< 2 Chroniques 15 >

1 L’Esprit de Dieu vint sur Azarias, fils d’Oded,
Roho ya Mungu ikaja juu ya Azaria mwana wa Odedi.
2 qui alla au-devant d’Asa et lui dit: « Ecoutez-moi, Asa, et tout Juda et tout Benjamin. Yahweh est avec vous quand vous êtes avec lui; si vous le cherchez, il se laissera trouver par vous; mais si vous l’abandonnez, il vous abandonnera.
Akaenda nje kukutana na Asa na akamwambia, “Nisikilize, Asa, na Yuda wote na Benyamini: Yahwe yuko pamoja nanyi, pale mnapokuwa naye. Kama mtamtafuta, mtampata; lakini kama mtamsahau, atawasahau ninyi.
3 Pendant longtemps Israël a été sans vrai Dieu, sans prêtre qui enseignât, sans loi;
Sasa kwa muda mrefu, Israeli hawakuwa na Mungu wa kweli, bila kuhani wa kufundisha, na bila sheria.
4 mais, dans sa détresse, il s’est retourné vers Yahweh, son Dieu; ils l’ont cherché, et s’est laissé trouver par eux.
Lakini katika dhiki yao wakamrudia Yahwe, Mungu wa Israeli, na wakamtafuta, wakamta.
5 Dans ces temps-là, pas de sécurité pour ceux qui allaient et venaient, car de grandes confusions pesaient sur tous les habitants des pays.
Katika nyakati hizo hapakuwa na amani kwake aliyesafiri kwend mbali, wala kwake aliyesafiri kuja hapa; badala yake shsida kubwa zilikuwa juu ya wenyeji wote wa wanchi.
6 On se heurtait, peuple contre peuple, ville contre ville, parce que Dieu les agitait par toutes sortes de tribulations.
Waligawanyika vikundi vikundi, taifa dhidi ya taifa, na mji dhidi ya mji, kwa maana Mungu aliwapa shsida za kila aina ya kila mateso.
7 Vous donc, montrez-vous forts, et que vos mains ne faiblissent pas, car il y aura récompense pour vos œuvres. »
Lakini muwe hodari, na msiuache mkono wenu kuwa dhaifu, kwa maana kazi yen itapewa thawabu.”
8 En entendant ces paroles, la prophétie d’Oded, le prophète, Asa prit courage; il fit disparaître les abominations de tout le pays de Juda et de Benjamin et des villes qu’il avait prises dans la montagne d’Ephraïm, et restaura l’autel de Yahweh qui était devant le portique de Yahweh.
Asa aliposikia maneno haya, unabii wa odedi nabii, akajipa ujasiri na kuviondosha mbali vitu vya kuchukiza kutoka nchi yote ya Yuda na Benyamini, na kutoka miji yote aliyokuwa ameiteka kuanzia kilima cha nchi ya Efraimu, na akaijenga tena madhabahu ya Yahwe, ambayo ilikuwa mbele ya ukumbi wa nyumba ya Yahwe.
9 Il rassembla tout Juda et Benjamin, et ceux d’Ephraïm, de Manassé et de Siméon qui étaient venus séjourner parmi eux; car un grand nombre de gens d’Israël avaient passé de son côté, en voyant que Yahweh, son Dieu, était avec lui.
Akawakusanya Yuda wote na Benyamini, na wae waliokaa pamoja nao—watu wa kutoka Efraimu na Manase, na kutoka Simeoni. Kwa maana walikuja kwake katika hesabu kubwa kutoka Israeli, walipoona kwamba Yahwe Mungu wake alikuwa pamoja naye.
10 Ils s’assemblèrent à Jérusalem le troisième mois de la quinzième année du règne d’Asa.
Kwa hiyo wakakusanyika katika Yerusalemu katika mwezzi wa tatu, katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Asa.
11 Ce jour-là, ils immolèrent à Yahweh, sur le butin qu’ils avaient amené, sept cents bœufs et sept mille brebis.
Katika siku hiyo walimtolea Yahwe dhabihu baadhi ya nyara ambazo walikuwa wameleta; ng'mbe wa kulima mia saba na kondoo na mbuzi elfu saba.
12 Ils prirent l’engagement solennel de chercher Yahweh, le Dieu de leurs pères, de tout leur cœur et de toute leur âme,
Wakaingia kataika agano kwa ajili ya kumtafuta Yahwe, Mungu wa babau zao, kwa moyo wao wote na roho yao yote.
13 et quiconque ne rechercherait pas Yahweh, le Dieu d’Israël, serait mis à mort, le petit comme le grand, l’homme comme la femme.
Wakakubaliana kwamba yeyote atakepuuzia kumtafuta Yahwe, Mungu wa Israeli, atapaswa kuuawa, iwe mdogo ama mkubwa, iwe mwanaume ama mwanamke.
14 Ils firent un serment à Yahweh à haute voix, avec des cris d’allégresse, au son des trompettes et des cors;
Wakaapa kwa Yahwe kwa sauti kubwa, kwa kelele, na kwa sauti za tarumbeta na baragumu.
15 tout Juda fut dans la joie de ce serment, car ils avaient juré de tout leur cœur; car c’est de leur pleine volonté qu’ils avaient cherché Yahweh, et il s’était laissé trouver par eux; et Yahweh leur donna la paix tout à l’entour.
Yuda wote wakakifurahia kile kiaapo. kwa maana walikuwa wameapa kwa moyo wao wote, na walimtafuta Mungu kwa nia yao yote, na walimuona. Yahwe akawapa amani pande zote.
16 Le roi Asa ôta même à Maacha, sa mère, la dignité de reine-mère, parce qu’elle avait fait une idole abominable pour Astarté. Asa abattit son idole abominable et, l’ayant réduite en poudre, il la brûla au torrent de Cédron.
Pia akamwondoa Maaka, asiwe malikia, kwa sababu alikuwa amefanya sanamu ya kuchukiza ya Maashera. Asa akaivunja vunja sanamu ya kuchukiza, akaiweka kwenye mavumbi akaichoma moto huko kijitoni Kidroni.
17 Mais les hauts lieux ne disparurent pas d’Israël, quoique le cœur d’Asa fut parfait pendant toute sa vie.
Lakini sehemu za juu hazikuwa zimeondolewa nje ya Israeli. Vile vile, Moyo wa Asa ulijitoa kikamilifu siku zake zote.
18 Il déposa dans la maison de Dieu les choses consacrées par son père et les choses consacrées par lui-même, de l’argent, de l’or et des vases.
Akaleta kwenye nyumba ya Mungu vitu vya baba yake na vitu vyake mwenyewe vilivyokuwa vya Yahwe: vitu vya fedha na dhahabu.
19 Il n’y eut pas de guerre jusqu’à la trente-cinquième année du règne d’Asa.
Hapakuwa na vita zaidi hadi miaka thelathini na mitano ya utawala wa Asa.

< 2 Chroniques 15 >