< Psaumes 11 >

1 Pour le musicien en chef. Par David. En Yahvé, je me réfugie. Comment peux-tu dire à mon âme: « Fuis comme un oiseau vers ta montagne »?
Ni kwako Yahweh ninapata usalama; ni kwa namna gani utasema na mimi, “Ruka kama ndege hadi mlimani”?
2 Car voici, les méchants bandent leurs arcs. Ils ont placé leurs flèches sur les cordes, pour qu'ils puissent tirer dans l'obscurité sur ceux qui ont le cœur droit.
Tazama! Waovu wana andaa pinde zao. Wana tayarisha gizani mishale yao kwenye kamba ili kufyatua mioyo ya wenye haki.
3 Si les fondations sont détruites, que peut faire le juste?
Ikiwa misingi imeharibiwa, mwenye haki atafanya nini?
4 Yahvé est dans son temple saint. Yahvé est sur son trône dans le ciel. Ses yeux observent. Ses yeux examinent les enfants des hommes.
Yahweh yuko katika hekalu takatifu; macho yake yanatazama, yakiuchunguza ubinadamu.
5 Yahvé examine les justes, mais son âme déteste le méchant et celui qui aime la violence.
Yahweh huwachunguza wote wenye haki na waovu, bali huwachukia wapendao kuwaumiza wengine.
6 Sur les méchants, il fait pleuvoir des charbons ardents; le feu, le soufre et le vent brûlant seront la part de leur coupe.
Yeye huwanyeshea waovu makaa ya mawe na moto wa jehanamu; upepo uunguzao utakuwa ni sehemu yao kutoka katika kikombe chake!
7 Car Yahvé est juste. Il aime la droiture. Les hommes droits verront sa face.
Kwa kuwa Yahweh ni mwenye haki, Naye hupenda haki; wenye haki watauona uso wake.

< Psaumes 11 >