< Deutéronome 27 >

1 Moïse, avec les anciens d’Israël, donna cet ordre au peuple: « Observez tout le commandement que je vous prescris aujourd’hui.
Musa na wazee wa Israeli waliwaamuru watu na kusema, “Zishikeni amri zote ninazowaamuru leo.
2 Lorsque vous aurez passé le Jourdain pour entrer dans le pays que te donne Yahweh, ton Dieu, tu dresseras de grandes pierres et tu les enduiras de chaux,
Katika siku mtakapopita juu ya Yordani kwenye nchi ambayo Yahwe Mungu wako anawapatia, mnapaswa kutengeneza mawe kiasi makubwa na kuyachapa kwa lipu.
3 et tu écriras dessus toutes les paroles de cette loi, après ton passage, afin que tu entres dans le pays que Yahweh, ton Dieu, te donne, pays où coulent le lait et le miel, comme te l’a dit Yahweh, le Dieu de tes pères.
Mnatakiwa kuyaandika juu yake maneno yote ya sheria hii pale mtakapovuka; ili muweze kwenda katika nchi ambayo Yahwe Mungu wako anawapatia, nchi inayotiririka kwa maziwa na asali, kama Yahwe, Mungu wa mababu zenu, alivyowaahidi.
4 Lors donc que vous aurez passé le Jourdain, vous dresserez sur le mont Hébal ces pierres que je vous prescris aujourd’hui, et tu les enduiras de chaux.
Mtakapovuka juu ya Yordani, yapangane haya mawe ninayowaamuru leo, juu ya mlima wa Ebali, na myapige kwa lipu.
5 Et tu bâtiras là un autel à Yahweh, un autel de pierres sur lesquelles tu ne porteras pas le fer.
Hapo mnapaswa kujenga dhabahu kwa Yahwe Mungu wako, dhabahu la mawe; lakini hautakiwi kuinua chombo cha chuma kujenga mawe.
6 Tu bâtiras en pierres brutes l’autel de Yahweh, ton Dieu. Et tu offriras dessus des holocaustes à Yahweh, ton Dieu;
Unatakiwa kujenga dhabahu ya Yahwe Mungu wako kwa mawe yasiyokuwa na kazi; unatakiwa kutoa dhabihu ya kuteketeza juu yake kwa Yahwe Mungu wako,
7 tu offriras des sacrifices pacifiques, et tu mangeras là et tu te réjouiras devant Yahweh, ton Dieu.
na utatoa sadaka ya pamoja na utakula pale; utafurahia mbele ya Yahwe Mungu wako.
8 Tu écriras sur ces pierres toutes les paroles de cette loi en caractères bien nets. »
Utaandika juu ya mawe maneno yote ya sheria hii kwa wazi.
9 Moïse et les prêtres lévitiques parlèrent à tout Israël, en disant: « Garde le silence et écoute, ô Israël! Aujourd’hui tu es devenu le peuple de Yahweh, ton Dieu.
Musa na makuhani, Walawi, waliongea na Waisraeli wote na kusema, “Nyamazeni na sikilizeni Israel: Leo mmekuwa watu wa Yahwe Mungu wenu.
10 Tu obéiras donc à la voix de Yahweh, ton Dieu, et tu mettras en pratique ses commandements et ses lois, que je te prescris aujourd’hui. »
Mnapaswa basi kutii sauti ya Yahwe Mungu wenu na kutii amri na sheria zake ambazo ninawaamuru leo.”
11 Le même jour, Moïse donna cet ordre au peuple:
Musa aliwaamuru watu siku hiyo hiyo na kusema,
12 « Lorsque vous aurez passé le Jourdain, ceux-ci se tiendront sur le mont Garizim, pour bénir le peuple: Siméon, Lévi, Juda, Issachar, Joseph et Benjamin.
“Makabila haya yanapaswa kusimama katika mlima Gerizimu kuwabariki watu baada ya nyinyi kuvuka Yordani; Simeoni, Lawi, Judah, Isakari, Yusufu na Benyamini.
