< Psaumes 74 >
1 Cantique d’Asaph. Pourquoi, ô Dieu, nous as-tu rejetés pour toujours? Pourquoi ta colère est-elle allumée contre le troupeau de ton pâturage?
Mungu, kwa nini umetukataa milele? Kwa nini hasira yako inawaka dhidi ya kondoo wa malisho yako?
2 Souviens-toi de ton peuple que tu as acquis aux jours anciens, que tu as racheté pour être la tribu de ton héritage! Souviens-toi de ta montagne de Sion où tu faisais ta résidence,
Wafikilie watu wako, ambao uliwanunua siku nyingi zilizopita, kabila ambalo wewe umelikomboa liwe urithi wako, na Milima Sayuni, mahali uishipo.
3 porte tes pas vers ces ruines irréparables; l’ennemi a tout ravagé dans le sanctuaire.
Uje utazame uharibifu kamili, uharibifu ambao umefanywa na adui mahali patakatifu.
4 Tes adversaires ont rugi au milieu de tes saints parvis; ils ont établi pour emblèmes leurs emblèmes.
Washindani wako walivamia katikati ya mahali pako maalumu; walipandisha bendera zao za vita.
5 On les a vus, pareils au bûcheron, qui lève la cognée dans une épaisse forêt.
Walipakatakata kwa shoka kama katika msitu mnene.
6 Et maintenant, toutes les sculptures ensemble; ils les ont brisées à coups de hache et de marteau.
Walipaharibu na kuvunja sanaa zilizonakshiwa zote; walizivunja kwa shoka na nyundo.
7 Ils ont livré au feu ton sanctuaire; ils ont abattu et profané la demeure de ton nom.
Walipachoma patakatifu pako; walipanajisi mahari unapoishi, wakigongagonga kwenye ardhi.
8 Ils disaient dans leur cœur: « Détruisons-les tous ensemble! » Ils ont brûlé dans le pays tous les lieux saints.
Walisema mioyoni mwao, “Tutawaharibu wote.” Walichoma sehemu zako zote za kukutania katika nchi.
9 Nous ne voyons plus nos signes; il n’y a plus de prophète, et personne parmi nous qui sache jusques à quand...
Sisi hatuoni tena ishara; hakuna tena nabii, na hakuna yeyote miongoni mwetu ajuaye haya yatadumu kwa muda gani.
10 Jusques à quand, ô Dieu, l’oppresseur insultera-t-il, l’ennemi blasphémera-t-il sans cesse ton nom?
Mpaka lini, Mungu, adui atakurushia wewe matusi? Je, atalitukana jina lako milele?
11 Pourquoi retires-tu ta main et ta droite? Tire-la de ton sein et détruis-les!
Kwa nini umerudisha nyuma mkono wako, mkono wako wa kuume? Utoe mkono wako kwenye mavazi yako na uwaangamize.
12 Pourtant Dieu est mon roi dès les temps anciens, lui qui a opéré tant de délivrances sur la terre.
Lakini Mungu amekuwa mfalme wangu tangu enzi, akileta wokovu tuniani.
13 C’est toi qui as divisé la mer par ta puissance, toi qui as brisé la tête des monstres dans les eaux.
Wewe uliigawa bahari; ulishambulia vichwa vya majitu ya kutisha baharini majini.
14 C’est toi qui as écrasé les têtes de Léviathan, et l’as donné en pâture au peuple du désert.
Wewe ulishambulia vichwa vya lewiathani; na kumfanya awe chakula cha viumbe hai jangwani.
15 C’est toi qui as fait jaillir la source et le torrent, toi qui as mis à sec les fleuves qui ne tarissent pas.
Ulizifungulia chemchem na vijito; uliikausha mito itiririkayo.
16 A toi est le jour, à toi est la nuit; c’est toi qui as créé la lune et le soleil.
Mchana ni wako, na usiku ni wako pia; uliweka jua na mwezi mahari pake.
17 C’est toi qui as fixé toutes les limites de la terre; l’été et l’hiver, c’est toi qui les as établis.
Umeiweka mipaka ya nchi; umeumba majira ya joto na majira ya baridi.
18 Souviens-toi: l’ennemi insulte Yahweh, un peuple insensé blasphème ton nom!
Kumbula vile adui alivyo vurumisha matusi kwako, Yahwe, na kwamba watu wapumbavu wamelitukana jina lako.
19 Ne livre pas aux bêtes l’âme de ta tourterelle, n’oublie pas pour toujours la vie de tes pauvres.
Usimtoe njiwa afe kwa mnyama wa porini. Usiusahau milele uhai wa watu wako walio onewa.
20 Prends garde à ton alliance! car tous les coins du pays sont pleins de repaires de violence.
Kumbuka agano lako, maana majimbo ya giza ya nchi yamejaa maeneo ya vurugu.
21 Que l’opprimé ne s’en retourne pas confus, que le malheureux et le pauvre puissent bénir ton nom!
Usiwaache walioonewa warudishwe kwa aibu; uwaache maskini na walioonewa walisifu jina lako.
22 Lève-toi, ô Dieu, prends en main ta cause; souviens-toi des outrages que t’adresse chaque jour l’insensé.
Inuka Mungu, itetee heshima yako; kumbuka wajinga wanavyokutukana machana kutwa.
23 N’oublie pas les clameurs de tes adversaires, l’insolence toujours croissante de ceux qui te haïssent.
Usisahau sauti ya adui zako au kelele za wale wanaoendelea kukuchafua.