< 2 Samuel 17 >

1 Achitophel dit à Absalom: « Laisse-moi choisir douze mille hommes; je me lèverai et je poursuivrai David cette nuit même et,
Kisha Ahithofeli akamwambia Absalomu, “Niruhusu sasa nichague watu elfu kumi na mbili nami nitaondoka na kumfuatia Daudi usiku huu.
2 tombant sur lui à l’improviste pendant qu’il est fatigué et que ses mains sont affaiblies, je l’épouvanterai, et tout le peuple qui est avec lui s’enfuira; je frapperai alors le roi seul,
Nitampata kwa ghafla wakati amechoka na dhaifu nami nitamstukiza kwa hofu. Watu waliopamoja naye watakimbia nami nitamshambulia mfalme peke yake.
3 et je ramènerai à toi tout le peuple: l’homme à qui tu en veux vaut le retour de tous; et tout le peuple sera en paix. »
Nitawarejesha watu wote kwako kama bibi harusi ajavyo kwa bwana wake, na watu wote watakuwa katika amani chini yako.”
4 Ce discours plut à Absalom et à tous les anciens d’Israël.
Alichokisema Ahithofeli kikampendeza mfalme na wazee wote wa Israeli.
5 Cependant Absalom dit: « Appelez encore Chusaï l’Arachite et que nous entendions ce que lui aussi a dans la bouche. »
Kisha Absalomu akasema, “Sasa mwiteni pia Hushai Mwarki ili tusikie yeye pia anasemavyo.”
6 Chusaï vint auprès d’Absalom, et Absalom lui dit: « Voici comment a parlé Achitophel; devons-nous faire ce qu’il a dit? Sinon, parle à ton tour. »
Hushai alipofika kwa Absalomu, Absalomu akamweleza kile ambacho Ahithofeli alikuwa amesema na kisha akamwuliza Hushai, “Je tufanye alivyosema Ahithofeli? Ikiwa hapana, tueleze kile unachoshauri.”
7 Chusaï répondit à Absalom: « Pour cette fois, le conseil qu’a donné Achitophel n’est pas bon. »
Hivyo Hushai akamwambia Absalomu, “Ushauri aliotoa Ahithofeli siyo mzuri kwa wakati huu.”
8 Et Chusaï ajouta: « Tu sais que ton père et ses gens sont des braves; ils sont exaspérés comme le serait dans la campagne une ourse privée de ses petits. Ton père est un homme de guerre, et il ne passe pas la nuit avec le peuple.
Hushai akaongeza, “Unamjua baba yako na kwamba watu wake ni mashujaa na kwa sasa wanauchungu, ni kama dubu aliyenyang'anywa watoto wake mwituni. Baba yako ni mtu wa vita; hatalala na jeshi usiku huu.
9 Voici que maintenant il est caché dans quelque ravin ou dans quelque autre lieu. Et si, dès le commencement, il tombe quelques-uns des vôtres, on l’apprendra et l’on dira: Il y a eu une déroute dans le peuple qui suit Absalom.
Tazama, kwa wakati huu pengine amejificha katika shimo fulani au mahali pengine. Itakuwa kwamba baadhi ya watu wako watakapokuwa wameuawa mwanzoni mwa shambulio hata kila mtu atakayesikia atasema, mauaji yamefanyika kwa askari wanaomfuata Absalomu.'
10 Alors, même le plus vaillant, son cœur fût-il comme un cœur de lion, sera découragé; car tout Israël sait que ton père est un héros, et que ceux qui l’accompagnent sont des braves.
Kisha hata askari jasiri zaidi ambao moyo wao ni kama moyo wa simba, wataogopa kwa kuwa Israeli yote inajua kwamba baba yako ni mtu mwenye nguvu na kwamba watu alionao ni wenye nguvu sana.
11 Je conseille donc que tout Israël se rassemble auprès de toi, depuis Dan jusqu’à Bersabée, multitude pareille au sable qui est sur le bord de la mer; et tu marcheras en personne au combat.
Hivyo ninashauri kwamba Israeli wote wakutanike kwako pamoja kutoka Dani hadi Beersheba, wengi kama mchanga ufuoni mwa bahari na kwamba wewe mwenyewe uende vitani.
