< Proverbes 25 >

1 Voici encore des Proverbes de Salomon, recueillis par les gens d’Ézéchias, roi de Juda.
Hizi tena ni mithali za Sulemani, zilinakiliwa na watu wa Hezekia, mfalme wa Yuda.
2 La gloire de Dieu, c’est de cacher les choses; la gloire des rois, c’est de les examiner.
Ni utukufu wa Mungu kuficha jambo, bali utukufu wa wafalme kutafiti juu ya jambo.
3 Le ciel dans sa hauteur, la terre dans sa profondeur, et le cœur des rois sont impénétrables.
Kama mbingu ni kwa kimo na dunia ni kwa kina, ndivyo hivyo moyo wa wafalme hauchunguziki.
4 Ote les scories de l’argent, et il en sortira un vase pour le fondeur.
Ondoa takataka kutoka kwenye fedha na mfua vyuma anaweza kutumia fedha katika ufundi wake.
5 Ote le méchant de devant le roi, et son trône s’affermira dans la justice.
Pamoja na hayo, waondoe watu waovu mbele ya mfalme na kiti chake cha enzi kitaimarishwa kwa kutenda haki.
6 Ne prends pas des airs superbes devant le roi, et ne te mets pas à la place des grands;
Usijitukuze mwenyewe mbele ya mfalme na usisimame katika sehemu iliyoteuliwa kwa watu wakuu.
7 car il vaut mieux qu’on te dise: « Monte ici », que si l’on t’humilie devant le prince que tes yeux ont vu.
Ni bora yeye akuambie, “Njoo hapa” kuliko wewe kujiaibisha mbele ya mkuu.
8 Ne pars pas trop vite en contestation, de peur qu’à la fin tu ne saches que faire.
Usiharakishe kufanya kuhukumu, kwa kile ulichokishuhudia. Maana utafanya nini mwishoni, wakati jirani yako atakapokuaibisha?
9 Lorsque ton prochain t’aura outragé, défends ta cause contre ton prochain, mais ne révèle pas le secret d’un autre,
Jitetee kesi yako kati ya jirani yako na wewe na usifunue siri ya mtu mwingine,
10 de peur que celui qui l’apprendra ne te couvre de honte, et que ton ignominie ne s’efface pas.
au vinginevyo anayekusikia ataleta aibu juu yako na taarifa mbaya juu yako haiwezi kunyamazishwa.
11 Comme des pommes d’or sur des ciselures d’argent, ainsi est une parole dite à propos.
Kunena maneno yenye kuchaguliwa vizuri, ni kama nakshi za dhahabu iliyoungwa kwenye fedha.
12 Comme un anneau d’or et un ornement d’or fin, ainsi est le sage qui reprend une oreille docile.
Kama pete ya dhahabu au kito kilichotengenezwa kwa dhahabu safi ndivyo lilivyo karipio la busara kwenye sikio linalosikia.
13 Comme la fraîcheur de la neige au temps de la moisson, ainsi est le messager fidèle pour ceux qui l’envoient; il réjouit l’âme de son maître.
Kama baridi ya theluji wakati wa mavuno ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwa wenye kumtuma; huyahifadhi maisha ya mabwana wake.
14 Des nuages et du vent sans pluie, tel est l’homme qui se glorifie de présents mensongers.
Kama mawingu na upepo bila mvua ndivyo alivyo mwenye kujisifu kuhusu zawadi asiyoitoa.
15 Par la patience le juge se laisse persuader, et une langue douce peut briser des os.
Kwa uvumilivu mtawala anaweza kushawishiwa na ulimi raini unaweza kuvunja mfupa.
16 Si tu trouves du miel, n’en mange que ce qui te suffit, de peur que, rassasié, tu ne le vomisses.
Kama utapata asali, kula ya kutosha- vingenevyo, ukila nyingi sana, utaitapika.
17 Mets rarement le pied dans la maison de ton prochain, de peur que, fatigué de toi, il ne te haïsse.
Usiweke mguu wako kwenye nyumba ya jirani yako mara nyingi, anaweza kuchoshwa nawe na kukuchukia.
18 Une massue, une épée et une flèche aiguë, tel est l’homme qui porte un faux témoignage contre son prochain.
Mtu anayetoa ushuhuda wa uongo dhidi ya jirani yake ni kama rungu lililotumiwa katika vita, au upanga, au mshale mkali.
19 Une dent cassée et un pied qui glisse, c’est la confiance qu’inspire un perfide au jour du malheur.
Kumtumaini mtu asiye mwaminifu wakati wa taabu ni kama jino bovu au mguu unaoteleza.
20 Oter son manteau un jour de froid, répandre du vinaigre sur du nitre, ainsi fait celui qui dit des chansons à un cœur affligé.
Kama mtu anayevua nguo katika hali ya baridi, au kama siki iliyotiwa kwenye magadi, ndivyo alivyo anayeimba wimbo kwa mwenye moyo mzito.
21 Si ton ennemi a faim, donne-lui du pain à manger; s’il a soif, donne-lui de l’eau à boire;
Kama adui yako ana njaa, mpe chakula ale na kama ana kiu, mpe maji ya kunywa,
22 car tu amasses ainsi des charbons sur sa tête, et Yahweh te récompensera.
maana utamwekea mkaa juu ya kichwa chake na Yehova atakupa thawabu.
23 Le vent du nord enfante la pluie, et la langue qui médit en secret, un visage irrité.
Ni hakika upepo wa kaskazini huleta mvua, ndivyo mtu anayesema siri hufanya sura zikasirike.
24 Mieux vaut habiter à l’angle d’un toit, que de rester avec une femme querelleuse.
Ni bora kuishi kwenye pembe ya darini kuliko kuchangia nyumba pamoja na mwanamke mgomvi.
25 De l’eau fraîche pour une personne altérée, telle est une bonne nouvelle venant d’une terre lointaine.
Kama maji ya baridi kwa mwenye kiu, ndivyo ilivyo habari njema kutoka nchi ya mbali.
26 Une fontaine troublée et une source corrompue, tel est le juste qui chancelle devant le méchant.
Kama chemchemi iliyochafuliwa au kisima kilichoharibiwa ndivyo alivyo mtu mwema ambaye huyumbayumba mbele ya watu waovu.
27 Il n’est pas bon de manger beaucoup de miel; ainsi celui qui veut sonder la majesté divine sera accablé par sa gloire.
Si vema kula asali nyingi mno; hivyo ni kama kutafuta heshima baada heshima.
28 Une ville forcée qui n’a plus de murailles, tel est l’homme qui ne peut se contenir.
Mtu bila kujitawala ni kama mji ulibomolewa na usiokuwa na kuta.

< Proverbes 25 >