< Psaumes 48 >

1 Une chanson. Un psaume par les fils de Korah. Yahvé est grand et digne de louange, dans la ville de notre Dieu, dans sa montagne sainte.
Yahwe ndiye aliye mkuu na mwenyekusifiwa sana, katika mji wa Mungu wetu kwenye mlima wake mtakatifu.
2 Belle en élévation, la joie de toute la terre, est le Mont Zion, sur les côtés nord, la ville du grand Roi.
Ni mzuri katika mwinuko wake, furaha ya nchi yote, ni mlima Sayuni, kwenye upande wa kaskazini, mji wa Mfalme mkuu.
3 Dieu s'est montré dans ses citadelles comme un refuge.
Mungu amejifunua mwenyewe katika jumba lake la kifahari kama kimbilio la usalama.
4 Car voici, les rois se sont rassemblés, ils sont passés ensemble.
Maana, tazama, wafalme walikusanyika wenyewe; wote pamoja walipita.
5 Ils l'ont vu, puis ils ont été stupéfaits. Ils étaient consternés. Ils se sont empressés de partir.
Nao waliuona, wakashangaa; walifadhaika, na wakaharakisha kuondoka.
6 Le tremblement les a saisis là, la douleur, comme celle d'une femme en travail.
Pale pale tetemeko liliwashikilia, maumivu makali kama mwanamke anaye zaa.
7 Avec le vent d'est, tu brises les navires de Tarsis.
Kwa upepo wa mashariki wewe huivunja meli ya Tarshishi.
8 Ce que nous avons entendu, nous l'avons vu, dans la ville de Yahvé des armées, dans la ville de notre Dieu. Dieu l'établira pour toujours. (Selah)
Kama tulivyo sikia, vivyo hivyo tumeona katika mji wa Yahwe wa majeshi, katika mji wa Mungu wetu; Mungu atautunza milele. (Selah)
9 Nous avons pensé à ta bonté, Dieu, au milieu de votre temple.
Tumeutafakari uaminifu wa agano lako, Mungu, katikati ya hekalu lako.
10 Tel est ton nom, Dieu, ainsi est ta louange jusqu'aux extrémités de la terre. Ta main droite est pleine de justice.
Kama lilivyo jina lako, Mungu, hivyo ndivyo zilivyo sifa zako mpaka miisho ya dunia; mkono wako wa kuume umejaa haki.
11 Que la montagne de Sion se réjouisse! Que les filles de Juda se réjouissent à cause de tes jugements.
Milma Sayuni na ufurahi, nao wana wa Yuda washangilie kwa sababu ya amri ya haki yako.
12 Marchez autour de Sion, faites-en le tour. Numéroter ses tours.
Tembeeni katika Mlima Sayuni, muuzungukie mji,
13 Remarquez ses remparts. Considérez ses palais, pour que vous puissiez le raconter à la prochaine génération.
mzitazame kwa makini nguzo zake, na mtazame majumba yake ya kifahari ili kwamba muweze kuwasimulia kizazi kijacho.
14 Car ce Dieu est notre Dieu pour les siècles des siècles. Il sera notre guide jusqu'à la mort.
Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; naye atakuwa kiongozi wetu mpaka kufa.

< Psaumes 48 >