< 1 Chroniques 9 >
1 Ainsi tout Israël fut enregistré dans les généalogies, et voici qu’ils sont inscrits dans le livre des rois d’Israël; et Juda fut emmené captif à Babylone à cause de ses transgressions.
Kwa hivyo watu wote wa Israeli walinakiliwa ki uzao. Walinakiliwa katika vitabu vya kifalme vya Israeli. Yuda, walipelekwa matekani Babylon kwasababu ya dhambi zao.
2 Les premiers habitants, qui demeuraient dans leurs possessions, dans leurs villes, furent les Israélites, les prêtres, les lévites et les Nathinéens.
Wakwanza kurudi kuishi katika miiji yao walikuwa Waisraeli, Makuhani, Walawi, na Watumishi wa hekalu.
3 A Jérusalem, habitèrent des fils de Juda, des fils de Benjamin, et des fils d’Ephraïm et de Manassé; —
Baadhi ya uzao wa Yuda, Benjamin, Efraimu, na Manase waliishi Yerusalemu.
4 des fils au Pharès, fils de Juda: Othéï, fils d’Ammiud, fils d’Amri, fils d’Omraï, fils de Bonni; —
Wahamiaji walijumusha Uthai mwana wa Ammihudi mwana wa Omri mwana wa Bani, moja ya uzao wa Perezi mwana wa Yuda.
5 des Silonites: Asaïa, le premier-né, et ses fils; —
Kati ya Mashilonite kulikuwa na Asaia mtoto wa kwanza na wana wake.
6 des fils de Zara: Jéhuel; et leurs frères: six cent quatre vingt dix; —
Kati ya uzao wa Zera alikuwa Yeuli. Uzao wao ulikuwa na namba 690.
7 Des fils de Benjamin: Salo, fils de Mosollam, fils d’Oduia, fils d’Asana;
Katika uzao Benjamini walikuwa Salu mwana wa Meshulamu mwana wa hodavia mwana wa Hssenua.
8 Jobania, fils de Jéroham; Ela, fils d’Ozi, fils de Mochori; Mosollam, fils de Saphatia, fils de Rahuel, fils de Jébania;
Pia walikuwa Ibneia mwana wa Yerohamu; Ela mwana wa Uzzi mwana wa Mikri; na Meshullam mwana wa Shefatia mwana waReuli mwana wa Ibnija.
9 et leurs frères, selon leurs générations: neuf cent cinquante-six. Tous ces hommes étaient chefs de famille selon leurs maisons patriarcales.
Ndugu zao waliandika kwenye orodha ya namba 956 ya vizazi vyao. Wanaume wote hawa walikuwa viongozi wa koo za mababu zao.
10 Des prêtres: Jédaïa, Joïarib, Jachim,
Makuhani walikuwa Yedaia, Yehoiarib, na Yokini.
11 Azarias, fils d’Helcias, fils de Mosollam, fils de Sadoc, fils de Maraïoth, fils d’Achitob, prince de la maison de Dieu;
Walikuwa pia Azaria mwana wa Hilkia mwana wa Meshullamu mwana wa Zadoki mwana wa Meraioti mwana wa Ahitubi, aliyekuwa na mamlaka katika nyumba ya Mungu.
12 Adaïas, fils de Jéroham, fils de Phassur, fils de Melchias; Maasaï, fils d’Adiel, fils de Jezra, fils de Mosollam, fils de Mosollamith, fils d’Emmer;
Kulikuwa na Adaia mwana wa Yerohamu mwana wa Pashuri mwana wa Malkija. Pia kulikuwa na Maasai mwanawa Adieli mwana wa Yazera mwana wa Meshulamu mwana wa Meshilemiti mwana wa Imma.
13 et leurs frères, chefs de leurs maisons patriarcales: mille sept cent soixante hommes vaillants, pour l’œuvre du service de la maison de Dieu.
Ndugu zao, ambao walikuwa viongozi katika koo za mababu zao, idadi ya 1, 760. Walikuwa ni wanaume wenye uwezo sana wa kufanya kazi katika nyumba ya Mungu.
14 Des lévites: Séméïa, fils de Hassub, fils d’Ezricam, fils d’Hasébia, des fils de Mérari;
Kati ya Walawii, kulikuwa na Shemaia mwana wa Hashubu mwana wa Azrikam mwana wa Hashabia, kati ya uzao wa Merari.
