< 2 Chroniques 3 >
1 Salomon commença à bâtir la maison de Yahweh à Jérusalem, sur le mont Moria, qui avait été indiqué à David, son père, au lieu qu’avait préparé David, sur l’aire d’Ornan le Jébuséen.
Kisha Selemani akaanza kuijenga nyumba ya Yahwe katika Yerusalemu juu ya Mlima Moria, ambako Yahwe alimtokea Daudi baba yake. Aliandaa sehemu ambayo Daudi aliikusudia, katika sakafu ya kupuria ya Arauna Myebusi.
2 Il commença à bâtir le deuxième jour du deuxième mois, en la quatrième année de son règne.
Alianza kujenga siku ya pili ya mwezi wa pili, katika mwaka wa nne wa utawala wake.
3 Voici les fondements que posa Salomon pour bâtir la maison de Dieu. La longueur, en coudées de l’ancienne mesure, était de soixante coudées, et la largeur de vingt coudées.
Sasa hivi ndinyo vipimo vya ule msingi ambao Selemani alijenga kwa ajili ya nyumba ya Mungu. Akitumia mtindo wa vipimo vya zamani, urefu ulikuwa mikono sitini, na upana ulikuwa mikono ishirini.
4 Le portique qui était sur le devant de la longueur, répondant à la largeur de la maison, avait vingt coudées de longueur et cent vingt coudées de hauteur; Salomon le couvrit d’or pur à l’intérieur.
Urefu wa ukumbi mbele ya nyumba ulikuwa mikono ishirini, ukilingana na upana wa nyumba, urefu wake kwenda juu pia ulikuwa mikono ishirini, na Selemani akaifunika sehemu ya ndani kwa dhahabu halisi.
5 Il revêtit la grande maison de bois de cyprès, il la revêtit d’or pur et y fit sculpter des palmes et des chaînettes.
Akailitengeneza paa la ukumbi mkuu kwa miti ya miberoshi, ambayo aliifunika kwa dhahabu halisi, na ambayo aliifunika kwa miti ya mitende na minyororo.
6 Il revêtit la maison de pierres précieuses pour la décorer, et l’or était de Parvaïm.
Akaipamba nyumba kwa vito vya thamani; dhahabu ilikuwa dhahabu kutoka Parvaimu.
7 Il revêtit d’or la maison, les poutres, les seuils, les murs et les portes, et il fit sculpter des chérubins sur les murs.
Pia akazifunika boriti zake, vizingiti, kuta, na milango kwa dhahabu; akachonga makerubi juu ya kuta zake.
8 Il fit la maison du Saint des saints; sa longueur, répondant à la largeur de la maison, était de vingt coudées, et sa largeur de vingt coudées. Il la revêtit d’or pur, pour une valeur de six cents talents;
Akaijenga sehemu ya patakatifu pa patakatifu. Urefu wake ulilingana na upana wa nyumba, mikono ishirini, na upana wake pia ulikuwa mikono ishirini. Aliifunika kwa dhahabu halisi, thamani yake ilikuwa talanta mia sita.
9 et le poids de l’or pour les clous était de cinquante sicles. Il revêtit aussi d’or les chambres hautes.
Uzito wa misumari ulikuwa shekeli hamsini za dhahabu. Alizifunika sehemu za juu kwa dhahabu.
10 Il fit dans la maison du Saint des saints deux chérubins, œuvre de sculpture, et on les revêtit d’or.
Akachonga makerubi wawili kwa ajili ya sehemu za patakatifu pa patakatifu, wahunzi wakayafunika kwa dhahabu. (Maandishi ya kale yanasema: makerubi wawili waliochongwa kwenye mbao).
11 Les ailes des chérubins avaient ensemble vingt coudées de longueur. Une aile du premier, longue de cinq coudées, touchait au mur de la maison, et l’autre aile, longue de cinq coudées, touchait à l’aile de l’autre chérubin.
Mabawa ya makerubi yalikuwa na urefu wa mikono ishirini yote kwa pamoja; bawa la kerubi mmoja lilikuwa na urefu wa mikono mitano, lilifikia kwenye ukuta wa chumba; bawa jingine lilikuwa na urefu wa mikono mitano pia.
12 Une aile du second chérubin, longue de cinq coudées, touchait au mur de la maison; et l’autre aile, longue de cinq coudées, rejoignait l’aile de l’autre chérubin.
Bawa la kerubi mwingine lilikuwa mikono mitano, likifikia kwenye ukuta wa chumba; bawa lake jingine lilikuwa mikono mitano pia, likigusana na bawa la kerubi wa kwanza.
13 Les ailes de ces chérubins, déployées, avaient vingt coudées. Ils étaient debout sur leurs pieds, la face tournée vers la maison.
Mabawa ya makerubi hawa yalienea jumla ya mikono mitano. Makerubi yalisimama kwa miguu yake, na nyuso zake zikiuelekea ukumbi mkuu.
14 Salomon fit un voile de pourpre violette, de pourpre rouge, de cramoisi et de fin lin, et il y broda des chérubins.
Akatengeneza pazia la samawati, dhambarau, na sufu nyekundu, na kitani safi, na akachora makerubi juu yake.
15 Il fit devant la maison deux colonnes de trente-cinq coudées de hauteur, et le chapiteau qui était sur leur sommet avait cinq coudées.
Selemani pia akatengeneza nguzo mbili, kila moja ikiwa na urefu wa mikono thelathini na tano kwenda juu, kwa maana mbele ya nyumba; taji ambazo zilikuwa juu ya nguzo zilikuwa na urefu wa mikono mitano kwenda juu.
16 Il fit des chaînettes, comme dans le sanctuaire, et les mit au haut des colonnes, et il fit cent grenades qu’il mit dans les chaînettes.
Akatengeneza minyororo kwa ajili ya nguzo na akaiweka juu yake, pia akatengeneza maakomamanga mia moja na akayaunganisha kwenye minyororo.
17 Il dressa les colonnes sur le devant du temple, l’une à droite, l’autre à gauche; il nomma celle de droite Jachin, et celle de gauche Booz.
Akazisimamisha nguzo mbele ya hekalu, mkono wa kulia, na nyingine mkono wa kushoto; akaiita nguzo ya kulia Yakini, na nguzo ya kushoto akaiita Boazi.