< Psaumes 135 >
1 Louez Yah! Louez le nom de Yahvé! Louez-le, vous, serviteurs de Yahvé,
Msifuni Yahwe. Lisifuni jina la Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe,
2 vous qui vous tenez dans la maison de l'Éternel, dans les cours de la maison de notre Dieu.
ninyi msimamao katika nyumba ya Yahwe, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
3 Louez l'Éternel, car l'Éternel est bon. Chantez des louanges à son nom, car cela est agréable.
Msifuni Yahwe, kwa kuwa ni mwema; liimbieni sifa jina lake, maana ni vizuri kufanya hivyo.
4 Car l'Éternel a choisi Jacob pour lui-même, Israël pour sa propre possession.
Kwa kuwa Yahwe amemchagua Yakobo kwa ajili yake mwenyewe, Israeli kama urithi wake.
5 Car je sais que Yahvé est grand, que notre Seigneur est au-dessus de tous les dieux.
Najua ya kuwa Yahwe ni mkuu, na kwamba Bwana wetu yuko juu ya miungu yote.
6 Tout ce que Yahvé a voulu, il l'a fait, dans le ciel et sur la terre, dans les mers et dans tous les abîmes.
Chochote Yahwe apendacho, hufanya mbinguni, duniani, katika bahari na katika vilindi vyote.
7 Il fait monter les nuages des extrémités de la terre. Il fait des éclairs avec la pluie. Il fait sortir le vent de ses trésors.
Hushusha mawingu kutoka mbali, akifanya mianga ya radi kuongozana na mvua na kuleta upepo toka katika ghala yake.
8 Il frappa les premiers-nés d'Égypte, à la fois de l'homme et de l'animal.
Aliua mzaliwa wa kwanza wa Misri, wote wanadamu na wanyama.
9 Il a envoyé des signes et des prodiges au milieu de toi, en Égypte, sur Pharaon et sur tous ses serviteurs.
Alituma ishara na maajabu kati yako Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
10 Il a frappé de nombreuses nations, et tué des rois puissants.
Aliwashambulia mataifa mengi na aliua wafalme wenye nguvu,
11 Sihon, roi des Amorites, Og, roi de Bashan, et tous les royaumes de Canaan...
Sihoni mfalme wa Waamori na Ogu mfalme wa Bashani na falme zote za Kanaani.
12 et ont donné leur terre en héritage, un héritage pour Israël, son peuple.
Alitupatia sisi nchi yao kama urithi, urithi wa Israeli watu wake.
13 Ton nom, Yahvé, subsiste à jamais; ta renommée, Yahvé, à travers toutes les générations.
Jina lako, Yahwe, inadumu milele; Yahwe, kumbukumbu lako vizazi hata vizazi.
14 Car Yahvé jugera son peuple et avoir de la compassion pour ses serviteurs.
Kwa kuwa Bwana huwatetea watu wake na anahuruma juu ya watumishi wake.
15 Les idoles des nations sont l'argent et l'or, le travail de la main de l'homme.
Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu.
16 Ils ont une bouche, mais ils ne peuvent pas parler. Ils ont des yeux, mais ils ne voient pas.
Sanamu hizo zina vinywa, lakini haziongei; zina macho, lakini hazioni;
17 Ils ont des oreilles, mais ils n'entendent pas, il n'y a pas non plus de souffle dans leurs bouches.
zina masikio, lakini hazisikii, wala vinywani mwao hamna pumzi.
18 Ceux qui les font seront comme eux, oui, tous ceux qui ont confiance en eux.
Wale wazitengenezao wanafanana nazo, vilevile kila anaye zitumainia.
19 Maison d'Israël, louez Yahvé! Maison d'Aaron, louez Yahvé!
Enyi kizazi cha Israeli, mtukuzeni Yahwe; kizazi cha Haruni, mtukuzeni Yahwe.
20 Maison de Lévi, louez Yahvé! Vous qui craignez Yahvé, louez Yahvé!
Kizazi cha Lawi, mtukuzeni Yahwe.
21 Béni soit Yahvé de Sion, qui habite à Jérusalem. Louez Yah!
Atukuzwe Yahwe katika Sayuni, yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Yahwe.