< 2 Chroniques 23 >
1 La septième année, Joïada, s’étant affermi, prit avec lui comme alliés les centurions Azarias, fils de Jéroham, Ismaël, fils de Johanan, Azarias, fils d’Obed, Maasias, fils d’Adaïas, et Elisaphat, fils de Zechri.
Katika mwaka wa saba, Yehoyada akaonyesha nguvu zake. Alifanya agano na wakuu wa vikosi vya mamia: yaani Azaria mwana wa Yerohamu, Ishmaeli mwana wa Yehohanani, Azaria mwana wa Obedi, Maaseya mwana wa Adaya, na Elishafati mwana wa Zikri.
2 Ils parcoururent Juda et, ayant rassemblé les lévites de toutes les villes de Juda et les chefs de famille d’Israël, ils vinrent à Jérusalem.
Wakazunguka katika Yuda yote na kukusanya Walawi na viongozi wa jamaa za Israeli kutoka miji yote. Walipofika Yerusalemu,
3 Toute l’assemblée fit alliance avec le roi dans la maison de Dieu. Joïada leur dit: « Voici que le fils du roi va régner, comme Yahweh l’a déclaré à l’égard des fils de David.
kusanyiko lote likafanya agano na mfalme katika Hekalu la Mungu. Yehoyada akawaambia, “Mwana wa mfalme atatawala, kama Bwana alivyoahidi kuhusu wazao wa Daudi.
4 Voici ce que vous ferez: Le tiers d’entre vous qui entre en service le jour du sabbat, prêtres et lévites, servira comme gardiens des portes;
Basi hivi ndivyo iwapasavyo kufanya: Theluthi yenu makuhani na Walawi ambao mnaingia zamu siku ya Sabato mtalinda milangoni,
5 un tiers servira à la maison du roi, et un tiers servira à la porte de Jésod; tout le peuple sera dans les parvis de la maison de Yahweh.
theluthi yenu mtalinda jumba la kifalme, na theluthi nyingine mtalinda Lango la Msingi. Walinzi wengine wote mwe ndani ya nyua za Hekalu la Bwana.
6 Que personne n’entre dans la maison de Yahweh, excepté les prêtres et les lévites de service: eux peuvent y entrer, car ils sont saints; et tout le peuple doit garder l’observance de Yahweh.
Hakuna mtu yeyote ataingia katika Hekalu la Bwana isipokuwa makuhani na Walawi walioko kwenye zamu. Wao wanaweza kuingia kwa sababu ni watakatifu, lakini watu wengine wote itawapasa kulinda kile walichoamriwa na Bwana.
7 Les lévites entoureront le roi de toutes parts, chacun les armes à la main et, si quelqu’un entre dans la maison, qu’on le mette à mort; et vous serez près du roi quand il entrera et quand il sortira. »
Walawi watajipanga kumzunguka mfalme, kila mtu akiwa na silaha zake mkononi. Mtu mwingine yeyote aingiaye Hekaluni lazima auawe. Kaeni karibu na mfalme popote aendapo.”
8 Les lévites et tout Juda agirent selon tout ce qu’avait ordonné le prêtre Joïada. Ils prirent chacun leurs gens, ceux qui entraient en service et ceux qui sortaient de service le jour du sabbat; car le prêtre Joïada n’avait exempté aucune des divisions.
Walawi na watu wote wa Yuda wakafanya kama vile kuhani Yehoyada aliagiza. Kila mmoja akawachukua watu wake, wale waliokuwa wakiingia zamu siku ya Sabato na wale waliokuwa wakienda mapumziko, kwa sababu kuhani Yehoyada hakuruhusu kikosi chochote kiondoke.
9 Le prêtre Joïada remit aux centurions les lances et les boucliers, grands et petits, qui avaient appartenu au roi David, et qui se trouvaient dans la maison de Dieu.
Kisha akawapa wakuu wa vikosi vya mamia mikuki na ngao kubwa na ndogo zilizokuwa za Mfalme Daudi, zilizokuwa ndani ya Hekalu la Mungu.
10 Il fit placer tout le peuple, chacun son arme à la main, depuis le côté droit de la maison jusqu’au côté gauche de la maison, près de l’autel et près de la maison, de manière à entourer le roi.
Akawapanga walinzi wote kumzunguka mfalme, kila mmoja akiwa na silaha yake mkononi mwake, karibu na madhabahu na Hekalu, kuanzia upande wa kusini hadi upande wa kaskazini mwa Hekalu.
11 On fit avancer le fils du roi, on mit sur lui le diadème et le témoignage, et on l’établit roi. Et Joïada et ses fils l’oignirent, et ils dirent: « Vive le roi! »
Yehoyada na wanawe wakamtoa Yoashi mwana wa mfalme nje na kumvika taji. Wakampa nakala ya agano na kumtangaza kuwa mfalme. Wakamtia mafuta na kupaza sauti, wakisema, “Mfalme aishi maisha marefu!”