15 Bacbacar, Hérès, Galal, Matthania, fils de Micha, fils de Zéchri, fils d’Asaph;
Walikuwako pia Bakbakari, Hereshi, Galali, na Mattania mwana wa Mika mwana wa Zikri mwana wa Asafu.
16 Obdia, fils de Séméïa, fils de Galal, fils d’Idithun; Barachia, fils d’Asa, fils d’Elcana, qui habitait dans les villages de Nétophatiens.
Walikuwako pia Obadia mwana wa Shemaia mwana wa Galali mwana wa Yedutuni; na Berekia mwana wa Asa mwana wa Elkana, aliyeishikatika vijiji vya Netophathites.
17 Et les portiers: Sellum, Accub, Telmon, Ahiman, et leurs frères; Sellum était le chef,
Walinzi wa lango walikuwa Shalumu, Akubi, Talimoni, Ahimani, na uzao wao. Shalumu alikuwa kiongozi wao.
18 et il est jusqu’à présent à la porte du roi, à l’orient. Ce sont là les portiers pour le camp des enfants de Lévi.
Awali walisimama kulinda katika geti la mfalme upande wa mashariki wa kambi ya uzao wa Walawi.
19 Sellum, fils de Coré, fils d’Abiasaph, fils de Coré, et ses frères de la maison de son père, les Coréïtes, remplissaient les fonctions de gardiens des portes du tabernacle; leurs pères avaient gardé l’entrée du camp de Yahweh;
Shalumu mwana wa Kore mwana wa Ebiasafu, ambaye kama mwana wa Kora, na ndugu zake kutoka nyumba ya baba yake, Korahite, alikuwa na mamlaka kwa kazi ya huduma, Walilinda mlango wa hema, kama mababu zao walivyolinda kambi ya Yawehi, na pia walilinda lango la kuingilia.
20 Phinées, fils d’Eléazar, avait été autrefois leur chef, et Yahweh était avec lui.
Finehasi mwana wa Eleaza aliwaongoza kipindi cha nyuma, na Yahwehi alikuwa pamoja nae.
21 Zacharie, fils de Mosollamia, était portier à l’entrée de la tente de réunion.
Zekaria mwana wa Meshelemia alikua mlinzi katika mlango wa kuingilia hekalu, “eneo la kukutania.”
22 Tous ces hommes, choisis pour gardiens des portes, étaient au nombre de deux cent douze, enregistrés dans les généalogies de leurs villages; David et Samuel le voyant les avaient établis dans leurs fonctions.
Hawa wote walichaguliwa kana walinzi wa mageti ya kuingilia kwa idadi ya 212. Majina yao yaliandikwa kwenye kumbukumbu za watu katika vijiji vyao. Mtabiri aliwaweka Daudi na Samueli katika nafasi ya uaminifu.
23 Eux et leurs enfants étaient aux portes de la maison de Yahweh, de la maison du tabernacle, pour les gardes.
Kwa hivyo wao na watotot wao walilinda mageti katika nyumba ya Yawehi, hema la kuabudia.
24 Les portiers se tenaient aux quatre vents, à l’orient, à l’occident, au nord et au midi.
Walinzi wa mageti waliwekwa katika pande zote nne, upande wa mashariki, magharibi, kaskazini, na kusini.
25 Leurs frères, qui demeuraient dans leurs villages, devaient venir auprès d’eux de temps à autre, pour une semaine.
Kaka zao, walioishi kwenye vijiji vyao, walikuja kuwasaidia baada ya mzunguko wa siku saba.
26 Car ces quatre chefs des portiers, qui étaient lévites, étaient constamment en fonctions, et ils avaient encore la surveillance des chambres et des trésors, à la maison de Dieu.
Lakini viongozi wanne wa walinzi, ambao walikwa walawi, walipangiwa kulinda vyumba na vyumba vya kuhifadhi katika nyumba ya Mungu.
27 Ils logeaient autour de la maison de Dieu, dont ils avaient la garde, et ils devaient pourvoir à l’ouverture, chaque matin.
Walitumia usiku wao sehemu walizowekwa kuzunguka nyumba ya Mungu, kwao ilikuwa ni wajibu wao kulinda. Na walifungua geti kila asubuhi.
