< Psaumes 44 >

1 Pour le chef musicien. Par les fils de Korah. Un psaume contemplatif. Nous avons entendu de nos oreilles, Dieu; nos pères nous ont dit quel travail tu as fait de leur temps, dans les jours d'autrefois.
Mungu, tumesikia kwa masikio yetu, baba zetu wametuambia kazi uliyofanya katika siku zao, siku za kale.
2 Tu as chassé les nations avec ta main, mais vous les avez plantés. Tu as affligé les peuples, mais vous les diffusez à l'étranger.
Uliwafukuza mataifa kwa mkono wako, lakini ukawafanya watu wetu kuishi humo; wewe uliwataabisha mataifa, lakini ukawaeneza watu wetu katika nchi.
3 Car ce n'est pas par leur propre épée qu'ils ont pris possession du pays, leur propre bras ne les a pas sauvés non plus; mais ta main droite, ton bras, et la lumière de ton visage, parce que vous leur étiez favorable.
Kwa maana hawakupata umiliki wa nchi kwa upanga wao, wala mkono wao wenyewe haukuwaokoa; bali mkono wako wakuume, mkono wako, na nuru ya uso wako, na kwa sababu uliwaridhia.
4 Dieu, tu es mon Roi. Victoires de commandement pour Jacob!
Mungu, wewe ni Mfalme wangu, amuru ushindi kwa ajili ya Yakobo.
5 Par toi, nous écraserons nos adversaires. Par ton nom, nous écraserons ceux qui se dressent contre nous.
Kwa uweza wako tutawaangusha chini maadui zetu; kwa jina lako tutatembea juu yao, wale wanao inuka dhidi yetu.
6 Car je ne me fierai pas à mon arc, mon épée ne me sauvera pas non plus.
Kwa maana sitauamini upinde wangu, wala upanga wangu hautaniokoa.
7 Mais tu nous as sauvés de nos adversaires, et ont fait honte à ceux qui nous haïssent.
Bali wewe ndeye uliyetuokoa na adui zetu, na umewaaibisha wale watuchukiao.
8 C'est en Dieu que nous nous sommes glorifiés tout au long du jour. Nous rendrons grâce à ton nom pour toujours. (Selah)
Katika Mungu tumefanywa kujivuna siku zote, nasi tutalishukuru jina lako milele. (Selah)
9 Mais maintenant tu nous as rejetés, et tu nous as déshonorés, et ne sortez pas avec nos armées.
Lakini sasa umetutupa na kutufedhehesha, na hauendi na majeshi yetu.
10 Tu nous fais reculer devant l'adversaire. Ceux qui nous haïssent prennent le pillage pour eux-mêmes.
Umetufanya kuwakimbia maadui zetu; na wale watuchukiao huchukua vitu vyetu vya thamani kwa ajili yao wenyewe.
11 Tu nous as transformés en moutons pour les manger, et nous ont dispersés parmi les nations.
Umetufanya kama kondoo aliyeandaliwa kwa ajili ya chakula na umetutawanya kati ya mataifa.
12 Vous vendez votre peuple pour rien, et n'ont rien gagné de leur vente.
Wewe unawauza watu wako bure; kwa kufanya hivyo haukupata faida.
13 Tu fais de nous un objet d'opprobre pour nos voisins, une moquerie et une dérision pour ceux qui nous entourent.
Wewe umetufanya kukemewa na majirani zetu, kuchekwa, na kudhihakiwa na wale wanao tuzunguka.
14 Tu fais de nous un sujet de discorde parmi les nations, une secousse de la tête parmi les peuples.
Umetufaya kituko kati ya mataifa, .......................................................
15 Tout le jour, mon déshonneur est devant moi, et la honte couvre mon visage,
Siku zote fedheha yangu iko mbele yangu, na aibu ya uso wangu imenifunika
16 à la raillerie de celui qui fait des reproches et abuse verbalement, à cause de l'ennemi et du vengeur.
kwa sababu ya sauti yake iliyo kemea na kutukana, kwa sababu ya adui na kisasi.
17 Tout cela nous est tombé dessus, mais nous ne vous avons pas oublié. Nous n'avons pas failli à votre alliance.
Yote haya yametupata sisi; bado hatukukusahau wewe wala kulikosea agano lako.
18 Notre cœur ne s'est pas détourné, nos pas ne se sont pas écartés de ton chemin,
Mioyo yetu haikukengeuka; hatua zetu hazikuiacha njia yako.
19 bien que tu nous aies écrasés dans le repaire des chacals, et nous a couverts de l'ombre de la mort.
Bali wewe umetuadhibu vikali katika mahali pa mbweha na kutufunika na uvuli wa mauti.
20 Si nous avons oublié le nom de notre Dieu, ou de tendre nos mains vers un dieu étranger,
Ikiwa tumelisahau jina la Mungu wetu au kueneza mikono yetu kwa Mungu mgeni,
21 Dieu ne va pas chercher ça? Car il connaît les secrets du cœur.
Mungu asingeligundua hili? Kwa maana yeye anazijua siri za moyo.
22 Oui, à cause de toi, on nous tue tout le jour. Nous sommes considérés comme des moutons pour l'abattage.
Hakika, kwa ajili ya jina lako tutauawa siku zote; tunahesabiwa kuwa kondoo kwa ajili ya kuchinjwa.
23 Réveillez-vous! Pourquoi dors-tu, Seigneur? Debout! Ne nous rejette pas pour toujours.
Bwana, amka, kwa nini unalala? Inuka, usitutupe moja kwa moja.
24 Pourquoi cachez-vous votre visage, et oublier notre affliction et notre oppression?
Kwa nini unaficha uso wako na kusahau mateso yetu na kukandamizwa kwetu?
25 Car notre âme est courbée vers la poussière. Notre corps s'accroche à la terre.
Kwa maana tumeyeyushwa kwenye mavumbi; miili yetu imeshikamana na ardhi.
26 Levez-vous pour nous aider. Rachetez-nous au nom de votre bonté.
Inuka utusaidie na utuokoe kwa ajili ya uaminifu wa agano lako.

< Psaumes 44 >