< Ecclésiaste 9 >

1 En effet, j’ai pris tout ceci à cœur, et j’ai observé tout ceci: Que les justes et les sages et leurs œuvres sont dans la main de Dieu; l’homme ne connaît ni l’amour, ni la haine: tout est devant eux.
Kwa kuwa nilifikiri haya yote katika akili zangu kufahamu kuhusu watu wenye haki na wenye hekima na matendo yao. Wote wako katika mikono ya Mungu. Hakuna anayefahamu kama upendo au chuki itakuja kwa mtu.
2 Tout arrive également à tous: même sort pour le juste et pour le méchant, pour celui qui est bon et pur, et pour celui qui est impur, pour celui qui sacrifie et pour celui qui ne sacrifie pas. Comme il arrive à l’homme bon, il arrive au pécheur; il en est de celui qui jure comme de celui qui craint de jurer.
kila mmoja ana mwisho sawa. Mwisho sawa una subiria watu wenye haki na waovu, wema, walio safi na wasio safi, yeye atoaye dhabibu na yule asiye dhabihu. Kama vile watu wema watakufa wenye dhambi nao watakufa vivyo hivyo. kama vile yule anayeapa atakavyo kufa, vivyo hivyo mtu yule aogopaye kuweka kiapo naye atakufa.
3 C’est un mal, parmi tout ce qui se fait sous le soleil, qu’il y ait pour tous un même sort; c’est pourquoi le cœur des fils de l’homme est plein de malice, et la folie est dans leur cœur pendant leur vie; après quoi ils vont chez les morts.
Kuna mwisho mwovu kwa kila kitu kinachofanyika chini ya jua, na mwisho kwa kila mtu. Moyo wa mwanadamu umejaa uovu, na wazimu uko katika mioyo yao wakati wanaishi. Hivyo baada ya hilo wanaenda kwa wafu.
4 Car pour l’homme qui est parmi les vivants, il y a de l’espérance; mieux vaut un chien vivant qu’un lion mort.
Kwa kuwa yeyote anayeungana na wote walio hai kuna tumaini, kama vile mbwa aliye hai ni bora kuliko simba aliye kufa.
5 Les vivants, en effet, savent qu’ils mourront, mais les morts ne savent rien, et il n’y a plus pour eux de salaire; car leur mémoire est oubliée.
Kwa kuwa watu walio hai, lakini walio kufa hawajui chochote. Hawana tena tuzo yeyote kwa sababu kumbukumbu yao imesahaulika.
6 Déjà leur amour, leur haine, leur envie ont péri, et ils n’auront plus jamais aucune part à ce qui se fait sous le soleil.
Upendo wao, chuki na wivu vimekatiliwa mbali muda mwingi. Hawatapata sehemu katika kitu chochote kinachofanyika chini ya jua.
7 Va, mange avec joie ton pain et bois ton vin d’un cœur content, puisque déjà Dieu se montre favorable à tes œuvres.
Nenda zako, kula mkate wako kwa furaha, na kunywa mvinyo wako na moyo wa furaha, kwa kuwa Mungu huruhusu kusherehekea kazi njema.
8 Qu’en tout temps tes vêtements soient blancs, et que l’huile parfumée ne manque pas sur ta tête.
Nguo zako ziwe nyeupe siku zote, na kichwa chako kipake mafuta.
9 Jouis de la vie avec une femme que tu aimes, pendant tous les jours de ta vie de vanité que Dieu t’a donnée sous le soleil, pendant tous les jours de ta vanité; car c’est ta part dans la vie et dans le travail que tu fais sous le soleil.
Ishi kwa furaha na mwanamke umpendaye siku zako zote za maisha yako ya ubatili, siku ambazo Mungu amekupatia chini ya jua wakati wa siku zako za ubatili. Hiyo ni thawabu kwa ajili ya kazi yako chini ya jua.
10 Tout ce que ta main peut faire, fais-le avec ta force; car il n’y a plus ni œuvre, ni intelligence, ni science, ni sagesse, dans le schéol où tu vas. (Sheol h7585)
Chochote mkono wako unakifanya, kifanye kwa nguvu zako kwa sababu hakuna kazi, au ufafanuzi au ujuzi au hekima katika Sheol, unapoenda. (Sheol h7585)
11 Je me suis tourné et j’ai vu sous le soleil que la course n’est pas aux agiles, ni la guerre aux vaillants, ni le pain aux sages, ni la richesse aux intelligents, ni la faveur aux savants; car le temps et les accidents les atteignent tous.
Nimeona baadhi ya vitu vyakuvutia chini ya jua: Mashindano hayatokani na watu wenye mbio. Vita havitokani na watu imara. Mkate hautokani na watu wenye busara. Mali hazitokani na watu wenye ufahamu. Kibali hakitokani na watu wenye ujuzi. Badala yake muda na bahati huwaathiri wao wote.
12 Car l’homme ne connaît même pas son heure, pareil aux poissons qui sont pris au filet fatal, pareil aux oiseaux qui sont pris au piège; comme eux les enfants des hommes sont enlacés au temps du malheur, quand il fond sur eux tout à coup.
Kwa kuwa hakuna anaye fahamu wakati wake wa kufa, kama vile samaki wanaswavyo katika nyavu ya kifo, au kama vile ndege akamatwavyo katika mtego. Kama wanyama wanadamu wamefungwa katika nyakati mbaya ambazo ghafla huwaangukia.
13 J’ai encore vu sous le soleil ce trait de sagesse, et celle-ci m’a paru grande.
Pia nimeona hekima chini ya jua kwa namna ambayo kwangu ilionekana kubwa.
14 Il y avait une petite ville, avec peu d’hommes dans ses murs; un roi puissant vint contre elle, l’investit, et bâtit contre elle de hautes tours.
Kulikuwa na mji mdogo na watu wachache ndani yake, na mfalme mkuu akaja kinyume na mji huo na akauzingira na akajenga mahandaki kwa ajili ya kuushambulia.
15 Et il s’y trouva un homme pauvre et sage, qui sauva la ville par sa sagesse. Et personne ne s’est souvenu de cet homme pauvre.
Na katika mji kulikuwa na masikini, mtu mwenye hekima, ambaye kwa hekima yake aliuokoa mji. Ila baadaye aliye mkumbuka yule masikini.
16 Et j’ai dit: « La sagesse vaut mieux que la force; mais la sagesse du pauvre est méprisée, et ses paroles ne sont pas écoutées. »
Hivyo, nikasema, “Hekima ni bora kuliko nguvu, lakini hekima ya mtu masikini hudharauliwa, na maneno yake hayasikilizwi.”
17 Les paroles des sages, prononcées avec calme, sont écoutées, mieux que les cris d’un chef au milieu des insensés.
Maneno ya watu wenye hekima yaliongewa polepole yanasikiwa vizuri kuliko makelele ya mtawala yeyote miongoni mwa wapumbavu.
18 La sagesse vaut mieux que des instruments de guerre; mais un seul pécheur peut détruire beaucoup de bien.
Hekima ni bora kuliko silaha za vita, lakini mwenye dhambi mmoja anaweza kuharibu mazuri mengi.

< Ecclésiaste 9 >