13 Et ceux-là se tiendront sur le mont Hébal pour la malédiction: Ruben, Gad, Aser, Zabulon, Dan et Nephthali.
Haya ni makabila ambayo lazima yasimame juu yam lima Ebali kutamka laana: Rubeni, Gadi, Asheri, Zabuloni, Dan na Naftali.
14 Et les Lévites prendront la parole et diront d’une voix haute à tous les hommes d’Israël:
Walawi watajibu na kusema kwa wanamume wote wa Israeli kwa sauti kubwa:
15 Maudit soit l’homme qui fait une image taillée ou une image de fonte, abomination de Yahweh, œuvre des mains d’un artisan, et qui la place dans un lieu secret! — Et tout le peuple répondra et dira: Amen!
“Alaaniwe mwanamume atakayechonga sanamu au kinyago, chukizo kwa Yahwe, kazi ya mikono ya fundi, ambayo ataifanya sirini”. Kisha watu wote wanapaswa kujibu na kusema, ‘Amina’.
16 Maudit soit celui qui méprise son père et sa mère! — Et tout le peuple dira: Amen!
Alaaniwe mwanamume atakayemuaibisha baba yake au mama yake. Kisha watu wote waseme, 'Amina'.
17 Maudit soit celui qui déplace la borne de son prochain! — Et tout le peuple dira: Amen!
Alaaniwe mwanamume anayetoa alama ya ardhi.' Kisha watu wote na waseme, 'Amina'.
18 Maudit soit celui qui fait égarer un aveugle dans le chemin! — Et tout le peuple dira: Amen!
Alaaniwe mwanamume asababishae kipofu kutoka nje ya barabara. Kisha watu wote waseme, ‘Amina’.
19 Maudit soit celui qui viole le droit de l’étranger, de l’orphelin et de la veuve! — Et tout le peuple dira: Amen!
Alaaniwe mwanamume atumiaye nguvu kupokonya haki inayomstahili mgeni, yatima, au mjane. Kisha watu wote lazima waseme, ‘Amina’.
20 Maudit soit celui qui couche avec la femme de son père, car il soulève la couverture de son père! — Et tout le peuple dira: Amen!
Alaaniwe mwanamume atakayelala na mke wa baba yake, kwa sababu atakuwa amechukua haki za baba yake’. Kisha watu wote lazima waseme, ‘Amina’.
21 Maudit soit celui qui couche avec une bête quelconque! — Et tout le peuple dira: Amen!
Alaaniwe mwanamume atakayelala na aina yoyote ya mnyama’. Kisha watu wote lazima waseme, ‘Amina’.
22 Maudit soit celui qui couche avec sa sœur, fille de son père ou fille de sa mère! — Et tout le peuple dira: Amen!
Alaaniwe mwanamume atakayelala na dada yake, binti wa baba yake, au binti wa mama yake. Kisha watu wote lazima waseme, ‘Amina’.
23 Maudit soit celui qui couche avec sa belle-mère! — Et tout le peuple dira: Amen!
Alaaniwe mwanamume atakayelala na mama mkwe’. Kisha watu wote lazima waseme, ‘Amina’.
24 Maudit soit celui qui frappe en secret son prochain! — Et tout le peuple dira: Amen!
Alaaniwe mwanamume atakayemuua jirani yake kwa siri’. Kisha watu wote lazima waseme, ‘Amina’.
25 Maudit soit celui qui reçoit un présent pour frapper une vie, répandre le sang innocent! — Et tout le peuple dira: Amen!
Alaaniwe mwanamume apokeaye rushwa kumuua mtu asiye na hatia’. Kisha watu wote lazima waseme, ‘Amina’.
26 Maudit soit celui qui ne maintient pas les paroles de cette loi, en les mettant en pratique! — Et tout le peuple dira: Amen!
Alaaniwe mwanamume asiyethibitisha maneno ya sheria hii, ili kwamba ayatii.’ Kisha watu wote lazima waseme, ‘Amina’.

< Deutéronome 27 >