12 Nous l’atteindrons en quelque lieu qu’il se trouve, et nous tomberons sur lui comme la rosée tombe sur le sol, et nous ne laisserons échapper ni lui, ni aucun de tous les hommes qui sont avec lui.
Kisha tutampata popote atakapokuwa nasi tutamfunika kama umande uangukavyo juu ya nchi. Hatutamwachia hata mmoja aliye hai kati ya watu wake wala yeye mwenyewe.
13 S’il se retire dans une ville, tout Israël apportera des cordes vers cette ville, et nous la traînerons jusqu’au torrent, jusqu’à ce qu’on n’y trouve plus même une pierre. »
Ikiwa ataingia ndani ya mji kisha Israeli wote tutaleta kamba juu ya mji huo na kuukokotea mtoni, hata kusionekane hata jiwe moja dogo lililosalia.”
14 Absalom et tous les gens d’Israël dirent: « Le conseil de Chusaï l’Arachite vaut mieux que le conseil d’Achitophel. » Yahweh avait décidé de rendre vain le bon conseil d’Achitophel, afin que Yahweh amenât le malheur sur Absalom.
Kisha Absalomu na watu wa Israeli wakasema, “Shauri la Hushai Mwarki ni jema kuliko lile la Ahithofeli. Yahwe aliwafanya wakatae shauri jema la Ahithofeli ili kumwangamiza Absalomu.
15 Chusaï dit aux prêtres Sadoc et Abiathar: « Achitophel a donné tel et tel conseil à Absalom et aux anciens d’Israël, et moi j’ai donné tel et tel conseil.
Kisha Hushai akawambia Sadoki na Abiathari makuhani, “Ahithofeli alimshauri Absalomu na wazee wa Israeli hivi na hivi, lakini mimi nimeshauri vinginevyo.
16 Envoyez donc de suite informer David, et faites-lui dire: Ne passe pas la nuit dans les plaines du désert, mais hâte-toi de traverser, de peur qu’il n’y ait un suprême désastre pour le roi et pour tout le peuple qui est avec lui. »
Sasa basi, nendeni haraka na mmtaarifu Daudi kusema, 'Usipige kambi usiku huu katika vivuko vya Araba, lakini kwa namna yoyote vukeni, tofauti na hapo mfalme atamezwa pamoja na watu wote walio pamoja naye.”
17 Jonathas et Achimaas se tenaient à En-Rogel; la servante allait les informer, et eux-mêmes allaient donner avis au roi David; car ils ne pouvaient se faire voir en entrant dans la ville.
Yonathani na Ahimaasi walikuwako katika chemichemi za En Rogeli. Hivyo kijakazi mmoja alikuwa akienda na kuwapasha habari waliyopaswa kuifahamu, ili kwamba wasihatarishe maisha yao kwa kuonwa wakiingia mjini. Ujumbe ulipofika ndipo huenda na kumtaarifu mfalme Daudi.
18 Un jeune homme les ayant aperçus, il le rapporta à Absalom. Mais ils se hâtèrent tous deux de partir, et ils arrivèrent à Bahurim, dans la maison d’un homme qui avait une citerne dans sa cour, et ils y descendirent.
Lakini kijana mmoja akawaoni mara akamwambia Absalomu. Hivyo Yonathani na Ahimaasi wakaenda kwa haraka na wakaingia katika nyumba ya mtu mmoja huko Bahurimu, aliyekuwa na kisima katika ua wake wakaingia humo.
19 La femme prit une couverture, qu’elle étendit au dessus de la citerne, et elle y répandit du grain pilé, en sorte qu’on ne remarquait rien.
Mke wa mtu huyo akachukua kifuniko na kukikufunika kwenye mlango wa kisima kisha akaanika nafaka juu yake, hivyo hakuna aliyejua kwamba Yonathani na Ahimaasi walikuwa kisimani.
20 Les serviteurs d’Absalom entrèrent chez la femme dans la maison, et dirent: « Où sont Achimaas et Jonathas? » La femme leur répondit: « Ils ont passé le ruisseau. » Ils cherchèrent et, ne les trouvant pas, ils retournèrent à Jérusalem.
