< Lamentations 4 >
1 Comme l'or est devenu terne! L'or le plus pur a changé! Les pierres du sanctuaire sont déversées à la tête de chaque rue.
Dhahabu imechakaa; jinsi gani dhahabu safi imebadilika! Mawe matakatifu yamezagaa katika kila njia ya mtaa.
2 Les précieux fils de Sion, comparable à de l'or fin, comment ils sont estimés comme des cruches en terre, l'œuvre des mains du potier!
Wana wa dhamani wa Sayuni walikuwa na dhamani ya uzito wa dhahabu safi, lakini sasa hawana dhamani zaidi ya majagi ya udogo, kazi ya mikono ya mfinyazi!
3 Même les chacals offrent leur poitrine. Ils nourrissent leurs petits. Mais la fille de mon peuple est devenue cruelle, comme les autruches dans le désert.
Ata mbwa wa mitaani wanatoa maziwa yao kuwanyonyesha watoto wao, lakini binti wa watu wangu amekuwa katili, kama mbuni katika jangwa.
4 La langue de l'enfant qui allaite s'accroche à la voûte de sa bouche pour la soif. Les jeunes enfants demandent du pain, et personne ne le casse pour eux.
Ulimi wa mtoto mchanga anaye nyonya unagota juu mdomo wake kwa kiu; watoto wanaomba chakula, lakini hakuna kwa ajili yao.
5 Ceux qui mangeaient des mets délicats sont désolés dans les rues. Ceux qui ont été élevés dans la pourpre embrassent des tas de fumier.
Wao walizoea kula chakula cha gharama sasa wana shinda njaa mitaani; wao walio lelewa kwa kuvaa nguo za zambarau, sasa wamelala katika majalala.
6 Car l'iniquité de la fille de mon peuple est plus grande que le péché de Sodome, qui a été renversé comme en un instant. Aucune main n'a été posée sur elle.
Hukumu ya binti wa watu wangu ni kubwa kuliko hiyo ya Sodoma, na ilipinduliwa kwa dakika na hakuna aliye yanyua mkono kumsaidia.
7 Ses nobles étaient plus purs que la neige. Ils étaient plus blancs que du lait. Ils avaient un corps plus roux que les rubis. Leur polissage était comme du saphir.
Viongozi wake walikuwa wasafi kuliko theluji, weupe kuliko maziwa; miili yao ilikuwa imara kuliko jiwe, mwili wao ulikuwa kama yakuti samawi.
8 Leur apparence est plus noire qu'un charbon. Ils ne sont pas connus dans les rues. Leur peau s'accroche à leurs os. Il est flétri. Il est devenu comme du bois.
Muonekano wao umekuwa mweusi kama giza; hawatambuliki mitaani. Ngozi zao zimesinya kwenye mifupa yao; imekuwa kavu kama kuni.
9 Ceux qui sont tués par l'épée sont meilleurs que ceux qui sont tués par la faim; pour ceux qui dépérissent, frappés de plein fouet, par manque de fruits des champs.
Hao walio uawa kwa upanga walikuwa na furaha zaidi kuliko hao walio kufa kwa njaa, walio potea, wakatobolewa kwa ukosefu wa mavuno shambani.
10 Les mains des femmes pitoyables ont fait bouillir leurs propres enfants. Ils ont servi de nourriture dans la destruction de la fille de mon peuple.
Mikono ya wanawake wenye huruma imewachemsha watoto wao; wamekuwa chakula chao wakati ambapo binti wa watu wangu alipo kuwa akiharibiwa.
11 Yahvé a accompli sa colère. Il a déversé sa féroce colère. Il a allumé un feu dans Sion, qui a dévoré ses fondations.
Yahweh alionyesha gadhabu yake yote; alimwaga hasira yake kali. Aliwasha moto Sayuni uliteketeza misingi yake.