12 Lorsqu’Athalie entendit le bruit du peuple, courant et acclamant le roi, elle vint vers le peuple, à la maison de Yahweh.
Athalia aliposikia kelele za watu wakikimbia na kumsifu mfalme, akawaendea watu katika Hekalu la Bwana.
13 Elle regarda, et voici que le roi se tenait sur son estrade à l’entrée; près du roi étaient les chefs et les trompettes, et tout le peuple du pays était dans la joie; on sonnait des trompettes, et les chantres avec les instruments de musique donnaient des instructions pour les hymnes de louange. Athalie déchira ses vêtements et dit: « Conspiration! Conspiration! »
Athalia akaangalia, tazama alikuwepo mfalme akiwa amesimama karibu na nguzo yake kwenye ingilio. Maafisa na wapiga tarumbeta walikuwa kando ya mfalme, nao watu wote wa nchi walikuwa wanashangilia na kupiga tarumbeta na waimbaji wakiwa na vyombo vya uimbaji, walikuwa wakiongoza nyimbo za sifa. Ndipo Athalia akararua mavazi yake na kupiga kelele, akisema, “Uhaini! Uhaini!”
14 Alors le prêtre Joïada fit sortir les centurions, qui étaient à la tête de l’armée, et leur dit: « Faites-la sortir entre les rangs, et que quiconque la suivra soit mis à mort par l’épée! « Car le prêtre avait dit: « Ne la mettez pas à mort dans la maison de Yahweh. »
Kuhani Yehoyada akawatuma majemadari wa vikosi vya mamia, waliokuwa viongozi wa jeshi, na kuwaambia: “Mleteni nje kati ya safu, na mkamuue kwa upanga yeyote anayemfuata.” Kwa kuwa kuhani alikuwa amesema, “Msimuulie ndani ya Hekalu la Bwana.”
15 On lui fit place des deux côtés, et elle se rendit à l’entrée de la porte des chevaux, vers la maison du roi, et c’est là qu’ils la mirent à mort.
Kwa hiyo wakamkamata alipofika kwenye ingilio la Lango la Farasi katika viwanja vya jumba la mfalme wakamuulia hapo.
16 Joïada conclut entre lui, tout le peuple et le roi une alliance par laquelle ils devaient être le peuple de Yahweh.
Kisha Yehoyada akafanya agano kwamba yeye na watu wote na mfalme watakuwa watu wa Bwana.
17 Et tout le peuple entra dans la maison de Baal, et ils la démolirent; ils brisèrent ses autels et ses images, et ils tuèrent devant les autels Mathan, prêtre de Baal.
Kisha watu wote wakaenda kwenye hekalu la Baali na kulibomoa. Wakavunjavunja madhabahu pamoja na sanamu na kumuua Matani kuhani wa Baali mbele ya hayo madhabahu.
18 Joïada mit des gardiens dans la maison de Yahweh, sous l’autorité des prêtres et des lévites, que David avait distribués dans la maison de Yahweh pour qu’ils offrissent des holocaustes à Yahweh, comme il est écrit dans la loi de Moïse, au milieu des réjouissances et des chants, d’après les ordonnances de David.
Kisha Yehoyada akaweka uangalizi wa Hekalu la Bwana mikononi mwa makuhani, waliokuwa Walawi, ambao Mfalme Daudi alikuwa amewagawa ili wahudumu hekaluni kwa ajili ya kutoa sadaka za kuteketezwa za Bwana kama ilivyoandikwa katika Sheria ya Mose, kwa kushangilia na kuimba kama Daudi alivyokuwa ameagiza.
19 Il établit les portiers aux portes de la maison de Yahweh, afin qu’il n’y entrât aucune personne souillée en quelque manière.
Pia akawaweka mabawabu kwenye malango ya Hekalu la Bwana ili kwamba kwa vyovyote asije akaingia mtu yeyote aliye najisi.
20 Il prit les centurions, les hommes considérés, ceux qui avaient autorité sur le peuple et tout le peuple du pays, et il fit descendre le roi de la maison de Yahweh. Ils entrèrent dans la maison du roi par la porte supérieure, et ils firent asseoir le roi sur le trône de la royauté.
Akawachukua majemadari wa mamia, watu waheshimiwa, viongozi wa watu pamoja na watu wote wa nchi na kumteremsha mfalme kutoka Hekalu la Bwana. Wakaingia kwenye jumba la mfalme kupitia Lango la Juu na kumkalisha mfalme kwenye kiti cha enzi,
21 Tout le peuple du pays se réjouit, et la ville fut tranquille; on fit mourir Athalie par l’épée.
nao watu wote wa nchi wakafurahi. Mji ukatulia kwa sababu Athalia alikuwa ameuawa kwa upanga.