< Juges 6 >
1 Les enfants d'Israël firent ce qui est mal aux yeux de l'Éternel, et l'Éternel les livra entre les mains de Madian pendant sept ans.
Wana wa Israeli wakafanya yaliyo mabaya machoni pa Bwana; naye akawatia mikononi mwa Midiani kwa miaka saba.
2 La main de Madian l'emporta sur Israël, et les enfants d'Israël se firent, à cause de Madian, des repaires dans les montagnes, des cavernes et des forteresses.
Uwezo wa Midiani uliwanyanyasa Israeli. Kwa sababu ya Midiani, watu wa Israeli walitengeneza makao wenyewe kutoka kwenye mabwawa katika milima, mapango, na ngome.
3 Lorsqu'Israël eut semé, les Madianites, les Amalécites et les fils de l'Orient montèrent contre eux.
Kisha ikawa kwamba wakati wowote Waisraeli walipopanda mazao yao, Wamidiani na Waamaleki na watu kutoka mashariki waliwavamia Waisraeli.
4 Ils campèrent contre eux et détruisirent les produits de la terre, jusqu'à ce que tu arrives à Gaza. Ils ne laissèrent en Israël aucune subsistance, ni brebis, ni bœuf, ni âne.
Waliweza kutengenezajeshi lao juu ya ardhi na kuharibu mazao, mpaka njia ya Gaza. Hawakuacha chakula huko Israeli, wala kondoo wala ng'ombe wala punda.
5 Car ils sont montés avec leur bétail et leurs tentes. Ils sont entrés comme des sauterelles pour la multitude. Ils étaient innombrables, eux et leurs chameaux, et ils sont entrés dans le pays pour le détruire.
Kila wakati wao na mifugo yao na mahema walipokuja, walikuja kama kundi la nzige, na haikuwezekana kuhesabu watu au ngamia zao. Walivamia ardhi ili kuiharibu.
6 Israël fut très humilié à cause de Madian, et les enfants d'Israël crièrent à l'Éternel.
Midiani iliwadhoofisha Waisraeli sana mpaka watu wa Israeli wakamwita Bwana.
7 Lorsque les enfants d'Israël crièrent à Yahvé à cause de Madian,
Watu wa Israeli walipomwomba Bwana kwa sababu ya Midiani,
8 Yahvé envoya un prophète aux enfants d'Israël, qui leur dit: « Yahvé, le Dieu d'Israël, dit: Je vous ai fait monter d'Égypte et je vous ai fait sortir de la maison de servitude.
Bwana alimtuma nabii kwa wana wa Israeli. Nabii akawaambia, Bwana, Mungu wa Israeli, asema hivi, Nimekuleta kutoka Misri; Nilikutoa nje ya nyumba ya utumwa.
9 Je vous ai délivrés de la main des Égyptiens et de la main de tous ceux qui vous opprimaient, je les ai chassés devant vous et je vous ai donné leur pays.
Naliwaokoa kutoka kwenye mikono ya Wamisri, na kutoka kwenye mkono wa wote waliokuwa wakikunyanyasa. Niliwafukuza mbele yenu, na nimewapa nchi yao.
10 Je t'ai dit: « Je suis Yahvé, ton Dieu. Tu ne craindras pas les dieux des Amoréens, dans le pays desquels tu habites. » Mais vous n'avez pas écouté ma voix.'"
Niliwaambia, “Mimi ndimi Bwana, Mungu wenu; Nimewaamuru msiabudu miungu ya Waamori, ambao mnaishi katika nchi yao. Lakini hamkuitii sauti yangu.”
11 L'ange de Yahvé vint s'asseoir sous le chêne qui était à Ophra, et qui appartenait à Joas, l'Abiézerite. Son fils Gédéon battait le blé dans le pressoir, pour le cacher aux Madianites.
Basi malaika wa Bwana akaja na kukaa chini ya mwaloni huko Ofra, uliokuwa wa Yoashi (Mwabiyezeri), wakati Gidioni, mwana wa Yoashi, akitenganisha ngano katika sakafu, katika kikapu cha divai-kuificha toka kwa Wamidiani.
12 L'ange de Yahvé lui apparut et lui dit: « Yahvé est avec toi, vaillant homme! »
Malaika wa Bwana akamtokea, akamwambia, Bwana yu pamoja nanyi, mpiganaji mwenye nguvu!
13 Gédéon lui dit: « Oh, mon seigneur, si Yahvé est avec nous, pourquoi donc tout cela nous est-il arrivé? Où sont passées toutes les merveilles dont nos pères nous ont parlé, en disant: « Yahvé ne nous a-t-il pas fait monter d'Égypte? Mais maintenant, Yahvé nous a rejetés et nous a livrés entre les mains de Madian. »
Gideoni akamwambia, Oo, bwana wangu, ikiwa Bwana yu pamoja nasi, kwa nini basi yote haya yanatupata? Je, yako wapi matendo yake yote mazuri ambayo baba zetu walituambia, waliposema, 'Je! si Bwana aliyetukomboa kutoka Misri?' Lakini sasa Bwana ametuacha na kututia mikononi mwa Midiani. '
14 L'Éternel le regarda et dit: « Va avec ta force, et sauve Israël de la main de Madian. Ne t'ai-je pas envoyé? »
Bwana akamtazama na kusema, “Nenda katika nguvu uliyo nayo tayari. Uiokoe Israeli kutoka mkononi wa Midiani. Je, sikukutuma?”
