< Nombres 15 >

1 Yahvé parla à Moïse, et dit:
Kisha BWANA akanena na Musa, akasema,
2 Parle aux enfants d'Israël, et dis-leur: Lorsque vous serez entrés dans le pays de vos habitations, que je vous donne,
“Sema na wana wa Israeli uwaambie, 'Mtakapoingia katka nchi ambayo mtaishi, ambayo BWANA atawapa,
3 et que vous ferez une offrande par le feu à Yahvé - holocauste, sacrifice, accomplissement d'un vœu, ou comme offrande volontaire, ou encore, à l'occasion de vos fêtes, pour offrir à l'Éternel un parfum agréable, qu'il s'agisse d'une offrande de gros ou de menu bétail.
mtatakiwa kuandaa sadaka kwa moto kwa BWANA, sadaka ya kuteketezwa au sadaka ya kukamilisha kiapo au sadaka ya hiari, au sadaka katika sikukuu zenu, ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA ya ng'ombe au ya kondoo.
4 Celui qui présentera son offrande offrira à l'Éternel une offrande de repas composée d'un dixième d'épha de fleur de farine mélangé à un quart de hin d'huile.
Utamtolea BWANA sadaka ya kuteketezwa pamoja na sehemu ya kumi ya efa ya sadaka ya unga mwembamba uliochanganywa na robo ya hini ya mafuta.
5 Tu prépareras du vin pour la libation, un quart de hin, avec l'holocauste ou pour le sacrifice, pour chaque agneau.
Na tena mtatoa pamoja na sadaka ya kuteketezwa, au kwa sadaka ya divai robo ya hini ya sadaka ya vinywaji kwa kila mwanakondoo.
6 "'Pour un bélier, tu prépareras en offrande deux dixièmes d'épha de fleur de farine mélangée à un tiers de hin d'huile;
Kama unatoa sadaka ya kondoo dume, utaandaa sadaka ya unga ya sehemu za kumi mbili za efa ya unga mwembamba uliochanganywa na sehemu ya tatu ya hini ya divai.
7 et pour la libation, tu offriras un tiers de hin de vin, d'une odeur agréable à Yahvé.
Kwa sadaka ya kinywaji, mtatoa sehemu ya tatu ya hini ya divai ambayo itatoa harufu nzuri kwa BWANA.
8 Si tu prépares un taureau pour un holocauste ou un sacrifice, pour l'accomplissement d'un vœu ou pour un sacrifice de prospérité à l'Éternel,
Utakapoandaa fahari kwa ajiliy a sadaka ya kuteketezwa au sadaka ya kutimiza kiapo, au sadaka ya amani kwa BWANA,
9 tu offriras avec le taureau une offrande de trois dixièmes d'épha de fleur de farine mélangée à un demi-hin d'huile;
Ndipo utakapotoa sadaka ya fahari pamoja na sadaka ya unga ya sehemu za kumi tatu za unga mwembamba uliochanganywa na nusu ya hini ya mafuta.
10 et tu offriras en libation un demi-hin de vin, comme offrande consumée par le feu, d'une agréable odeur à l'Éternel.
Mtatoa sadaka ya kinywaji nusu ya hini ya divai, sadaka iloyotengenezwa kwa moto ili kufanya harufu nzuri kwa BWANA.
11 Il en sera ainsi pour chaque taureau, pour chaque bélier, pour chacun des agneaux mâles ou des chevreaux.
Itafanyika hivi kwa kila fahari, kwa kila kondoo dume, na kila mwanakondoo dume au mbuzi mchanga.
12 Selon le nombre que vous préparerez, vous ferez à chacun selon son nombre.
Kila sdaka utakayoindaa na kuitoa itafanyika kama ilivyoanishwa hapa.
13 "'Tous ceux qui sont nés chez vous feront ces choses de cette manière, en offrant une offrande consumée par le feu, d'une odeur agréable à Yahvé.
Wazawa wote wa Israeli watafanya mambo haya kwa utaratibu huu, yeyote atakayeleta sadaka iliyotengenezwa kwa moto, ili kufanya harufu nzuri kwa BWANA.
14 Si un étranger vit comme un étranger chez vous, ou qui que ce soit parmi vous à travers vos générations, et qu'il offre une offrande faite par le feu, d'une odeur agréable à l'Éternel, comme vous le faites, il fera de même.
Na kama kuna mgeni anayeishi kati yenu, au yeyote atakayeishi na watu wa vizazi vyenu vyote, lazima atengeneze sadaka iliytoengenezwa kwa moto, ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Atafanya kama mnavyofanya.
