< Néhémie 11 >

1 Les princes du peuple habitaient à Jérusalem. Le reste du peuple tirait aussi au sort une part de dix pour habiter à Jérusalem, la ville sainte, et neuf parts dans les autres villes.
Viongozi wa watu waliishi Yerusalemu, na watu wengine walipiga kura ili kuleta mmoja kati ya watu kumi kuishi Yerusalemu, mji mtakatifu, na wengine tisa walibakia katika miji mingine.
2 Le peuple bénissait tous les hommes qui s'offraient volontairement pour habiter à Jérusalem.
Na watu wakawabariki wote waliojitoa kwa hiari kuishi Yerusalemu.
3 Voici les chefs de la province qui habitaient à Jérusalem; mais dans les villes de Juda, chacun habitait dans sa propriété dans ses villes: Israël, les prêtres, les lévites, les serviteurs du temple et les enfants des serviteurs de Salomon.
Hawa ndio viongozi wa mkoa ambao waliishi Yerusalemu. Hata hivyo, katika miji ya Yuda kila mtu aliishi katika nchi yake mwenyewe, ikiwa ni pamoja na Waisraeli, makuhani, Walawi, watumishi wa hekalu, na wazao wa watumishi wa Sulemani.
4 Une partie des fils de Juda et des fils de Benjamin habitaient à Jérusalem. Des fils de Juda: Athaja, fils d'Ozias, fils de Zacharie, fils d'Amaria, fils de Shephatia, fils de Mahalalel, des fils de Pérez;
Katika Yerusalemu waliishi baadhi ya wana wa Yuda na baadhi ya wana wa Benyamini. Watu wa Yuda walikuwa pamoja na Athaya, mwana wa Uzia, mwana wa Zekaria, mwana wa Amaria, mwana wa Shefatia, mwana wa Mahalaleli, mwana wa Peresi.
5 Maaséja, fils de Baruch, fils de Colhozeh, fils de Hazaja, fils d'Adaja, fils de Joiarib, fils de Zacharie, fils du Shilonite.
Na Maaseya, mwana wa Baruki, mwana wa Kolhoze, mwana wa Hazaya, mwana wa Adaya, mwana wa Yoyaribu, mwana wa Zakaria, mwana wa Mshelani, alikuwa mwana wa Baruki.
6 Tous les fils de Pérez qui habitaient à Jérusalem étaient quatre cent soixante-huit hommes vaillants.
Wana wote wa Peresi waliokaa Yerusalemu walikuwa 468. Walikuwa masujaa.
7 Voici les fils de Benjamin: Sallu, fils de Meshullam, fils de Jœd, fils de Pedaja, fils de Kolaja, fils de Maaséja, fils d'Ithiel, fils de Jeshaiah.
Hao ndio wana wa Benyamini, Salu, mwana wa Meshulamu, mwana wa Yoedi, mwana wa Pedaya, mwana wa Kolaya, mwana wa Maaseva, mwana wa Ithieli, mwana wa Yehaya.
8 Après lui, Gabbaï et Sallaï, neuf cent vingt-huit.
Na baada yake, Gabai na Salai, watu 928.
9 Joël, fils de Zicri, était leur surveillant; et Juda, fils de Hassenua, était le second sur la ville.
Yoeli mwana wa Zikri alikuwa mwangalizi wao; na Yuda mwana wa Hasenua alikuwa mkuu wa pili juu ya mji.
10 Parmi les sacrificateurs: Jedaja, fils de Joiarib, Jachin,
Kutoka kwa makuhani Yedaya, mwana wa Yoyaribu, Yakini,
11 Seraja, fils de Hilkija, fils de Meshullam, fils de Tsadok, fils de Meraioth, fils d'Ahitub, chef de la maison de Dieu,
Seraya mwana wa Hilikia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayoti, mwana wa Ahitubu, mkuu wa nyumba ya Mungu,
12 et leurs frères qui faisaient les travaux de la maison, huit cent vingt-deux; Adaja, fils de Jerocham, fils de Pelalia, fils d'Amzi, fils de Zacharie, fils de Pashhur, fils de Malkija,
na wenzake waliofanya kazi ya ukoo, watu 822. na Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pelalia, mwana wa Amzi, ​​mwana wa Zekaria, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya.
13 et ses frères, chefs de famille, deux cent quarante-deux; Amashsaï, fils d'Azarel, fils d'Ahzaï, fils de Meshillemoth, fils d'Immer,
Nao walikuwa washirika wake waliokuwa wakuu wa jamaa, wanaume 242, na Maasai mwana wa Azareli, mwana wa Azai, mwana wa Meshilemothi, mwana wa Imeri;
14 et leurs frères, vaillants hommes, cent vingt-huit; et leur chef était Zabdiel, fils de Haggedolim.
na ndugu zao, 128 wapiganaji wenye ujasiri, wenye ujasiri; Waziri wao aliyeongoza alikuwa Zabdieli, mwana wa Hageoli.
