< Matthieu 11 >

1 Lorsque Jésus eut achevé de donner des instructions à ses douze disciples, il partit de là pour enseigner et prêcher dans leurs villes.
Ikawa baada ya Yesu kumaliza kuwaelekeza wanafunzi wake kumi na wawili aliondoka plae kwenda kufundisha na kuhubiri katika miji yao,
2 Or, lorsque Jean entendit dans la prison les œuvres du Christ, il envoya deux de ses disciples
na Yohana akiwa gereszani aliposikia akiwa juu ya matendo ya Kristo, alituma ujumbe kupitia wanafunzi wake,
3 et lui dit: « Es-tu celui qui vient, ou devons-nous en chercher un autre? »
na wakamuuliza, “Wewe ni yule ajaye, au kuna mwingine tunapaswa kumtazamia?”
4 Jésus leur répondit: Allez annoncer à Jean les choses que vous entendez et que vous voyez:
Yesu akajibu na kusema kwao “Nendeni mkamtaarifu Yohana yale mnayoyaona na yale mnayoyasikia.
5 les aveugles recouvrent la vue, les boiteux marchent, les lépreux sont purifiés, les sourds entendent, les morts ressuscitent, et la bonne nouvelle est annoncée aux pauvres.
Watu wasioona wanapata kuona, viwete wanatembea, wakoma wanatakaswa, watu wasiosikia wanasikia tena, watu waliokufa wanafufuliwa kupata uhai, na watu wahitaji wanahubiriwa habari njema.
6 Heureux celui qui ne trouve en moi aucune occasion de chute! »
Na amebarikiwa yule asiyeona shaka juu yangu.
7 Comme ils s'en allaient, Jésus se mit à dire à la foule, au sujet de Jean: « Qu'êtes-vous allés voir dans le désert? Un roseau secoué par le vent?
Pindi watu hawa walipoondoka, Yesu alianza kusema na umati juu ya Yohana, “Ni nini mlikwenda kuona katika jangwa tete likitikiswa na upepo?
8 Et vous, qu'êtes-vous allés voir? Un homme vêtu de vêtements souples? Voici, ceux qui portent des vêtements souples sont dans les maisons des rois.
Lakini nini mlikwenda kuona mtu aliyevaa mavazi mololo? Hakika, wale wavaao mavazi mololo hukaa katika nyumba za wafalme.
9 Mais pourquoi êtes-vous sortis? Pour voir un prophète? Oui, je vous le dis, et bien plus qu'un prophète.
Lakini mliondoka kuona nini-Nabii? Ndiyo, nawaambia, na zaidi ya Nabii.
10 Car c'est lui dont il est écrit: « Voici, j'envoie mon messager devant toi, qui préparera ton chemin devant toi ».
Huyu ndiye aliyeandikiwa, 'Tazama, namtuma mjumbe wangu mbele ya uso wako, ambaye ataandaa njia yako mbele yako.
11 Je vous le dis en toute certitude, parmi ceux qui sont nés de femmes, il ne s'est pas trouvé de plus grand que Jean le Baptiseur; mais le plus petit dans le Royaume des cieux est plus grand que lui.
Mimi nawaambia kweli, kati ya waliozaliwa na wanawake hakuna aliye mkuu kuliko Yohana Mbatizaji. Lakini aliye mdogo katika ufalme wa mbinguni ni mkubwa kuliko yeye.
12 Depuis le temps de Jean Baptiste jusqu'à maintenant, le Royaume des cieux est soumis à la violence, et les violents s'en emparent par la force.
Toka siku za Yohana Mbatizaji mpaka sasa, ufalme wa Mbinguni ni wa nguvu, na watu wenye nguvu, huuchukua kwa nguvu.
13 Car tous les prophètes et la loi ont prophétisé jusqu'à Jean.
Kwa kuwa manabii na sheria, ikamelcuwa wakitabiri mpaka kwa Yohana.
14 Si vous êtes disposés à le recevoir, celui-ci est Élie, qui doit venir.
Na kamamko tayari kukubali, huyu ni Eliya, yule ajaye.
15 Que celui qui a des oreilles pour entendre, entende.
Aliye na masikio ya kusikia na asikie.
16 « Mais à quoi comparerai-je cette génération? Elle ressemble à des enfants assis sur les places publiques, qui appellent leurs compagnons
Nikilinganishe na nini kizazi hiki? Ni mfano wa watoto wanaocheza maeneo ya sokoni, wanaokaa na kuitana
17 et disent: 'Nous avons joué de la flûte pour vous, et vous n'avez pas dansé. Nous avons pleuré pour vous, et vous ne vous êtes pas lamentés ».
na kusema, 'Tuliwapigia zomari na hamkucheza. Tuliomboleza, na hamukulia.'