15 Pour l'assemblée, il y aura un statut unique pour vous et pour l'étranger qui vit comme un étranger, un statut pour toujours, de génération en génération. Tel que vous êtes, tel sera l'étranger devant l'Éternel.
Kutakuwa na sheria hiyo hiyo kwa watu wote na kwa mgeni anayeishi kati yenu, sheria ya kudumu kwa watu wote wa uzao wako. Ninyi mlivyo, ndivyo atakavyokuwa mgeni aliyeishi kati yenu. Atafanya kama mnavyofanya mbele ya BWANA.
16 Une seule loi et une seule ordonnance seront pour vous et pour l'étranger qui vit en étranger avec vous.'"
Sheria na amri hiyohiyo ndiyo itakayotumika kwa mgeni anayeishi kati yenu.”
17 L'Éternel parla à Moïse, et dit:
Tena BWANA akanena na Musa, akasema,
18 Parle aux enfants d'Israël, et dis-leur: Quand vous serez entrés dans le pays où je vous conduirai,
“Nena wana wa Israeli uwaambie, 'mtakapofika katika nchi ninayowapeleka,
19 lorsque vous mangerez du pain du pays, vous offrirez une offrande à l'Éternel.
mtakapokula chakula kinachozalishwa katika nchi hiyo, mtatoa sadaka ya kunipendeza mimi.
20 Du premier morceau de ta pâte, tu offriras un gâteau en guise d'offrande par agitation. Tu l'offriras par élévation, comme l'ondoiement de l'aire de battage.
Kutoka kwenye mikate yenu ya kwanza mtatoa mkate wa kuinuliwa kama sadaka iliyoinuliwa kutoka mahali pa kupuria nafaka. Mtaiinua kwa jinsi hii.
21 Tu présenteras à l'Éternel, de génération en génération, une offrande par agitation des premières pièces de ta pâte.
Watu wa uzao wako wote wtanitolea sadaka ya kuinuliwa kutoka kwenye unga wenu wa kwanza.
22 "'Si vous commettez une erreur et n'observez pas tous ces commandements que Yahvé a adressés à Moïse-
Wakati mwingine mtafanya dhambi pasipo kukusudia, Kama hamtatii amri zote hizi ambazo nimemwambia Musa
23 tout ce que Yahvé vous a commandé par Moïse, depuis le jour où Yahvé a donné le commandement et à travers vos générations -
-kila kitu ambacho nimewaamuru kupitia Musa kuanzia siku ambayo nilianza kuwaamuru na kuendelea kwa watu wote wa uzao wako.
24 alors il en sera ainsi, si cela s'est fait involontairement, à l'insu de l'assemblée, toute l'assemblée offrira un jeune taureau en holocauste, en odeur agréable à Yahvé, avec son offrande et sa libation, selon l'ordonnance, et un bouc en sacrifice pour le péché.
Kwa swala la dhambi isiyokusudiwa ambayo watu wote hawaijui, basi watu wote watatoa fahari mchanga sadaka ya kuteketezwa ili kufanya harufu nzuri kwa BWANA. Pamoja na haya yote, lazima itengenezwe sadaka ya unga na sadaka ya kinywaji, kama ilivyoagaizwa katika amri, na beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
25 Le prêtre fera l'expiation pour toute l'assemblée des enfants d'Israël, et il leur sera pardonné; car c'était une erreur, et ils ont apporté leur offrande, un sacrifice consumé par le feu à l'Éternel, et leur sacrifice pour le péché devant l'Éternel, à cause de leur erreur.
Kuhani atafanya sadaka upatanisho kwa watu wote wa Israeli. Watasemehewa kwa sababu dhambi haikukusudiwa. Wametoa sadaka yao, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa ajili yangu. Wameleta sadaka yao kwangu iliyotengenezwa kwa moto. Wameleta sadaka yao ya uovu mbele yangu kwa ajili ya kosa lao.
26 Toute l'assemblée des enfants d'Israël sera pardonnée, ainsi que l'étranger qui vit au milieu d'eux en tant qu'étranger, car pour tout le peuple, c'était une faute involontaire.
Ndipo watu wote wa Israeli watasamehewa, pia wageni wote wanaoishi kati yao, kwa sababu watu wote walitenda dhambi pasipo kukusudia.
27 "'Si quelqu'un pèche involontairement, il offrira en sacrifice pour le péché une chèvre d'un an.
Kama mtu atatenda dhambi bila kukusudia, atatoa mbuzi jike wa umri wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
28 Le prêtre fera l'expiation pour l'âme qui s'est trompée en péchant involontairement devant Yahvé. Il fera pour lui l'expiation, et il lui sera pardonné.
