< 1 Thessaloniciens 3 >

1 Aussi, n’y tenant plus, nous avons préféré rester seul à Athènes,
Kwa hiyo, tulipo kuwa hatuwezi kuvumilia zaidi, tulifikiri kuwa ilikuwa vema kubaki kule Athene peke yetu.
2 et nous vous avons envoyé Timothée, notre frère et ministre de Dieu dans la prédication de l’Evangile du Christ, pour vous affermir et vous encourager dans votre foi,
Tulimtuma Timotheo, ndugu yetu na mtumishi wa Mungu katika injili ya Kristo, kuwaimalisha na kuwafariji kuhusiana na imani yenu.
3 afin que personne ne fût ébranlé au milieu de ces tribulations qui, vous le savez vous-mêmes, sont notre partage.
Tulifanya haya ili kusudi asiwepo yeyote wa kuteteleka kutokana na mateso haya, kwa kuwa wenyewe mnajua kwamba tumekwisha teuliwa kwa ajili ya hili.
4 Déjà, lorsque nous étions auprès de vous, nous vous prédisions que nous serions en butte aux tribulations, ce qui est arrivé comme vous le savez.
Kwa kweli, wakati tulipokuwa pamoja nanyi, tulitangulia kuwaeleza ya kuwa tulikuwa karibu kupata mateso, na hayo yalitokea kama mjuavyo.
5 C’est pour cela que, moi aussi, n’y tenant plus, j’envoyai m’informer de votre foi, dans la crainte que le tentateur vous eût tentés et que notre travail ne devînt inutile.
Kwa sababu hii, nilipo kuwa siwezi kuvumilia tena, nilituma ilikusudi nipate kujua juu ya imani yenu. Huenda mjaribu alikuwa angalau amewajaribu, na kazi yetu ikawa ni bure.
6 Mais maintenant que Timothée, venant d’arriver ici de chez vous, nous a dit votre foi et votre charité, et le bon souvenir que vous gardez toujours de nous et qui vous porte à désirer nous revoir, (comme nous aussi nous le désirons à votre égard),
Lakini Timotheo alikuja kwetu kutokea kwenu na akatuletea habari njema juu ya imani na upendo wenu. Alitwambia ya kuwa mnayo kumbukumbu nzuri juu yetu, na kuwa mnatamani kutuona kama ambavyo nasi twatamani kuwaona ninyi.
7 alors, frères, au milieu de toutes nos angoisses et de nos tribulations, nous avons été consolés en vous, à cause de votre foi.
Kwa sababu hii, ndugu tulifarijika sana na ninyi kwa sababu ya imani yenu, katika taabu na mateso yetu yote.
8 Car maintenant nous vivons, puisque vous demeurez fermes dans le Seigneur.
Kwa sasa tunaishi, kama mkisimama imara kwa Bwana,
9 Aussi, quelles actions de grâces pouvons-nous rendre à Dieu pour vous, dans la joie parfaite que nous éprouvons à cause de vous devant notre Dieu!
Kwani ni shukurani zipi tumpe Mungu kwa ajili yenu, kwa furaha yote tuliyonayo mbele za Mungu juu yenu?
10 Nuit et jour nous le prions avec une ardeur extrême de nous donner de vous voir, et de compléter ce qui manque encore à votre foi.
Tunaomba sana usiku na mchana ili tuweze kuziona nyuso zenu na kuwaongezea kinachopungua katika imani yenu.
11 Puisse Dieu lui-même, notre Père, et notre Seigneur Jésus-(Christ) aplanir notre route vers vous!
Mungu wetu na Baba mwenyewe, na Bwana wetu Yesu atuongoze njia yetu tufike kwenu.
12 Et vous, puisse le Seigneur faire croître et abonder votre charité les uns envers les autres et envers tous les hommes, telle qu’est la nôtre envers vous.
Na Bwana awafanye muongezeke na kuzidi katika pendo, mkipendana na kuwapenda watu wote, kama tunavyowafanyia ninyi.
13 Qu’il affermisse vos cœurs, qu’il les rende irréprochables en sainteté devant notre Dieu et Père, au jour où notre Seigneur Jésus viendra avec tous ses saints! Amen
Na afanye hivi ili kuiimarisha mioyo yenu iwe bila lawama katika utakatifu mbele za Mungu wetu na Baba yetu katika ujio wa Bwana Yesu pamoja na watakatifu wake wote.

< 1 Thessaloniciens 3 >