< Psaumes 72 >
1 De Salomon. O Dieu, donne tes jugements au roi, et ta justice au fils du roi.
Mpe mfalme amri ya haki yako, Mungu, haki yako kwa wana wa mfalme.
2 Qu’il dirige ton peuple avec justice, et tes malheureux avec équité!
Naye awaamue watu wako kwa haki na maskini wako kwa haki sawa.
3 Que les montagnes produisent la paix au peuple, ainsi que les collines, par la justice.
Milima iwazalie watu amani; vilima navyo vizae haki.
4 Qu’il fasse droit aux malheureux de son peuple, qu’il assiste les enfants du pauvre, et qu’il écrase l’oppresseur!
Naye awahukumu watu maskini; awaokoe watoto wa wahitaji na kuwavunja vipande vipande wenye kuwatesa.
5 Qu’on te révère, tant que subsistera le soleil, tant que brillera la lune, d’âge en âge!
Na wakuheshimu wewe wakati wa jua, na kwa kipindi cha kudumu kwa mwezi katika vizazi vyote.
6 Qu’il descende comme la pluie sur le gazon, comme les ondées qui arrosent la terre!
Naye apate kuja kama mvua juu ya nyasi zilizokatwa, kama manyuyu yanyunyizayo nchi.
7 Qu’en ses jours le juste fleurisse, avec l’abondance de la paix, jusqu’à ce qu’il n’y ait plus de lune!
Mwenye haki na astawi kwa wakati wake, na amani iwepo kwa wingi mpaka mwezi utakapotoweka.
8 Il dominera d’une mer à l’autre, du Fleuve aux extrémités de la terre.
Na awe na mamlaka toka bahari na bahari, na kutoka Mto hadi miisho ya dunia.
9 Devant lui se prosterneront les habitants du désert, et ses ennemis mordront la poussière.
Na wote waishio jangwani wainame mbele zake; adui zake na walambe mavumbi.
10 Les rois de Tharsis et des îles paieront des tributs; les rois de Saba et de Méroé offriront des présents.
Wafalme wa Tashishi na visiwa walete kodi; wafalme wa Sheba na Seba watoe zawadi.
11 Tous les rois se prosterneront devant lui; toutes les nations le serviront.
Hakika wafalme wote wamwinamie yeye; mataifa yote yamtumikie yeye.
12 Car il délivrera le pauvre qui crie vers lui, et le malheureux dépourvu de tout secours.
Kwa kuwa yeye humsaidia mhitaji na maskini asiye na msaidizi.
13 Il aura pitié du misérable et de l’indigent, et il sauvera la vie du pauvre.
Yeye huwahurumia maskini na wahitaji, na huokoa maisha ya wahitaji.
14 Il les affranchira de l’oppression et de la violence, et leur sang aura du prix à ses yeux.
Huyaokoa maisha yao dhidi ya mateso na vurugu, na damu yao ni ya thamani machoni pake.
15 Ils vivront, et lui donneront de l’or de Saba; ils feront sans cesse des vœux pour lui, ils le béniront chaque jour.
Naye apate kuishi! Na dhahabu za Sheba apewe yeye. Watu wamuombee yeye siku zote; Mungu ambariki daima.
16 Que les blés abondent dans le pays, jusqu’au sommet des montagnes! Que leurs épis s’agitent comme les arbres du Liban! Que les hommes fleurissent dans la ville comme l’herbe des champs!
Kuwepo na nafaka nyingi katika ardhi; juu ya milima kuwe na mawimbi ya mimea. Matunda yake yawe kama Lebanoni; watu wasitawi katika miji kama nyansi za kondeni.
17 Que son nom dure à jamais! Tant que brillera le soleil, que son nom se propage! Qu’on cherche en lui la bénédiction! Que toutes les nations le proclament heureux!
Jina lake lidumu milele; jina lake ilindelee kama vile jua ling'aavyo; watu wabarikiwe katika yeye; mataifa yote wamwite mbarikiwa.
18 Béni soit Yahweh Dieu, le Dieu d’Israël, qui seul fait des prodiges!
Yahwe Mungu, Mungu wa Israel, atukuzwe, ambaye pekee hufanya mambo ya ajabu.
19 Béni soit à jamais son nom glorieux! Que toute la terre soit remplie de sa gloire! Amen! Amen!
Jina lake tukufu litukuzawe milele, nayo nchi yote ijazwe na utukufu wake. Amina, Amina.
20 Fin des prières de David, fils d’Isaï.
Maombi ya Daudi mwana wa Yese yamemalizika. Kutatu cha tatu