< Marc 3 >

1 Jésus étant entré une autre fois dans la synagogue, il s’y trouvait un homme qui avait la main desséchée.
Na tena aliingia ndani ya sinagogi na mle palikuwa na mtu mwenye mkono uliopooza.
2 Et on l’observait pour voir s’il le guérirait le jour du sabbat, afin de pouvoir l’accuser.
Baadhi ya watu walikuwa wakimfuatilia kwa ukaribu kuona kama atamponya siku ya Sabato ili kwamba wamshitaki.
3 Jésus dit à l’homme qui avait la main desséchée: « Tiens-toi là debout au milieu »;
Yesu alimwambia mtu mwenye mkono uliopooza, “Inuka na usimame katikati ya umati huu.”
4 puis il leur dit: « Est-il permis le jour du sabbat, de faire du bien ou de faire du mal, de sauver la vie ou de l’ôter? » Et ils se taisaient.
Kisha akawaambia watu, “Je ni halali kutenda tendo jema siku ya Sabato au kutenda yasiyo haki; kuokoa maisha, au kuua?” Lakini walibaki kimya.
5 Alors, les regardant avec indignation, et contristé de l’aveuglement de leur cœur, il dit à cet homme: « Étends ta main. » Il l’étendit, et sa main redevint saine.
Akawaangalia kwa hasira, akihuzunika kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao, na akamwambia yule mtu, “Nyoosha mkono wako”. Akaunyoosha na Yesu akamponya mkono wake.
6 Les Pharisiens, étant sortis, allèrent aussitôt s’entendre contre lui avec les Hérodiens, pour tâcher de le perdre.
Mafarisayo wakaenda nje na mara wakafanya njama pamoja na Maherode dhidi yake ili kumuua.
7 Jésus se retira vers la mer avec ses disciples, et une foule nombreuse le suivit de la Galilée, de la Judée,
Kisha Yesu, pamoja na wanafunzi wake, walienda baharini, na umati mkubwa wa watu uliwafuata ukitokea Galilaya na Uyahudi
8 de Jérusalem, de l’Idumée et d’au-delà du Jourdain. Ceux des environs de Tyr et de Sidon, ayant appris les choses qu’il faisait, vinrent aussi à lui en grande foule.
na kutoka Yerusalemu na kutoka Idumaya na mbele ya Yorodani na jirani ya Tiro na Sidoni, umati mkubwa, uliposikia kila kitu alichokuwa anakifanya, walikuja kwake.
9 Et il dit à ses disciples de tenir toujours une barque à sa disposition, afin qu’il ne fût pas pressé par la foule.
Na aliwaambia wanafunzi wake kuandaa mtubwi mdongo kwa ajili yake kwa sababu ya umati, ili kwamba wasije wakamsonga.
10 Car, comme il guérissait beaucoup de gens, tous ceux qui avaient quelque mal se jetaient sur lui pour le toucher.
Kwa kuwa aliponya wengi, ili kila mtu aliyekuwa na mateso alikuwa na shauku ya kumfikia ili amguse.
11 Les esprits impurs, en le voyant, se prosternaient devant lui et s’écriaient:
Popote roho wachafu walipomwona, walianguka chini mbele yake na kulia, na walisema, “Wewe ni Mwana wa Mungu”.
12 « Tu es le Fils de Dieu »; mais il leur défendait avec de grandes menaces de faire connaître qui il était.
Aliwaamuru kwa msisitizo wasifanye ajulikane.
13 Étant monté ensuite sur la montagne, il appela ceux que lui-même voulut; et ils vinrent à lui.
Alienda juu ya mlima, na akawaita aliowataka, na wakaenda kwake.
14 Il en établit douze pour les avoir avec lui et pour les envoyer prêcher,
Akawachagua kumi na wawili (aliowaita mitume), ili kwamba wawe pamoja naye na aweze kuwatuma kuhubiri,
15 avec le pouvoir de guérir les maladies et de chasser les démons.
na kuwa na mamlaka ya kutoa mapepo.
16 À Simon il donna le surnom de Pierre;
Na akawachagua kumi na wawili: Simoni, aliyempa jina la Petro,
17 puis [il choisit] Jacques, fils de Zébédée, et Jean, frère de Jacques, auxquels il donna le surnom de Boanergès, c’est-à-dire, fils du tonnerre;
Yakobo mwana wa Zebedayo, na Yohana ndugu yake Yakobo, aliyepewa jina la Bonagesi, hao ni, wana wa ngurumo,
18 André, Philippe, Barthélemy, Matthieu, Thomas, Jacques fils d’Alphée, Thaddée, Simon le Zélote,
na Andrea, Filipo, Bartholomayo, Mathayo, Tomaso, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mkananayo,
19 et Judas Iscariote, qui le trahit.
na Yuda Iskariote, ambaye atamsaliti.
