< Jérémie 42 >

1 Alors tous les chefs de troupes, ainsi que Johanan, fils de Carée, Jezonias, fils d’Osaïas, et tout le peuple, petits et grands, s’approchèrent
Kisha amri wote wa jeshi na Yonathan mwana wa Karea, Jezania mwana wa Hoshaia, na watu wote kutoka mdogo kwa mkubwa walimkaribia Yeremia nabii.
2 et dirent à Jérémie, le prophète: « Que notre supplication arrive devant toi; intercède pour nous auprès de Yahweh, ton Dieu, pour tout ce reste de Juda; car, de beaucoup que nous étions, nous sommes réduits à un petit nombre, comme tes yeux nous voient.
Walisema naye, “Acha maombi yetu yaje mbele yako. Omba kwa ajili yetu kwa Yahwe Mungu wako kwa ajili ya watu hawa ambao wanabaki kwani tuko wachache katika idadi, kama unavyoona.
3 Que Yahweh, ton Dieu, nous indique le chemin que nous devons suivre, et ce que nous avons à faire. »
Muulize Yahwe Mungu wako atuambia sisi njia yakuendea na nini tufanye.”
4 Jérémie, le prophète, leur répondit: « J’ai entendu; voici que je vais prier Yahweh, votre Dieu, selon vos paroles, et tout ce que Yahweh vous répondra, je vous le ferai connaître, sans rien vous cacher. »
Basi Yeremia nabii alisema nao, “Nimewasikia, Tazama, Nitaomba kwa Yahwe Mungu wenu kama mlivyoomba. Vyovyote Yahwe ananijibu, Nitawambia. Sitawaficha chochote ninyi.”
5 Ils dirent à Jérémie: « Que Yahweh soit un témoin véridique et fidèle contre nous, si nous n’agissons pas en tout selon la parole que Yahweh, ton Dieu, t’aura envoyé nous communiquer.
Walisema na Yeremia, “Na Yawhe awe shahidi mkweli na mwaminifu dhidi yenu, kama hatutafanya kila kitu ambacho Yahwe Mungu wenu anatuambia kufanya.
6 Que ce soit du bien ou du mal, nous obéirons à la voix de Yahweh, notre Dieu, vers qui nous t’envoyons, afin qu’il nous arrive du bien, en obéissant à la voix de Yahweh, notre Dieu. »
Hata kama ni vizuri au vibaya, tutatii sauti ya Yahwe Mungu wetu, ambaye tunawatuma ninyi, ili kwamba iwe vizuri pamoja nasi wakati tunatii sauti ya Yahwe Mungu wetu.”
7 Et au bout de dix jours, la parole de Yahweh fut adressée à Jérémie,
Basi ilitokea kwamba baada ya siku kumi, neno la Yahwe lilikuja kwa Yeremia.
8 Et il appela Johanan, fils de Carée, tous les chefs des troupes qui étaient avec lui, et tout le peuple, petits et grands;
Kwa hiyo Yeremia alimwita Yonathan mwana wa Karea na amri wote jeshi pamoja naye, na watu wote kutoka mdogo kwa mkubwa.
9 et il leur dit: Ainsi, parle Yahweh, Dieu d’Israël, vers qui vous m’avez envoyé pour présenter devant lui votre supplication:
Na alisema nao, “Yahwe, Mungu wa Israel, ambaye umenituma mimi ili niweze kuweka maombi yako mbele zake. Yahwe asema hivi,
10 Si vous continuez à demeurer dans ce pays, je vous établirai et ne vous détruirai point, je vous planterai et ne vous arracherai point; car je me repens du mal que je vous ai fait.
Kama mtarudi na kuishi katika nchi hii, basi nitawajenga na sitawararua chini; Nitapanda na sitawangoa, kwa kuwa nitageuza maafa ambayo nimeleta juu yako.
11 Ne craignez pas le roi de Babylone, dont vous avez peur; ne le craignez point, — oracle de Yahweh, — car je suis avec vous pour vous sauver et vous délivrer de sa main.
Msimugope mfalme wa Babeli, ambaye mnamuogopa. Msimuogope-hili ni tamko la Yahwe kwani niko pamoja nanyi kuwahifadhi na kuwaokoa toka mkono wake.
12 Je vous ferai obtenir compassion, et il aura compassion de vous, et il vous fera retourner dans votre pays.
Kwa kuwa nitawapa rehema. Nitakuwa na huruma juu yenu, na nitawarudisha kwenye nchi yenu.
