< Isaïe 14 >
1 Car Yahweh aura pitié de Jacob, et il choisira encore Israël; il les rétablira dans leur pays; les étrangers s’adjoindront à eux, et s’attacheront à la maison de Jacob.
Yahwe atakuwa na huruma juu ya Yakobo; atamchagua tena Israeli na kumrudisha tena kwenye nchi yake. Wageni wataungana nao na wataambatana wenyewe na nyumba ya Yakobo.
2 Les peuples les prendront et les ramèneront chez eux, et la maison d’Israël se les appropriera, sur la terre de Yahweh, comme serviteurs et comme servantes; ils feront captifs ceux qui les avaient faits captifs; et ils domineront sur leurs oppresseurs.
Mataifa yataletwa katika maeneo yao wenyewe. Ndipo nyumba ya Israeli itawachukwa katika nchi ya Yahwe kwa watumishi wa kiume na wakike. Watachukuwa wafungwa wale waliokamatwa, na watawaongoza wale waliokuwa wanawanyanyasa.
3 Et au jour où Yahweh te fera reposer de ton labeur, de tes anxiétés, et de la dure servitude qu’on t’avait imposée,
Siku hiyo Yahwe atatoa pumziko kutoka kwenye mateso na maumivu, na kutoka kwenye kazi ngumu ambayo waliitajika kuzifanya,
4 tu entonneras cette satire contre le roi de Babylone, et tu diras: Comment a fini le tyran, a cessé l’oppression?
mtaimba hii kauli wimbo juu ya mfalme wa Babeli, ''Ni kwa jinsi gani wayanyasaji wamefika mwisho, kiburi cha hasira kimekwisha!
5 Yahweh a brisé le talon des méchants, le sceptre des dominateurs!
Yahwe amevunja wafanyakazi waovu, fimbo ya hao viongozi,
6 Il frappait avec fureur les peuples, de coups sans relâche; dans sa colère, il tenait les nations sous le joug par une persécution sans répit.
inayowapeleka watu kwenye laana na mapigo yasiyopimika, wanoongoza taifa kwa hasira,
7 Toute la terre est en repos, elle est tranquille, elle éclate en cris d’allégresse.
yote iko katika punziko na utulivu; wmeanza kusherekea kwa kiimba.
8 Les Cyprès mêmes se réjouissent de ta chute, avec les cèdres du Liban: « Depuis que tu es couché là, personne ne monte plus pour nous abattre! »
Hata mti wa mseprasi inafuhaia pamoja mierezi ya Lebanoni; inasema, Tangu ulipoweka chini, hakuna mkata kuni aliyekuja kutungusha sisi,
9 Le schéol dans ses profondeurs s’émeut à ton sujet, pour venir à ta rencontre; il réveille pour toi les ombres, tous les monarques de la terre; il fait lever de leurs trônes tous les rois des nations. (Sheol )
Kuzimu haina hamu kwa ajili yako unaye enda pale. Watafufuka waliokufa kwa ajili yako, wafalme wote wa dunia, wafanje watoke katika viti vyao vya enzi, wafalme wote wa mataifa. (Sheol )
10 Tous, ils prennent la parole pour te dire: « Toi aussi, tu es déchu comme nous, et te voilà semblable à nous! »
Watazungumza na kukuambia wewe, 'umekuwa dhaifu kama sisi.
11 Ton faste est descendu au schéol, avec le son de tes harpes; sous toi sont répandus les vers, et la vermine est ta couverture! (Sheol )
Kiburi chako kimeshushwa kuzimu na sauti kifaa cha kamba yako. Buu wameongezeka chini yako na vijidudu vinakufunika wewe.' (Sheol )
12 Comment es-tu tombé du ciel, astre brillant, fils de l’aurore? Comment es-tu renversé par terre, toi, le destructeur des nations?
Kwa jinsi gani ulivyoanguka kutoka mbinguni, nyota ya siku, jua la asubuhi! ni kwa jinsi gani mlivyoshushwa chini, umeyashinda mataifa!
13 Toi qui disais en ton cœur: « Je monterai dans les cieux; au-dessus des étoiles de Dieu, j’élèverai mon trône; je m’assiérai sur la montagne de l’assemblée, dans les profondeurs du septentrion;
Unasema katika moyo wako, ' Nitapaa kutoka juu mbinguni, nitanyanyua enzi yangu juu ya nyota za Mungu, na nitakaa kwenye mlima wa kukusanyikia, kwa mbali kufika kaskazini.
14 je monterai sur les sommets des nues, je serai semblable au Très-Haut!... »
Nitapaa juu umbali wa mawingu; Nitalifanya mimi mwenyewe kama Mungu aliye juu zaidi.'
15 Et te voilà descendu au schéol, dans les profondeurs de l’abîme! (Sheol )
Lakini kwa sasa umeshushwa chini kuzimu, kwenye kina cha shimo. (Sheol )
16 Ceux qui te voient fixent sur toi leurs regards, ils te considèrent avec attention: « Est-ce là l’homme qui troublait la terre, qui ébranlait les royaumes,
Wale wanaokuona watakuangalia wewe, watakuangalia sana. Watasema, Je ni huyu mtu aliyefanya dunia itetemeke, nani aliyetingisha falme,
17 qui faisait du monde un désert, détruisait les villes, et ne laissait pas ses captifs revenir chez eux?
ni nani aliyefanya dunia kama jangwa, ni nani aliyeharibu miji yake, na hataki kuwachia wafungwa waende nyumbani?'
