< Psaumes 129 >

1 Une chanson d'ascension. Ils m'ont souvent affligé depuis ma jeunesse. Laissez Israël dire maintenant:
Wimbo wa kwenda juu. Wamenionea mno tangu ujana wangu; Israeli na aseme sasa:
2 maintes fois ils m'ont affligé depuis ma jeunesse, mais ils n'ont pas prévalu contre moi.
wamenionea mno tangu ujana wangu, lakini bado hawajanishinda.
3 Les laboureurs ont labouré sur mon dos. Ils ont tracé de longs sillons.
Wakulima wamelima mgongo wangu, na kufanya mifereji yao mirefu.
4 Yahvé est juste. Il a coupé les cordes des méchants.
Lakini Bwana ni mwenye haki; amenifungua toka kamba za waovu.
5 Qu'ils soient déçus et retournent en arrière, tous ceux qui détestent Sion.
Wale wote waichukiao Sayuni na warudishwe nyuma kwa aibu.
6 Qu'ils soient comme l'herbe sur les toits, qui se fane avant de grandir,
Wawe kama majani juu ya paa, ambayo hunyauka kabla hayajakua;
7 avec lesquels la faucheuse ne remplit pas sa main, ni celui qui lie les gerbes, sa poitrine.
kwa hayo mvunaji hawezi kujaza vitanga vyake, wala akusanyaye kujaza mikono yake.
8 Et ceux qui passent ne disent pas non plus, « Que la bénédiction de Yahvé soit sur vous. Nous vous bénissons au nom de Yahvé. »
Wale wapitao karibu na wasiseme, “Baraka ya Bwana iwe juu yako; tunakubariki katika jina la Bwana.”

< Psaumes 129 >