20 Ils revinrent à la maison, et la foule s’y assembla de nouveau, de sorte qu’ils ne pouvaient pas même prendre leur repas.
Kisha alienda nyumbani, na umati wa watu wakaja pamoja tena, hata wasiweze kula hata mkate.
21 Ce que ses parents ayant appris, ils vinrent pour se saisir de lui, car ils disaient: « Il est hors de sens. »
Familia yake waliposikia habari hiyo, walienda kumkamata, kwani walisema, “Amerukwa na akili”.
22 Mais les scribes, qui étaient venus de Jérusalem, disaient: « Il est possédé de Béelzéboul; et c’est par le prince des démons qu’il chasse les démons. »
Waandishi waliokuja kutoka Yerusalemu walisema, “Amepagawa na Beelzebuli,” na, “Kwa mtawala wa mapepo anatoa mapepo”.
23 Jésus les appela et leur dit en parabole: « Comment Satan peut-il chasser Satan?
Yesu aliwaita kwake na kusema nao kwa mifano, “Jinsi gani Shetani aweza kumtoa Shetani?
24 Si un royaume est divisé contre lui-même, ce royaume ne saurait subsister;
Kama ufalme ukigawanyika wenyewe, ufalme huo hauwezi kusimama.
25 et si une maison est divisée contre elle-même, cette maison ne saurait subsister.
Kama nyumba ikigawanyika yenyewe, nyumba hiyo haiwezi kusimama.
26 Si donc Satan s’élève contre lui-même, il est divisé, il ne pourra subsister, et [sa puissance] touche à sa fin.
Kama Shetani atainuka kinyume chake mwenyewe na kugawanyika, hawezi kusimama, na atakuwa amefika mwisho wake.
27 Nul ne peut entrer dans la maison du fort et enlever ses meubles, si auparavant il ne l’enchaîne; et alors il pillera sa maison.
Lakini hakuna hata mmoja awezaye kuingia ndani ya nyumba ya mtu mwenye nguvu na kuiba vitu vyake bila kumfunga mwenye nguvu kwanza, na kisha kukusanya kilichomo nyumbani.
28 En vérité, je vous le dis, tous les péchés seront remis aux enfants des hommes, même les blasphèmes qu’ils auront proférés.
Kweli nawambieni, dhambi zote za wana wa watu zitasamehewa, pamoja na kufuru ambazo wanatamka,
29 Mais celui qui aura blasphémé contre l’Esprit-Saint n’obtiendra jamais de pardon; il est coupable d’un péché éternel. » (aiōn g165, aiōnios g166)
lakini yeyote atakaye mkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa kamwe, bali ana hatia ya dhambi ya milele”. (aiōn g165, aiōnios g166)
30 [Jésus parla ainsi], parce qu’ils disaient: « Il est possédé d’un esprit impur. »
Yesu alilisema hili kwa sababu walikuwa wakisema, “Ana roho chafu”.
31 Sa mère et ses frères étant venus, ils se tinrent dehors et l’envoyèrent appeler.
Kisha mama yake na ndugu zake walikuja na kusimama nje. Wakamtuma mtu, kumwita.
32 Or le peuple était assis autour de lui, et on lui dit: « Ta mère et tes frères sont là dehors, qui te cherchent. »
Na umati wa watu uliokuwa umekaa karibu naye wakamwambia, “mama yako na ndugu zako wako nje, na wanakutafuta wewe”.
33 Il répondit: « Qui est ma mère et qui sont mes frères? »
Aliwajibu, “Ni nani mama yangu na ndugu zangu?”
34 Puis, promenant ses regards sur ceux qui étaient assis autour de lui: « Voici, dit-il, ma mère et mes frères.
Aliwaangalia waliokuwa wamekaa wamemzunguka, na akasema, “Tazama, hawa ni mama zangu na ndugu zangu!
35 Car quiconque fait la volonté de Dieu, celui-là est mon frère, et ma sœur et ma mère. »
Yeyote afanyaye mapenzi ya Mungu, mtu huyo ni ndugu yangu, na dada yangu, na mama yangu”.

< Marc 3 >