18 Tous les rois des nations, tous, reposent avec honneur, chacun dans sa maison;
Wafalme wote wamataifa, wote kwa pamoja wamelala chini kwa heshima, kila mtu kwa kaburi lake.
19 mais toi, on t’a jeté loin de ton sépulcre, comme un rameau qu’on méprise, couvert de morts, égorgés par l’épée, et précipités dans les flancs rocheux de l’abîme; comme un cadavre qu’on foule aux pieds.
Lakini umetupwa nje ya kaburi lako kama tawi lilivyotupwa mbali. Maiti imekufunika kama vazi, na wale wanaochomwa kwa upanga, nani wale washukao mpaka misingi ya shimo.
20 Tu ne seras pas avec eux dans la tombe car tu as ruiné ton pays, tu as fait périr ton peuple! On ne nommera plus jamais la race des méchants.
Hautaunganishwa pamoja katika mazishi, kwa sababu umeiharibu nchi yako na kuuwa watu wako. Watoto wa watenda maovu hawatatajwa tena.''
21 Préparez à ses fils un massacre, pour le crime de leurs pères. Qu’ils ne se relèvent pas pour conquérir la terre, qu’ils ne couvrent pas de villes la face du monde!
Anda machinjio kwa ajili ya watoto wake, kwa sababu ya uovu wa mababu zao, hivyo basi hawatanyanyuka juu na na kuimiliki aridhi ya nchi iliyojaa miji ya dunia yote.''
22 Je me lèverai contre eux, — oracle de Yahweh des armées, — et j’anéantirai de Babylone le nom et le reste, la race et le rejeton, — oracle de Yahweh.
Nitapanda juu yao''- hili ni tamko la Yahwe wa majeshi. Nitang'oa jina katika Babeli, uzao, na ukoo''- hili ndilo tamko la Yahwe.
23 Et j’en ferai un nid de hérissons, et un étang d’eaux, et je la balaierai avec le balai de la destruction, — oracle de Yahweh des armées.
Tena nitaifanya nchi hiyo kuwa makao ya bundi, dimbwi la maji, nanitawafagia kwa mfagio wa uharibifu''- hili ni tamko la Yahwe wa majeshi.
24 Yahweh des armées a juré en disant: « Oui, le dessein qui est arrêté s’accomplira, et ce que j’ai décidé se réalisera.
Yahwe wa majeshi ameapa, ''Hakika, kama nilivyodhamiria, itakuwa kama ilivyo; na kama nilivyo kusudia itakuwa:
25 Je briserai Assur dans ma terre, et je le foulerai sur mes montagnes. Alors son joug sera ôté de dessus eux, et son fardeau sera enlevé de leurs épaules.
Nitawavunja Waasiria kwa mikono yangu, na kukanyaga milima kwa miguu yangu mwenyewe. Hivyo nira yake itanyanyuliwa juu yao na mzigo juu ya mabega yao.''
26 C’est là le dessein qui est arrêté contre toute la terre, et c’est là la main qui est étendue contre toutes les nations!
Huu ni mpango uliokusudiwa katika nchi yote, na huu ndio mkono ulionyanyuliwa juu ya mataifa.
27 Car Yahweh des armées a décidé, et qui l’empêcherait? Sa main est étendue, et qui la détournerait? »
Kwa maana Yahwe wa majeshi amepanga hivi; ni nani atakayemzia yeye? Mkono wake umenyanyuliwa juu, ni nani atakajemrudisha nyuma?
28 L’année de la mort du roi Achaz, cet oracle fut prononcé:
Katika miaka ambayo mfalme Ahazi alipokufa, hili ndio tamko lilokuja:
29 Ne te livre pas à la joie, Philistie tout entière, de ce que la verge qui te frappait a été brisée; car de la race du serpent sortira un basilic, et son fruit sera un dragon volant.
Msishangilie, enyi wafilisti wote, kwamba fimbo ya kukupigia wewe imevunjika. Maana katika njia ya nyoka atatoka fira, na watoto wake watakuwa moto nyoka wanaopaa.
30 Alors les plus pauvres trouveront leur pâture, et les malheureux reposeront en sécurité; mais je ferai périr ta race par la faim, et ce qui restera de toi sera exterminé. —
Na mtoto wa kwanza wa maskini watachunga kondoo wao kwenye malisho yangu, na wahitaji watalala chini salama. Nitaiuwa mizizi yenu kwa njaa ambayo atawauwa wakazi wenu wote.
31 Hurle, ô porte! Pousse des cris, ô ville! Pâme-toi de frayeur, Philistie tout entière! Car du septentrion vient une fumée, et nul ne se débande dans ses bataillons.
Omboleza, ewe lang, lia, ewe mji; ninyi nyote mtayeyukia mbali, Ufilisti. Maana kutoka kaskazini limetoka wingu la moshi, na hakuna hata mmoja atakaye odoka kwenye nafasi yake.
32 Que répondra-t-on aux envoyés de la nation? Que Yahweh a fondé Sion, et que les affligés de son peuple y trouvent un refuge.
Ni kivipi mtu mmoja atamjibu mjumbe wa taifa? Kwamba Yahwe ameipata Sayuni, na ndani yake walionewa watatafuta kimbilio.