< Jérémie 45 >
1 La parole que Jérémie, le prophète, dit à Baruch, fils de Nérias, lorsqu’il écrivit ces paroles dans le livre sous la dictée de Jérémie, la quatrième année de Joakim, fils de Josias, roi de Juda, — en ces termes:
Hili ni neno ambalo Yeremia nabii alimwambia Baruku mwana wa Neria. Hii ilitokea wakati alipoandika kwenye kitabu maneno haya kwa imla ya Yeremia - hii ilikuwa katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, na alisema,
2 « Ainsi parle Yahweh, roi d’Israël, à ton sujet, Baruch:
“Yahwe, Mungu wa Israel, asema hivi kwako, Baruku:
3 Tu dis: Malheur à moi! car Yahweh ajoute à mon chagrin la douleur; je m’épuise dans mon gémissement, et je ne trouve pas de repos.
Umesema, Ole mimi, kwa kuwa Yahwe ameongeza uchungu wa maumivu. Kuugua kwangu kumenichosha; sipati pumziko.'
4 Ainsi tu lui diras: Ainsi parle Yahweh: Voici que ce que j’avais bâti, je le détruis; ce que j’avais planté, je l’arrache, et c’est toute cette terre.
Hivi ndivyo unapaswa kusema kwake: “Yahwe asema hivi: Ona, nilichojenga, sasa ninararua chini. Nilichopanda, sasa ninangoa. Hii ni kweli juu ya dunia.
5 Et toi, tu chercherais pour toi de grandes choses! Ne les cherche point! Car voici que j’amène un malheur sur toute chair, — oracle de Yahweh; — mais je te donnerai la vie pour butin dans tous les lieux où tu iras. »
Lakini unategema mambo makubwa kwa ajili yako? Usitegemee hayo. Uone, maafa yanakuja kwa binadamu wote - hii ni tamko la Yahwe - lakini ninakupa maisha yangu kama nyara popote utakakoenda.”