< Apocalypse 5 >
1 Je vis, dans la main droite de celui qui était assis sur le trône, un livre écrit en dedans et en dehors, fermé par sept sceaux.
Kisha katika mkono wa kulia wa huyo aliyeketi juu ya kiti cha enzi, nikaona kitabu; nacho kilikuwa kimeandikwa ndani na nje na kufungwa na mihuri saba.
2 Je vis un ange puissant qui proclamait d'une voix forte: « Qui est digne d'ouvrir le livre et d'en rompre les sceaux? »
Tena nikamwona malaika mwenye nguvu akitangaza kwa sauti kubwa: “Nani anayestahili kuvunja hiyo mihuri na kukifungua kitabu hicho?”
3 Personne, ni dans le ciel en haut, ni sur la terre, ni sous la terre, n'a pu ouvrir le livre ni le regarder.
Lakini hakupatikana mtu yeyote mbinguni, wala duniani, wala chini Kuzimu, aliyeweza kukifungua hicho kitabu au kukitazama ndani. ()
4 Alors je pleurai beaucoup, parce que personne ne fut trouvé digne d'ouvrir le livre ou de le regarder.
Basi, mimi nikalia sana kwa sababu hakupatikana mtu aliyestahili kukifungua, au kukitazama ndani.
5 L'un des anciens me dit: « Ne pleure pas. Voici que le Lion qui est de la tribu de Juda, la racine de David, a vaincu: celui qui ouvre le livre et ses sept sceaux. »
Kisha mmoja wa wale wazee akaniambia, “Usilie! Tazama! Simba wa kabila la Yuda, mjukuu maarufu wa Daudi, ameshinda. Yeye anaweza kuivunja mihuri yake saba na kukifungua hicho kitabu.”
6 Je vis au milieu du trône et des quatre êtres vivants, et au milieu des anciens, un agneau debout, comme immolé, ayant sept cornes et sept yeux, qui sont les sept esprits de Dieu, envoyés par toute la terre.
Kisha nikaona pale katikati ya kiti cha enzi Mwana kondoo amesimama, akizungukwa kila upande na vile viumbe hai vinne, na wale wazee. Huyo Mwanakondoo alionekana kana kwamba amechinjwa. Alikuwa na pembe saba na macho saba ambayo ni roho saba za Mungu zilizokuwa zimepelekwa kila mahali duniani.
7 Alors il vint, et il prit le livre de la main droite de celui qui était assis sur le trône.
Mwanakondoo akaenda, akakitwaa hicho kitabu kutoka mkono wa kulia wa yule aliyeketi juu ya kiti cha enzi.
8 Lorsqu'il eut pris le livre, les quatre êtres vivants et les vingt-quatre vieillards se prosternèrent devant l'agneau, ayant chacun une harpe et des coupes d'or remplies de parfums, qui sont les prières des saints.
Mara tu alipokwisha twaa hicho kitabu, vile viumbe hai vinne pamoja na wale wazee ishirini na wanne walianguka kifudifudi mbele ya Mwanakondoo. Kila mmoja, alikuwa na kinubi na bakuli za dhahabu zilizojaa ubani, ambao ni sala za watu wa Mungu.
9 Ils chantèrent un cantique nouveau, en disant, « Vous êtes digne de prendre le livre et d'ouvrir ses sceaux, car tu as été tué, et tu nous as acheté pour Dieu avec ton sang de toute tribu, langue, peuple et nation,
Basi, wakaimba wimbo huu mpya: “Wewe unastahili kukitwaa hicho kitabu na kuivunja mihuri yake. Kwa sababu wewe umechinjwa, na kwa damu yako umemnunulia Mungu watu kutoka katika kila kabila, lugha, jamaa na taifa.
10 et a fait de nous des rois et des prêtres pour notre Dieu; et nous régnerons sur la terre. »
Wewe umewafanya wawe ufalme wa makuhani wamtumikie Mungu wetu nao watatawala duniani.”
11 Je regardai, et j'entendis comme la voix de beaucoup d'anges autour du trône, des êtres vivants et des vieillards. Leur nombre était de dix mille, de dix mille et de milliers de milliers,
Kisha nikatazama, nikasikia sauti ya malaika wengi sana, idadi isiyohesabika, maelfu na maelfu. Walikuwa wamekaa kuzunguka kiti cha enzi, vile viumbe hai vinne na wale wazee;
12 disant d'une voix forte: « L'agneau qui a été tué est digne de recevoir la puissance, la richesse, la sagesse, la force, l'honneur, la gloire et la bénédiction! »
wakasema kwa sauti kuu: “Mwanakondoo aliyechinjwa anastahili kupokea uwezo, utajiri, hekima, nguvu, utukufu na sifa.”
13 J'ai entendu tout ce qui a été créé dans les cieux, sur la terre, sous la terre, sur la mer, et tout ce qui s'y trouve, dire: « A celui qui est assis sur le trône et à l'Agneau, la bénédiction, l'honneur, la gloire et la domination, aux siècles des siècles! Amen! » (aiōn )
Nikasikia viumbe vyote mbinguni, duniani, chini kuzimuni na baharini—viumbe vyote ulimwenguni—vikisema: “Kwake yeye aketiye katika kiti cha enzi, na kwa Mwanakondoo, iwe sifa na heshima na utukufu na enzi milele na milele.” (aiōn , questioned)
14 Les quatre êtres vivants dirent: « Amen! » Puis les anciens se prosternèrent et se prosternèrent.
Na vile viumbe vinne hai vikasema, “Amina!” Na wale wazee wakaanguka kifudifudi, wakaabudu.