mkubwa.
5 Il est un mal que j'ai vu sous le soleil, comme une erreur qui provient du souverain:
Kuna uovu niliouona chini ya jua, aina ya kosa ambalo huja kutoka kwa mtawala:
6 la folie occupe les postes élevés, et des riches sont assis dans de basses conditions.
Wapumbavu wanapewa nafasi za uongozi, wakati watu walio faulu wanapewa nafasi za chini.
7 J'ai vu des esclaves portés sur des chevaux, et des princes aller à pied comme des esclaves.
Nimewaona watumwa wakipanda farasi, na watu walio faulu wakitembea kama watumwa juu ya ardhi.
8 Celui qui creuse une fosse peut y tomber, et celui qui renverse une muraille peut être mordu par un serpent.
Yeyote anayechimba shimo anaweza kutumbukia yake, na popote mtu anayevunja ukuja, nyoka anaweza kumuuma.
9 Celui qui détache des pierres peut être blessé, et celui qui fend du bois peut se faire mal.
Yeyote achongaye mwawe, anaweza kuumizwa nayo. Na mtu achongaye mbao, anaweza kujihatarisha kwa hiyo.
10 Si le fer est émoussé et si l'on n'a pas aiguisé le tranchant, on devra redoubler de force; mais la sagesse est préférable pour le succès.
Kama chuma bapa kisicho na makali, na mtu hainoi, kisha ni lazima atumie nguvu nyingi, lakini hekima hutoa faida kwa ufaulu.
11 Si le serpent mord faute d'enchantement, il n'y a pas d'avantage pour l'enchanteur.
Kama nyoka akiuma kabla hajafurahi, hivyo hakuna faida kwa mfurahishaji.
12 Les paroles de la bouche du sage sont pleines de grâce; mais les lèvres de l'insensé le dévorent.
Maneno ya kinywa cha mtu mwenye hekima yana huruma. Lakini midomo ya mpumbavu humumeza mwenyewe.
13 Le commencement des paroles de sa bouche est sottise, et la fin de son discours est démence furieuse.
Kama maneno yanavyo anza kutiririka mdomoni mwa mpumbavu, ujinga hutoka, na mwisho mdomo wake hutiririka wazimu mbaya.
14 Et l'insensé multiplie les paroles!... L'homme ne sait pas ce qui arrivera, et qui lui dira ce qui sera après lui?
Mpumbavu huongeza maneno, lakini hakuna ajuaye kinachokuja. Ni nani ajuaye baada yake?
15 Le travail de l'insensé le fatigue, lui qui ne sait pas même aller à la ville.
Jasho la wapumbavu huwavaa wao, hivyo hawajui hata barabara ya kwenda mjini.
16 Malheur à toi, pays dont le roi est un enfant, et dont les princes mangent dès le matin!
Ole wako ardhi kama mfalme wako ni kijana mdogo, na kama viongozi wako huanza karamu ahsubuhi!
17 Heureux es-tu, pays dont le roi est fils de nobles, et dont les princes mangent au temps convenable, pour soutenir leurs forces, et non pour se livrer à la boisson.
Lakini umebarikiwa ardhi kama mfalme wako ni mwana wa waungwana, na kama vingozi wako hula wakati muafaka, kwa nguvu, na sio kwa ulevi.
18 Quand les mains sont paresseuses, la charpente s'affaisse, et quand les mains sont lâches, la maison ruisselle.
Kwa sababu ya uvivu paa huanguka. Na kwa sababu isiyo fanya kazi nyumba hupata ufa.
19 On fait des repas pour goûter le plaisir; le vin rend la vie joyeuse, et l'argent répond à tout.
Watu huandaa chakula kwa kicheko, divai huleta furaha maishani, na fedha hutimiza hitaji kwa kila kitu.
20 Même dans ta pensée ne maudis pas le roi, même dans ta chambre à coucher ne maudis pas le puissant; car l'oiseau du ciel emporterait ta voix, et l'animal ailé publierait tes paroles.
Usimlaani mfalme, hata katika akili, na usiwalaani wenye mali katika chumba chako cha kulala. Kwa kuwa ndege wa angani inaweza kuchukua maneno yako. Chochote kilicho na mabawa kinaweza kusambaza jambo.

< Ecclésiaste 10 >