< Psaumes 87 >
1 Un psaume par les fils de Korah; un chant. Son fondement est dans les montagnes saintes.
Mji aliouanzisha umesimama juu ya mlima mtakatifu;
2 Yahvé aime les portes de Sion plus que toutes les habitations de Jacob.
Yahwe anapenda zaidi malango ya Sayuni kuliko mahema yote ya Yakobo.
3 On dit de toi des choses glorieuses, cité de Dieu. (Selah)
Mambo matukufu yamesemwa kwako, mji wa Mungu. (Selah)
4 J'inscrirai Rahab et Babylone parmi ceux qui me reconnaissent. Voici la Philistie, Tyr, et aussi l'Éthiopie: « Celui-ci est né là-bas. »
Ninataja Rahabu na Babeli kwa wafuasi wangu. Tazama, Filisti, na Tiro, pamoja na Ethiopia nao watasema, 'Huyu alizaliwa humo.'”
5 Oui, on dira de Sion: « Untel et untel sont nés en elle ». le Très-Haut lui-même l'établira.
Itasemwa juu ya Sayuni, “Kila mmoja wa hawa alizaliwa katika yeye; na yeye Aliye Juu atamuimarisha.
6 L'Éternel fera le compte, quand il écrira les peuples, « Celui-ci est né là. (Selah)
Yahwe anaandika katika kitabau cha sensa ya mataifa, “Huyu alizaliwa humo.” (Selah)
7 Ceux qui chantent comme ceux qui dansent disent, « Tous mes ressorts sont en toi. »
Hivyo waimbaji na wachezaji kwa pamoja waseme, “chemchem zangu zimo kwako.”