Naye kuhani atafanya upatanisho kwa BWANA kwa ajili ya mtu yule aliyefanya dhambi pasipo kukusudia. Yule mtu atasamehewa baada ya upatanisho kufanyika.
29 Vous aurez une seule loi pour celui qui fait quelque chose involontairement, pour celui qui est né parmi les enfants d'Israël et pour l'étranger qui vit au milieu d'eux.
Mtakuwa na sheria hiyohiyo kwa mtu yeyote anayefanya dhambi hiyo pasipo kukusudia, sheria hiyohiyo hata kwa mzawa wa Isreli na kwa wageni wanaoishi kati yao.
30 "'Mais l'âme qui fait quelque chose de hautain, qu'elle soit native ou étrangère, blasphème Yahvé. Cette âme sera retranchée du milieu de son peuple.
Lakini mtu afanyaye chochote kwa KUkusudia, awe mzawa au mgeni, ananikufuru mimi. Huyo mtu ataondolewa kati ya watu wake.
31 Parce qu'il a méprisé la parole de Yahvé, parce qu'il a violé son commandement, cette âme-là sera exterminée. Son iniquité retombera sur lui.'"
Kwa sababu atakuwa amedharau neno langu na amevunja neno amri yangu, mtu huyo ataondolewa kabisa. Dhambi yake itakuwa juu yake.'”
32 Comme les enfants d'Israël étaient dans le désert, ils trouvèrent un homme qui ramassait des bâtons le jour du sabbat.
Wakati wana wa Israeli walipokuwa katika jangwa, wakamuona mwanamume akikusanya kuni sikiu ya Sabato.
33 Ceux qui l'avaient trouvé ramassant des brindilles l'amenèrent à Moïse et à Aaron, et à toute l'assemblée.
Wale waliomwona wakamleta kwa Musa, Haruni na kwa watu wote.
34 Ils le mirent en détention, parce qu'on n'avait pas déclaré ce qu'on devait lui faire.
Wakamweka kifungoni kwa sababu ilikuwa haijaamuliwa atakachotendewa.
35 Yahvé dit à Moïse: « Cet homme sera mis à mort. Toute l'assemblée le lapidera hors du camp. »
Kisha BWANA akanena na Musa, “Yule mwanamume lazima auawe. Watu wote lazima wampige kwa mawe nje ya kambi.”
36 Toute l'assemblée l'amena hors du camp et le lapida à mort, comme Yahvé l'avait ordonné à Moïse.
Kwa hiyo watu wote wakamtoa nje ya kambi nao wakampiga kwa mawe mpaka akafa kama vile BWANA alivyokuwa amemwamuru Musa.
37 L'Éternel parla à Moïse, et dit:
BWANA akanena na Musa tena, akasema,
38 Parle aux enfants d'Israël, et dis-leur qu'ils se fassent des franges aux bordures de leurs vêtements, pendant toute leur vie, et qu'ils mettent à la frange de chaque bord un cordon bleu.
“Waambie wana wa Israeli na uwaamuru wajifanyie vishada wavining'inize katika mapindo ya mavazi yao, wavining'ineze katika ncha zote kwa nyuzi za rangi ya samawi. Watu wote watafanya hivi kwa watu wote wa kizazi chote.
39 Ce sera pour vous une frange, afin que vous la voyiez, que vous vous souveniez de tous les commandements de l'Éternel et que vous les mettiez en pratique, et que vous ne suiviez pas votre propre cœur et vos propres yeux, selon lesquels vous aviez l'habitude de vous prostituer,
Huu utakuwa ukumbusho maalumu kwenu, kila mtakapovitazama, mtakumbuka amri zangu, na kuzishika ili kwamba msije mkatangatanga katika mioyo na macho yenu na kuwa waasherati wa hayo.
40 afin que vous vous souveniez de tous mes commandements et que vous les mettiez en pratique, et que vous soyez saints pour votre Dieu.
Fanyeni hivi ili kwamba mweze kukumbuka na kutii amri zangu zote, na ili kwamba mpate kuwa watakatifu, waliotunzwa kwa ajili yangu, Mungu wenu.
41 Je suis Yahvé, ton Dieu, qui t'a fait sortir du pays d'Égypte, pour être ton Dieu: Je suis Yahvé, ton Dieu. »
Mimi ndimi BWANA Mungu wenu niliyekutoa toka nchi ya Misri, ili niwe Mungu wenu. Mimi ndimi BWANA Mungu wenu.”

< Nombres 15 >