< Daniel 10 >

1 La troisième année de Cyrus, roi de Perse, une parole fut révélée à Daniel, qui avait été nommé Baltassar; cette parole est véritable, et elle annonçait une grande guerre. Il comprit la parole et il eut l’intelligence de la vision:
Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Koreshi mfalme wa Uajemi, Danieli (ambaye aliitwa Belteshaza) alipewa ufunuo. Ujumbe wake ulikuwa kweli, nao ulihusu vita vikubwa. Ufahamu wa ujumbe ulimjia katika maono.
2 En ces jours-là, moi, Daniel, je fus dans le deuil pendant trois semaines de jours.
Wakati huo, mimi Danieli nikaomboleza kwa majuma matatu.
3 Je ne mangeai aucun mets délicat; il n’entra dans ma bouche ni viande, ni vin, et je ne m’oignis pas jusqu’à ce que les trois semaines de jours fussent accomplies.
Sikula chakula kizuri; nyama wala divai havikugusa midomo yangu; nami sikujipaka mafuta kamwe mpaka majuma matatu yalipotimia.
4 Le vingt-quatrième jour du premier mois, j’étais sur le bord du grand fleuve, qui est le Tigre.
Kwenye siku ya ishirini na nne ya mwezi wa kwanza, nilipokuwa nimesimama kwenye ukingo wa mto mkubwa Hidekeli,
5 Je levai les yeux et je regardai: et voici un homme vêtu de lin, les reins ceints d’une ceinture d’or d’Uphaz.
nikatazama juu, na mbele yangu alikuwepo mtu aliyevaa mavazi ya kitani na mshipi wa dhahabu safi kutoka ufazi kiunoni mwake.
6 Son corps était comme le chrysolithe, son visage avait l’aspect de l’éclair, ses yeux étaient comme des torches de feu, ses bras et ses pieds avaient l’aspect de l’airain poli, et sa voix, quand il parlait, était comme la voix d’une multitude.
Mwili wake ulikuwa kama kito cha zabarajadi safi, uso wake kama umeme wa radi, macho yake kama mwali wa moto, mikono yake na miguu yake kama mngʼao wa shaba iliyosuguliwa sana, nayo sauti yake kama ya umati mkubwa wa watu.
7 Moi, Daniel, je vis seul l’apparition, et les hommes qui étaient avec moi ne virent pas l’apparition, mais une grande frayeur tomba sur eux, et ils s’enfuirent pour se cacher.
Mimi Danieli, ni mimi peke yangu niliyeona hayo maono; watu waliokuwa pamoja nami hawakuyaona, lakini waligubikwa na hofu kuu, hata wakakimbia na kujificha.
8 Et moi, je restai seul et je vis cette grande apparition, et il ne resta plus en moi de force; mon visage changea de couleur et se décomposa sans conserver aucune force.
Kwa hiyo niliachwa peke yangu, nikikodolea macho maono hayo makubwa; sikubakiwa na nguvu, na rangi ya uso wangu ikabadilika kama aliyekufa, nikakosa nguvu.
9 J’entendis le son de ses paroles et, en entendant le son de ses paroles, je tombai assoupi, la face contre terre.
Kisha nikamsikia akisema, nami nilipokuwa nikimsikiliza, nikalala kifudifudi, nikapatwa na usingizi mzito.
10 Et voici qu’une main me toucha et me fit dresser sur mes genoux et sur les paumes de mes mains.
Mkono ulinigusa, ukaninyanyua, na kuniweka nikipiga magoti na mikono yangu ikashika chini, huku nikiwa bado ninatetemeka.
11 Puis il me dit: « Daniel, homme favorisé de Dieu, comprends les paroles que je vais te dire et tiens-toi debout; car je suis maintenant envoyé vers toi. » Quand il m’eut parlé en ces termes, je me tins debout en tremblant.
Akasema, “Danieli, wewe mtu upendwaye sana, fikiri kwa makini maneno ninayokwenda kunena nawe sasa; simama wima, kwa maana sasa nimetumwa kwako.” Naye aliponiambia haya, nikasimama nikitetemeka.