13 Que si vous dites: Nous ne demeurerons pas dans ce pays, de telle sorte que vous n’obéissiez pas à la voix de Yahweh, votre Dieu;
Lakini tudhani kusema kwamba, “Hatutakaa katika nchi hii”- kama hamtasikiliza sauti yangu, sauti ya Yahwe Mungu wenu.
14 si vous dites: Non! mais nous irons au pays d’Égypte, où nous ne verrons pas de guerre, où nous n’entendrons pas le son de la trompette, où nous ne sentirons pas la faim, et c’est là que nous habiterons, —
Tudhani kwamba mnasema, “Hapana! Tutaenda kwenye nchi ya Misri, ambayo hatutaona vita yoyote, ambayo hatutasikia sauti ya tarumbeta, na hatutaona njaa ya chakula. Tutaishi huko.”
15 alors entendez la parole de Yahweh, vous, les restes de Juda: Ainsi parle Yahweh des armées, Dieu d’Israël: Si vous tournez vos regards vers l’Égypte pour y aller, et que vous y entriez pour y habiter,
Sasa sikiliza neno hili la Yahwe, wewe mabaki ya Yuda. Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi, 'Kama kweli mtatoka kwenda Misri, kwenda na kuishi huko,
16 l’épée que vous craignez vous atteindra là, au pays d’Égypte, et la famine que vous redoutez s’attachera à vous là, en Égypte; et là vous mourrez.
basi upanga ambao mnauogopa utawapita huko kwenye nchi ya Misri. Njaa ambayo mnawasiwasi nayo itawafatilia huko Misri. Na mtakufa huko.
17 Tous ceux qui auront tourné leurs regards vers l’Égypte pour y aller et pour y habiter mourront par l’épée, par la famine et la peste, et il n’y en aura pas parmi eux qui survive et qui échappe au mal que je ferai venir sur eux.
Basi itatokea kwamba wanaume wote waliondoka kwenda Misri kuishi huko watakufa kwa upanga, njaa, au pigo. Hapatakuwa na mwathirika wao, hakuna atakayetoroka maafa ambayo nitaleta juu yao.
18 Car ainsi parle Yahweh des armées, Dieu d’Israël: Comme ma colère et ma fureur ont fondu sur les habitants de Jérusalem, ainsi ma fureur fondra sur vous quand vous serez entrés en Égypte; vous serez un objet d’exécration, de stupéfaction, de malédiction et d’outrages, et vous ne reverrez plus ce lieu-ci.
Kwa kuwa Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi: Kama gadhabu yangu na hasira yangu imemwanga juu ya wakazi wa Yerusalem, kwa njia hiyo hasira yangu itamwangwa juu yenu kama mtaenda Misri. Mtakuwa sababu ya hasira na hofu, sababu la kuzungumza laana, na kitu kisichokuwa na heshima. Na hamtaona eneo hili tena.”
19 Restes de Juda, Yahweh vous dit: N’entrez pas en Égypte; sachez bien que je vous avertis solennellement aujourd’hui.
Basi Yeremia alisema, “Yahwe amezungumza kuhusu ninyi - mabaki ya Yuda. Msiende Misri! Unajua kwa hakika kwamba nimekuwa shahidi dhidi yenu leo.
20 Car vous vous abusiez vous-mêmes, lorsque vous m’avez envoyé vers Yahweh, notre Dieu, en disant: Intercède pour nous auprès de Yahweh, notre Dieu, et tout ce que Yahweh, notre Dieu, dira, déclare-le-nous, et nous le ferons.
Kwa kuwa mmejidanganya vibaya wenyewe wakati mliponituma mimi kwenda kwa Yahwe Mungu wenu na kusema, 'Omba kwa Yahwe Mungu wetu kwa ajili yetu. Kila kitu ambacho Yahwe Mungu wetu asema, tuambie, na tutaibeba.'
21 Je vous l’ai déclaré aujourd’hui; mais vous n’avez pas écouté la voix de Yahweh, votre Dieu, ni rien de ce qu’il m’a envoyé vous communiquer.
Kwa kuwa nimekwisha toa taarifa kwako leo, lakini hajusikiliza sauti ya Yahwe Mungu wenu au kwa chochote kuhusu ambacho alinituma mimi kwako.
22 Sachez donc bien maintenant que vous mourrez par l’épée, par la famine et par la peste, au lieu où il vous a plu d’aller pour y habiter. »
Basi sasa, utajua kwa hakika kwamba utakufa kwa upanga, njaa, na pigo katika eneo ambalo ulitamani kwenda kuishi.”

< Jérémie 42 >