Watu wa Absalomu wakaja kwa mwanamke na kumwuliza, “Ahimaasi na Yonathani wako wapi?” Mwanamke akawaambia, “Wamevuka mto.” Hivyo baada ya kuwatafuta bila kuwaona kurejea Yerusalemu.
21 Après leur départ, Achimaas et Jonathas remontèrent de la citerne, et allèrent informer le roi David. Ils dirent à David: « Levez-vous et hâtez-vous de passer l’eau, car Achitophel a donné tel conseil contre vous. »
Ikawa baada yao kuondoka Yonathani na Ahimaasi wakatoka ndani ya kisima. Wakaenda kumtaarifu mfalme Daudi; wakamwambia, “Inuka na uvuke maji haraka kwa maana Ahithofeli ametoa mashauri haya na haya juu yako.”
22 David et tout le peuple qui était avec lui, s’étant levés, passèrent le Jourdain; au point du jour, il n’en restait pas un seul qui n’eût passé le Jourdain.
Kisha Daudi akainuka pamoja na watu wote walikuwa pamoja naye, nao wakauvuka Yordani. Hata ilipofika alfajiri hakuna hata mmoja aliyesalia kwa kutouvuka Yordani.
23 Quand Achitophel vit que son conseil n’était pas suivi, il sella son âne, et se leva pour s’en aller chez lui dans sa ville; puis, après avoir donné ses ordres à sa maison, il s’étrangla, et mourut; et on l’enterra dans le tombeau de son père.
Ikawa Ahithofeli alipoona kwamba ushauri wake haukufuatwa, akapanda punda wake na kuondoka. Akaenda nyumbani katika mji wake mwenyewe, akaweka mambo yake katika utaratibu na kisha akajinyonga. Kwa hiyo akafa na kuzikwa katika kaburi la baba yake.
24 David arriva à Mahanaïm; et Absalom passa le Jourdain, lui et tous les hommes d’Israël avec lui.
Ndipo Daudi akaja Mahanaimu. Lakini Absalomu yeye akavuka Yordani yeye pamoja na watu wote wa Israeli waliokuwa pamoja naye.
25 Absalom avait mis à la tête de l’armée Amasa, à la place de Joab; Amasa était fils d’un homme appelé Jéthra, l’Ismaélite, qui était allé vers Abigaïl, fille de Naas, sœur de Sarvia, la mère de Joab.
Absalomu alikuwa amemweka Amasa juu ya jeshi badala ya Yoabu. Naye huyo Amasa alikuwa mwana wa Yetheri Mwishmaeli, aliyekuwa amelala na Abigaili, aliyekuwa binti Nahashi na dada wa Seruya, mamaye Yoabu.
26 Ainsi Israël et Absalom campaient dans le pays de Galaad.
Kisha Israeli na Absalomu wakapiga kambi katika nchi ya Gileadi.
27 Lorsque David fut arrivé à Mahanaïm, Sobi, fils de Naas, de Rabba des fils d’Ammon, Machir, fils d’Ammiel de Lodabar, et Berzellaï, le Galaadite, de Rogelim,
Ikawa wakati Daudi alipokuwa amekuja Mahanaimu, huyo Shobi mwana wa Nahashi kutoka Raba ya Waamoni na Makiri mwana wa Amieli wa kutoka Lo Debari, na Berzilai Mgileadi wa Rogelimu,
28 vinrent lui offrir des lits, des plats, des vases de terre, du froment, de l’orge, de la farine, du grain rôti, des fèves, des lentilles, du grain rôti,
wakaleta magodoro na mabulangeti, mabakuri na vyungu, na ngano, unga wa shayiri, nafaka zilizokaangwa, maharage, dengu,
29 du miel, du beurre, des brebis et des fromages de vache: ils apportèrent ces choses en nourriture à David et au peuple qui était avec lui, car ils disaient: « Ce peuple a souffert de la faim, de la fatigue et de la soif dans le désert. »
asali, siagi, kondoo na samli, ili kwamba Daudi na watu waliokuwa pamoja naye waweze kula. Kwani walisema, “Watu wana njaa, wamechoka na wana kiu huko nyikani.”

< 2 Samuel 17 >