< Psaumes 114 >

1 Quand Israël est sorti d'Égypte, la maison de Jacob d'un peuple de langue étrangère,
Israeli ilipotoka Misri, na nyumba ya Yakobo toka kutoka katika wale watu wa kigeni,
2 Juda est devenu son sanctuaire, Israël sa domination.
Yuda ilifanyika kuwa mahali pake patakatifu, Ufalme wa Israeli.
3 La mer le vit et s'enfuit. Le Jourdain a été repoussé.
Bahari iliona ikakimbia; Yordani ilirudi nyuma.
4 Les montagnes ont sauté comme des béliers, les petites collines comme des agneaux.
Milima iliruka kama kondoo waume, vilima viliruka kama wana-kondoo.
5 Qu'est-ce qui t'a fait fuir, toi la mer? Vous, Jordan, vous avez fait demi-tour?
Ewe Bahari kwa nini ulikimbia? Yordani kwa nini ulirudi nyuma?
6 Vous, montagnes, que vous avez fait sauter comme des béliers? Vous êtes des petites collines, comme des agneaux?
Milima, kwa nini uliruka kama kondoo waume? Enyi vilima wadogo, kwa nini mliruka kama wana-kondoo?
7 Tremblez, terre, devant la présence du Seigneur, en présence du Dieu de Jacob,
Tetemeka, ee nchi, mbele za Bwana, uweponi mwa Mungu wa Yakobo.
8 qui a transformé le rocher en une mare d'eau, le silex en une source d'eau.
Aligeuza mwamba kuwa ziwa la maji, jiwe gumu kuwa chemchem.

< Psaumes 114 >