12 Il me dit: « Ne crains point, Daniel, car dès le premier jour où tu as appliqué ton cœur à comprendre et à t’humilier devant ton Dieu, tes paroles ont été entendues, et moi, je suis venu à cause de tes paroles.
Ndipo akaendelea kusema, “Danieli, usiogope. Tangu siku ya kwanza ulipotia moyo wako ili kupata ufahamu na kujinyenyekeza mbele ya Mungu wako, maneno yako yalisikiwa, nami nimekuja ili kujibu maneno yako.
13 Mais le chef du royaume de Perse s’est tenu devant moi vingt et un jours, et voici que Michel, un des premiers chefs, est venu à mon secours, et je suis resté là auprès des rois de Perse.
Lakini mkuu wa ufalme wa Uajemi alinipinga kwa siku ishirini na moja. Ndipo Mikaeli, mmoja wa malaika wakuu, alikuja kunisaidia, kwa sababu nilikuwa nimezuiliwa huko na mfalme wa Uajemi.
14 Et je suis venu pour te faire comprendre ce qui doit arriver à ton peuple à la fin des jours; car c’est encore une vision pour des jours lointains.
Sasa nimekuja kukuelezea mambo yatakayowatokea watu wako wakati ujao, kwa maana maono hayo yanahusu wakati ambao haujaja bado.”
15 Pendant qu’il parlait avec moi en ces termes, je tournais la face vers la terre et je restais muet.
Alipokuwa akinielezea haya, nilisujudu uso wangu ukiwa umeelekea chini, nikawa bubu.
16 Et voici: comme une ressemblance de fils de l’homme toucha mes lèvres, et j’ouvris la bouche et je parlai; je dis à celui qui se tenait devant moi: « Mon seigneur, à cette apparition, les angoisses m’ont saisi et je n’ai conservé aucune force.
Ndipo mmoja aliyeonekana kama mwanadamu akanigusa midomo yangu, nami nikafungua kinywa changu, nikaanza kunena. Nikamwambia yule aliyesimama mbele yangu, “Nimepatwa na huzuni kubwa kwa sababu ya maono haya, bwana wangu, nami nimeishiwa nguvu.
17 Comment le serviteur de mon seigneur que voici pourrait-il parler à mon seigneur que voilà? En ce moment, il n’y a plus de force en moi et il ne reste plus de souffle en moi. »
Bwana wangu, mimi mtumishi wako nitawezaje kuzungumza na wewe? Nguvu zangu zimeniishia hata ninashindwa kupumua.”
18 Alors celui qui avait la ressemblance d’un homme me toucha de nouveau et me fortifia.
Tena yule aliyeonekana kama mwanadamu akanigusa na kunitia nguvu.
19 Puis il me dit: « Ne crains point, homme favorisé de Dieu; que la paix soit avec toi! Courage! courage! » Pendant qu’il parlait avec moi, je repris des forces et je dis: « Que mon seigneur parle, car tu m’as fortifié. »
Akasema, “Ee mtu upendwaye sana, usiogope. Amani iwe kwako! Uwe na nguvu sasa; jipe nguvu.” Alipozungumza nami, nilipata nguvu, nikasema, “Nena, bwana wangu, kwa kuwa umenipa nguvu.”
20 Il me dit: « Sais-tu pourquoi je suis venu vers toi? Maintenant, je vais retourner combattre le chef de la Perse; et, au moment où je m’en irai, voici le chef de Javan qui viendra.
Kwa hiyo akasema, “Je, unajua kwa nini nimekujia? Sasa hivi nitarudi kupigana dhidi ya mkuu wa Uajemi, nami nikienda, mkuu wa Uyunani atakuja.
21 Mais je te déclarerai ce qui est écrit dans le livre de vérité; et il n’y en a pas un qui se tienne avec moi contre ceux-là, sinon Michel, votre chef.
Lakini kwanza nitakuambia kile kilichoandikwa katika Kitabu cha Kweli. (Hakuna hata mmoja anayenisaidia dhidi yao isipokuwa Mikaeli, mkuu wenu.

< Daniel 10 >