28 Quelques-uns des lévites avaient la surveillance des ustensiles du service, qu’ils rentraient et sortaient en les comptant.
Baadhi yao waliwajibika katika hekalu la vifaa; walihesabu makala zilizo ingizwa ndani na zilizo tolewa nje.
29 D’autres veillaient sur les ustensiles, sur tous les ustensiles du sanctuaire, et sur la fleur de farine, le vin, l’huile, l’encens et les aromates.
Baadhi yao pia waliwekwa kutunza vitu vitakatifu, vifaa, na vitu, kujuisha unga safi, mvinyo, mafuta, manukato, na uvumba.
30 Des fils de prêtres composaient les parfums aromatiques.
Baadhi ya wana wa makuhani walichanganya uvumba.
31 Un des lévites, Mathathias, premier-né le Sellum de Coréïte, avait le soin des gâteaux cuits sur la poêle.
Matithia, mmoja wa walawi, ambaye alikuwa mtoto wa kwanza wa Shalumu wa Wakorahi, alikuwa na wajibu wa kuandaa mikate kwa ajili ya sadaka.
32 Et quelques-uns de leurs frères d’entre les fils des Caathites, étaient chargés de préparer pour chaque sabbat les pains de proposition.
Baadhi ya kaka zao, uzao wa kohathite, waliwajibika kwa mikate ya uwepo, kuandaa kila Sabatho.
33 Ce sont là les chantres, chefs de famille des lévites, demeurant dans les chambres, exempts d’autres fonctions, parce qu’ils étaient à leur œuvre jour et nuit.
Waimbaji na viongozi wa familia ya Walawi waliishi ndani ya vyumba katika mahali takatifu walipo kuwa hawafanyi kazi, kwa sababu wapiswa kufanya kazi walio pangiwa usiku na mchana.
34 Ce sont là les chefs de famille des lévites, chefs selon leurs générations; ils habitaient à Jérusalem.
Hawa walikuwa viongozi wa familia miongoni mwa Walawi, kama ilivyo orodheshwa katika kumbukumbu za uzao wao. Waliishi Yerusalemu.
35 Le père de Gabaon, Jéhiel, habitait à Gabaon, et le nom de sa femme était Maacha.
Baba wa Gibeoni, Yeiel, ambaye mkewe aliitwa Maaka, aliishi Gibeoni.
36 Abdon, son fils premier-né, puis Sur, Cis, Baal, Ner, Nadab,
Mtoto wake wa kwanza alikuwa Abdoni, alafu wana wake Zuri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
37 Gédor, Ahio, Zacharie et Macelloth.
Gedori, Ahio, Zekaria, na Mikloti.
38 Macelloth engendra Samaan. Eux aussi habitaient prés de leurs frères à Jérusalem, avec leurs frères. —
Mikloti alikuwa baba wa Shimeamu. Pia waliishi karibu na kaka yao huko Yerusalemu.
39 Ner engendra Cis; Cis engendra Saül; Saül engendra Jonathan, Melchisua, Abinadab et Esbaal. —
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. sauli alikuwa baba wa Yonathani, malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
40 Fils de Jonathan: Méribbaal. Méribbaal engendra Micha. —
Mwana wa Jonathani alikuwa Merib baali. Merib baali alikuwa baba wa Mika.
41 Fils de Micha: Phithon, Mélech, Tharaa.
Mwana wa Mika walikuwa pithoni, Meleki, Tahrea, na ahazi.
42 Ahaz engendra Jara; Jara engendra Alamath, Azmoth et Zamri; Zamri engendra Mosa.
Ahazi alikuwa baba wa Jara. Jara alikuwa baba wa Alemeti, Azmaveti, na zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
43 Mosa engendra Banaa. Raphaïa, son fils; Elasa, son fils; Asel, son fils.
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Refaia. Refaia alikuwa baba wa Eleas. eleasa alikuwa baba wa Azeli.
44 Asel eut six fils, dont voici les noms: Ezricam, Bocru, Ismaël, Saria, Obdia et Hanan. Ce sont là les Fils d’Asel.
Wana sita wa Azeli walikuwa Azrikamu, Bochera, Ishmaeli, shearia, Obdia, na Hanani. hawa walikuwa wana wa Azeli