< Psaumes 87 >

1 Un psaume par les fils de Korah; un chant. Son fondement est dans les montagnes saintes.
Zaburi ya wana wa Kora. Wimbo. Ameuweka msingi wake katika mlima mtakatifu;
2 Yahvé aime les portes de Sion plus que toutes les habitations de Jacob.
Bwana anayapenda malango ya Sayuni kuliko makao yote ya Yakobo.
3 On dit de toi des choses glorieuses, cité de Dieu. (Selah)
Mambo matukufu yanasemwa juu yako, ee mji wa Mungu:
4 J'inscrirai Rahab et Babylone parmi ceux qui me reconnaissent. Voici la Philistie, Tyr, et aussi l'Éthiopie: « Celui-ci est né là-bas. »
“Nitaweka kumbukumbu ya Rahabu na Babeli miongoni mwa wale wanaonikubali mimi: Ufilisti pia na Tiro, pamoja na Kushi, nami nitasema, ‘Huyu alizaliwa Sayuni.’”
5 Oui, on dira de Sion: « Untel et untel sont nés en elle ». le Très-Haut lui-même l'établira.
Kuhusu Sayuni itasemwa hivi, “Huyu na yule walizaliwa humo, naye Aliye Juu Sana mwenyewe atamwimarisha.”
6 L'Éternel fera le compte, quand il écrira les peuples, « Celui-ci est né là. (Selah)
Bwana ataandika katika orodha ya mataifa: “Huyu alizaliwa Sayuni.”
7 Ceux qui chantent comme ceux qui dansent disent, « Tous mes ressorts sont en toi. »
Watakapokuwa wanapiga vinanda wataimba, “Chemchemi zangu zote ziko kwako.”

< Psaumes 87 >