< Proverbes 7 >

1 Mon fils, garde mes paroles. Portez mes commandements en vous.
Mwanangu, yatunze maneno yangu na ndani yako udhihifadhi amri zangu.
2 Observez mes commandements et vivez! Garde mon enseignement comme la prunelle de tes yeux.
Uzilinde amri zangu ili uishi na uyatunzetu mafundisho yangu kama mboni ya jicho.
3 Liez-les sur vos doigts. Écris-les sur la tablette de ton cœur.
Uyafunge katika vidole vyako; uyaandike katika kibao cha moyo wako.
4 Dis à la sagesse: « Tu es ma sœur. » Appelez la compréhension de votre parent,
Mwambie hekima, “wewe ni dada yangu,” na ufahamu mwite jamaa yako,
5 afin qu'ils te préservent de la femme étrangère, de l'étrangère qui flatte avec ses mots.
ili ujitunze mwenyewe dhidi ya mwanake haramu, dhidi ya mwanamke mgeni mwenye maneno laini.
6 Car à la fenêtre de ma maison, J'ai regardé à travers mon treillis.
Nilikuwa naangalia kwenye wavu wa dirisha la nyumba yangu.
7 J'ai vu parmi les simples. J'ai discerné parmi les jeunes un jeune homme dépourvu d'intelligence,
Nikawatazama watu mwenye ukosefu wa uzoefu, na miongoni mwa watu vijana nikamwona kijana asiye na akili.
8 passant dans la rue près de son coin, il a pris le chemin de sa maison,
Kijana huyo alishuka mtaani kwenye kona karibu na yule mwanamke, akaenda kwenye nyumba yake.
9 au crépuscule, au soir du jour, au milieu de la nuit et dans l'obscurité.
Ilikuwa katika utusiutusi wa siku muda wa jioni, wakati wa usiku na giza.
10 Voici qu'une femme vint à sa rencontre, vêtue comme une prostituée, et avec une intention maligne.
Akakutana na yule mwanake, amevaa kama kahaba, katika moyo wa udanyanyifu.
11 Elle est bruyante et provocante. Ses pieds ne restent pas dans sa maison.
Alikuwa na kelele na upotovu; miguu yake haikutulia kwenye masikani.
12 Maintenant elle est dans les rues, maintenant sur les places, et se cachant à chaque coin de rue.
Alielekea mitaani, kisha sehemu ya sokoni, na katika kila upande alisubiri kwa kuviza.
13 Alors elle le saisit et l'embrassa. Avec un visage impudent, elle lui dit:
Basi akamshika na kumbusu, kwa uso wa nguvu akamwambia,
14 « Les sacrifices d'actions de grâces sont avec moi. Aujourd'hui, je me suis acquitté de mes vœux.
leo nimetoa sadaka yangu ya amani, nimelipa nadhili yangu,
15 C'est pourquoi je suis sorti à ta rencontre, pour chercher assidûment ta face, et je t'ai trouvé.
hivyo nilikuja kukutana nawe, kuutafuta uso wako kwa hamu, na sasa nimekupata.
16 J'ai étendu ma couche avec des tapis de tapisserie, avec des tissus rayés de la laine d'Égypte.
Nimeweka matandiko juu ya kitanda changu, kitani za rangi kutoka Misri.
17 J'ai parfumé mon lit avec de la myrrhe, de l'aloès et de la cannelle.
Kitanda changu nimenyunyizia manemane, udi na mdalasini.
18 Venez, prenons notre dose d'amour jusqu'au matin. Consolons-nous en aimant.
Njoo, tunywe tujishibishe kwa upendo wetu hata asubuhi; tupate furaha kuu kwa matendo ya mahaba.
19 Car mon mari n'est pas à la maison. Il est parti pour un long voyage.
Maana mume wangu hayupo nyumbani kwake; amekwenda safari ya mbali.
20 Il a pris avec lui un sac d'argent. Il reviendra à la maison à la pleine lune. »
Alichukua mkoba wa fedha; atarudi siku ya mwezi mpevu.
21 Avec des paroles persuasives, elle l'a égaré. Avec la flatterie de ses lèvres, elle l'a séduit.
katika maneno yake mengi akamshinda; na kwa midomo yake laini anampotosha.
22 Il la suivit immédiatement, comme un bœuf va à l'abattoir, comme un idiot qui se prend les pieds dans un nœud coulant.
Ghafula alimfuata kama maksai anayekwenda kwa mchinjaji, kama ayala aliyekamatwa kwa nguvu,
23 Jusqu'à ce qu'une flèche lui transperce le foie, comme un oiseau qui se précipite vers le piège, et ne sait pas que ça va lui coûter la vie.
mpaka mshale upasue ini lake. Alikuwa kama ndege anayekimbili kwenye mtego. Hakujua kuwa itamgharimu maisha yake.
24 Maintenant donc, mes fils, écoutez-moi. Faites attention aux mots de ma bouche.
Na sasa, wanangu, nisikilizeni; zingatieni maneno ya kinywa changu.
25 Ne laisse pas ton cœur se tourner vers ses voies. Ne vous égarez pas dans ses sentiers,
Moyo wako usiyageukie mapito yake; usipotoshwe katika mapito yake.
26 car elle a jeté de nombreux blessés. Oui, tous ses morts sont une puissante armée.
Amesababisha watu wengi kuanguka kwa kuwajeruhi; ameua watu wengi.
27 Sa maison est le chemin du séjour des morts, en descendant dans les chambres de la mort. (Sheol h7585)
Nyumba yake ipo juu ya barabara ya kwenda kuzimu; huelekea chini kwenye vyumba vya mauti. (Sheol h7585)

< Proverbes 7 >