12 Les rois de la terre n'ont pas cru, ni tous les habitants du monde, que l'adversaire et l'ennemi entreraient par les portes de Jérusalem.
Wafalme wa dunia hawaku amini, wala wakazi wa dunia, kwamba maadui au wapinzani waliweza kuingia malangoni ya Yerusalemu.
13 C'est à cause des péchés de ses prophètes. et les iniquités de ses prêtres, qui ont versé le sang des justes au milieu d'elle.
Haya yalitokea kwasababu ya dhambi za manabii na na maasi ya makuhani walio mwaga damu ya wenye haki mbele zake.
14 Ils errent comme des aveugles dans les rues. Ils sont pollués par le sang, Pour que les hommes ne puissent pas toucher leurs vêtements.
Walitanga, kwa upofu, mitaani. Walikuwa wamejitia unajisi kwa damu hiyo ambapo hakuna aliye ruhusiwa kushika nguo zao.
15 « Allez-vous-en! » leur crièrent-ils. « Impur! Partez! Partez! Ne pas toucher! Quand ils se sont enfuis et ont erré, les hommes ont dit parmi les nations, « Ils ne peuvent plus vivre ici. »
“Kaa mbali! Wewe mnajisi!” Watu waliwapazia sauti. “Kaa mbali! Kaa mbali! Usiguse!” Hivyo wakatanga; watu walisema miongoni mwa mataifa, “Hawawezi kukaa hapa tena.”
16 La colère de Yahvé les a dispersés. Il ne leur prêtera plus attention. Ils ne respectaient pas les personnes des prêtres. Ils n'ont pas favorisé les anciens.
Yahweh mwenyewe akawatawanyisha; hawatazami tena. Hawa waheshimu makuhani, na hawaonyeshi upendeleo kwa wazee.
17 Nos yeux sont toujours défaillants, cherchant en vain notre aide. Dans notre observation, nous avons observé une nation qui ne pouvait pas sauver.
Macho yetu yalikwama, yakitazama bure kwa msaada; kutoka minara yetu ya ulinzi tulitazama taifa lisilo weza tuokoa.
18 Ils chassent nos pas, pour que nous ne puissions pas aller dans nos rues. Notre fin est proche. Nos jours sont accomplis, car notre fin est arrivée.
Walifuata hatua zetu, hatukuweza kutembea mitaani mwetu. Mwisho wetu ulikuwa karibu na siku zetu zilihesabiwa, mwisho wetu ulifika.
19 Nos poursuivants étaient plus rapides que les aigles du ciel. Ils nous ont poursuivis dans les montagnes. Ils nous ont tendu une embuscade dans le désert.
Walio tukimbiza walikuwa wepesi kuliko tai wa aangani. Walitukimbiza kwenye milima na kutuwinda nyikani.
20 Le souffle de nos narines, l'oint de Yahvé, a été prise dans leurs fosses; dont nous avons dit, sous son ombre, nous vivrons parmi les nations.
Pumzi katika pua zetu - mpakwa mafuta wa Yahweh - ndiye aliye kamatwa katika shimo; ambaye ndiye aliye semewa, “Chini ya kivuli chake tutaishi miongoni mwa mataifa.”
21 Réjouis-toi et sois heureuse, fille d'Édom, qui habite le pays d'Uz. La coupe vous sera également transmise. Tu seras ivre, et tu te mettras à nu.
Shangilia na ufurahi, binti wa Edomu, wewe unaye ishi nchi ya Uzi. Lakini kwako pia kikombe kitapitishwa; utalewa na kuvua nguo.
22 Le châtiment de ton iniquité est accompli, fille de Sion. Il ne vous emmènera plus en captivité. Il visitera ton iniquité, fille d'Édom. Il va découvrir vos péchés.
Binti wa Sayuni, hukumu yako itafika mwisho, hataongeza mateka yako lakini binti wa Edomu, ata muhadhibu; ata funua dhambi zako.