18 Car Jean est venu sans manger ni boire, et ils disent: « Il a un démon ».
Kwa kuwa Yohana alikuja bila kula mkate au kunywa mvinyo, na wakawa wanasema, 'Ana pepo.'
19 Le Fils de l'homme est venu en mangeant et en buvant, et l'on dit: « Voici un glouton et un ivrogne, l'ami des publicains et des pécheurs ». Mais la sagesse est justifiée par ses enfants. »
Mwana wa Adamu alikuja akila na kunywa na wakasema 'Angalia, ni mtu mlaji na mlevi, rafiki wa watoza ushuru na wenye dhambi!' Lakini hekima inadhihirishwa kwa matendo yake.''
20 Puis il se mit à dénoncer les villes où s'étaient accomplis la plupart de ses exploits, parce qu'elles ne se repentaient pas.
Yesu alianza kuikemea miji ambamo baadhi ya matendo yake ya ajabu yalitendeka, kwa sababu walikuwa hawajatubu,
21 « Malheur à toi, Chorazin! Malheur à toi, Bethsaïda! Car, si l'on avait fait à Tyr et à Sidon les miracles qui ont été faits chez vous, il y a longtemps qu'elles se seraient repenties, avec le sac et la cendre.
Ole wako, Kolazini, Ole wako Bethsaida! Kama matendo makuu yangetendeka Tiro na Sidoni yale yaliyotendeka hapa, wangekuwa wametubu zamani kwa kuvaa magunia na kujipaka majivu.
22 Mais je vous le dis, au jour du jugement, Tyr et Sidon seront plus tolérables que vous.
Lakini itakuwa uvumilivu kwa Tiro na Sidoni siku ya hukumu kuliko kwako.
23 Toi, Capharnaüm, qui t'es élevé jusqu'au ciel, tu descendras au séjour des morts. Car si l'on avait fait à Sodome les miracles qui ont été faits chez toi, elle serait restée jusqu'à aujourd'hui. (Hadēs g86)
Wewe, Kapernaum, unadhani utainuliwa hadi mbinguni? Hapana utashushwa hadi chini kuzimu. Kama kwa Sodoma kungefanyika matendo makuu, kama yalifanyika kwako, ingekuwepo hadi leo. (Hadēs g86)
24 Mais je vous dis qu'au jour du jugement, il sera plus supportable pour le pays de Sodome que pour vous. »
Bali nasema kwako kwamba itakuwa rahisi kwa nchi ya Sodoma kusimama siku ya hukumu kuliko wewe.
25 En ce temps-là, Jésus répondit: « Je te rends grâce, Père, Seigneur du ciel et de la terre, d'avoir caché ces choses aux sages et aux intelligents, et de les avoir révélées aux enfants.
Katika muda huo Yesu alisema, “Nakusifu wewe, Baba, Bwana wa Mbingu na Nchi, kwa sababu uliwaficha mambo haya wenye hekima na ufahamu, na kuyafunua kwa wasio na elimu, kama watoto wadogo.
26 Oui, Père, car cela a été agréable à tes yeux.
Baba kwa kuwa ilikupendeza hivyo machoni pako.
27 Toutes choses m'ont été remises par mon Père. Personne ne connaît le Fils, si ce n'est le Père; et personne ne connaît le Père, si ce n'est le Fils et celui à qui le Fils veut le révéler.
Mambo yote yamekabidhiwa kwangu kutoka kwa Baba. Na hakuna amjuaye Mwana isipokuwa Baba, na hakuna amjuaye Baba isipokuwa Mwana, na yeyote ambaye Mwana ana hamu ya kumfunulia.
28 « Venez à moi, vous tous qui peinez et ployez sous le fardeau, et je vous donnerai du repos.
Njoni kwangu, nyinyi nyote mnaosumbuka na mnaolemewa na mzigo mzito, nami nitawapumzisha.
29 Prenez mon joug sur vous et apprenez de moi, car je suis doux et humble de cœur; et vous trouverez du repos pour vos âmes.
Jitieni nira yangu na mjifunze kutoka kwangu, kwa kuwa mimi ni mnyenyekevu na mpole wa moyo na mtapata pumziko la nafsi zenu.
30 Car mon joug est facile, et mon fardeau est léger. »
Kwa kuwa nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi.

< Matthieu 11 >