15 Parmi les Lévites: Schemaeja, fils de Hasshub, fils d'Azrikam, fils de Haschabia, fils de Bunni;
Na Walawi Shemaya mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, mwana wa Buni,
16 Shabbethaï et Jozabad, des chefs des Lévites, qui avaient la surveillance des affaires extérieures de la maison de Dieu;
na Shabethai, na Yozabadi, ambao walikuwa ni viongozi wa Walawi, waliosimamia kazi za nje ya nyumba ya Mungu.
17 et Mattania, fils de Mica, fils de Zabdi, fils d'Asaph, qui était le chef pour commencer les actions de grâces en prière, et Bakbukiah, le second parmi ses frères; et Abda, fils de Shammua, fils de Galal, fils de Jeduthun.
Alikuwepo Matania, mwana wa Mika, mwana wa Zakri, mwana wa Asafu, aliyekuwa mkurugenzi aliyeanza shukrani kwa sala, na Bakbukia, wa pili miongoni mwa ndugu zake, na Abda mwana wa Shemaya, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni.
18 Tous les Lévites de la ville sainte étaient au nombre de deux cent quatre-vingt-quatre.
Katika mji wote mtakatifu walikuwa Walawi 284.
19 Les gardiens des portes, Akkub, Talmon et leurs frères, qui surveillaient les portes, étaient au nombre de cent soixante-douze.
Walinzi wa malango Akubu, Talmoni, na washirika wao, ambao waliolinda milango, wanaume 172.
20 Le reste d'Israël, les prêtres et les lévites étaient dans toutes les villes de Juda, chacun dans son héritage.
Na wale waliosalia wa Israeli, na makuhani, na Walawi, walikuwa katika miji yote ya Yuda. Kila mtu aliishi katika milki yake mwenyewe.
21 Mais les serviteurs du temple habitaient à Ophel, et Ziha et Gishpa étaient à la tête des serviteurs du temple.
Wafanyakazi wa hekalu waliishi Ofeli, na Siha na Gishpa walikuwa wakiwaongoza.
22 Le surveillant des Lévites à Jérusalem était Uzzi, fils de Bani, fils de Haschabia, fils de Matthania, fils de Mica, d'entre les fils d'Asaph, les chantres, qui étaient chargés des affaires de la maison de Dieu.
Mtawala mkuu juu ya Walawi waliokuwa wakitumikia Yerusalemu alikuwa Uzi mwana wa Bani, mwana wa Hashabia, mwana wa Matania, mwana wa Mika, wa wana wa Asafu, ambao walikuwa waimbaji wa kazi katika nyumba ya Mungu.
23 Car il y avait un ordre du roi à leur sujet, et une provision fixe pour les chantres, selon les besoins de chaque jour.
Walikuwa chini ya maagizo kutoka kwa mfalme na maagizo imara yalitolewa kwa waimbaji kila siku inavyohitajika.
24 Pethahia, fils de Meshezabel, des fils de Zérach, fils de Juda, était auprès du roi pour tout ce qui concernait le peuple.
Pethahia mwana wa Meshezabeli, mwana wa Zera, mwana wa Yuda, alikuwa upande wa mfalme kwa habari zote za watu.
25 Quant aux villages avec leurs champs, des fils de Juda habitèrent à Kiriath Arba et dans ses villes, à Dibon et dans ses villes, à Jekabzeel et dans ses villages,
Kuhusu vijiji na mashamba yao, baadhi ya watu wa Yuda wakakaa Kiriath-arba, na vijiji vyake, na Diboni, na vijiji vyake, na Yekabzeeli na vijiji vyake.
26 à Jeshua, à Molada, à Beth Pelet,
Wakaishi katika Yeshua, Molada, Beth-Peleti,
27 à Hazar Shual, à Beersheba et ses villes,
Hazar-Shuali, Beersheba na vijiji vyake.
28 à Ziklag, à la Mecque et ses villes,
Nao wakakaa Siklagi, na Mekona, na vijiji vyake,
29 à En Rimmon, à Zorah, à Jarmuth,
Enrimoni, Sora, Yarmuthi,
30 à Zanoa, à Adullam et leurs villages, à Lakis et ses champs, à Azéka et ses villes. Ils campèrent ainsi depuis Beer Schéba jusqu'à la vallée de Hinnom.
Zanoa, Adulamu, na vijiji vyake, na Lakishi, na mashamba yake, na Azeka, na vijiji vyake. Basi wakakaa kutoka Beer-sheba mpaka bonde la Hinomu.
31 Les fils de Benjamin habitaient aussi depuis Guéba, à Micmasch et à Aija, à Béthel et aux villes de son ressort,
Watu wa Benyamini pia walikuwa wakiishi kutoka Geba, kwenda Mikmashi na Aiya, na Beth-eli na vijiji vyake.
32 à Anathoth, à Nob, à Anania,
Waliishi Anathothi, Nobu, Anania,
33 à Hatsor, à Rama, à Gittaïm,
Hazori, Rama, Gitaimu,
34 à Hadid, à Zeboïm, à Neballat,
Hadidi, Seboimu, Nebalati,
35 à Lod, et à Ono, la vallée des artisans.
Lodi, na Ono, bonde la wafundi.
36 Parmi les Lévites, certaines divisions de Juda s'établirent dans le territoire de Benjamin.
Walawi wengine waliishi Yuda wengine Benyamini.

< Néhémie 11 >