15 Il lui dit: « Seigneur, comment sauverai-je Israël? Voici, ma famille est la plus pauvre de Manassé, et je suis le plus petit dans la maison de mon père. »
Gideoni akamwambia, “Tafadhali, Bwana, nawezeje kuwaokoa Israeli? Angalia, familia yangu ni dhaifu zaidi katika Manase, na mimi si muhimu katika nyumba ya baba yangu.”
16 Yahvé lui dit: « Je serai avec toi, et tu frapperas les Madianites comme un seul homme. »
Bwana akamwambia, “Nitakuwa pamoja nawe, nawe utalishinda jeshi lote la Midiani kama mtu mmoja.”
17 Il lui dit: « Si maintenant j'ai trouvé grâce à tes yeux, montre-moi un signe que c'est toi qui me parles.
Gideoni akamwambia, “Ikiwa unapendezwa na mimi, nipe basi ishara kwamba wewe ndio unenena nami.
18 Ne t'en va pas, je te prie, jusqu'à ce que je vienne à toi, que j'apporte mon cadeau et que je le dépose devant toi. » Il a dit: « Je vais attendre que tu reviennes. »
Tafadhali, usiondoke hapa, mpaka nitakapokuja kwako na kuleta zawadi yangu na kuiweka mbele yako.” Bwana akasema, “Nitasubiri mpaka utakaporudi.”
19 Gédéon entra et prépara un chevreau et des gâteaux sans levain d'un épha de farine. Il mit la viande dans un panier et il mit le bouillon dans un pot; il l'apporta sous le chêne et le présenta.
Gideoni akaenda, akaandaa mwana mbuzi, na efa moja ya unga akafanya mikate isiyotiwa chachu. Akaiweka nyama hiyo katika kikapu, na akaweka mchuzi ndani ya sufuria na kuviletea chini ya mti wa mwaloni, akavitowa.
20 L'ange de Dieu lui dit: « Prends la viande et les gâteaux sans levain, pose-les sur ce rocher, et verse le bouillon. » Il fit ainsi.
Malaika wa Mungu akamwambia, “Chukua nyama na mikate isiyotiwa chachu, ukaweke juu ya mwamba huu, ukamwage mchuzi juu yake.” Gideoni akafanya hivyo.
21 Et l'ange de Yahvé étendit l'extrémité du bâton qu'il avait à la main, et toucha la viande et les gâteaux sans levain; et le feu monta du rocher et consuma la viande et les gâteaux sans levain. Puis l'ange de Yahvé s'en alla hors de sa vue.
Kisha malaika wa Bwana akashika ncha ya fimbo mkononi mwake. Kwa hiyo akagusa nyama na mikate isiyotiwa chachu; moto ukatoka nje ya mwamba, ukateketeza nyama na mikate isiyotiwa chachu. Kisha malaika wa Bwana akaenda, na Gideoni hakuweza kumwona tena.
22 Gédéon vit que c'était l'ange de Yahvé; et Gédéon dit: « Hélas, Seigneur Yahvé! Car j'ai vu l'ange de Yahvé face à face! »
Gideoni alielewa kuwa yule alikuwa malaika wa Bwana. Gideoni akasema, “Ewe Bwana MUNGU! Kwa maana nimemwona malaika wa Bwana uso kwa uso!”
23 Yahvé lui dit: « Que la paix soit avec toi! N'aie pas peur. Tu ne mourras pas. »
Bwana akamwambia, “Amani iwe kwako! Usiogope, huwezi kufa.”
24 Et Gédéon y construisit un autel à Yahvé et l'appela « Yahvé est paix ». Aujourd'hui encore, il se trouve à Ophra, chez les Abiézrites.
Basi Gideoni akamjengea Bwana madhabahu huko. Aliiita, “Bwana ni Amani.” Hadi leo bado iko katika Ofra ya jamaa ya Waabiezeri.
25 Cette même nuit, Yahvé lui dit: « Prends le taureau de ton père, le second taureau âgé de sept ans, et jette l'autel de Baal que ton père a, et coupe l'ashère qui est à côté.
Usiku huo, Bwana akamwambia, “Twaa ng'ombe wa baba yako, na ng'ombe wa pili wa umri wa miaka saba, ukaondoe madhabahu ya Baali, ambayo ni ya baba yako, na kukata Ashera iliyo karibu nayo.
26 Puis tu construiras un autel à Yahvé, ton Dieu, sur le sommet de cette forteresse, de façon ordonnée, et tu prendras le second taureau, et tu offriras un holocauste avec le bois de l'ashère que tu abattras. »
Jenga madhabahu kwa Bwana, Mungu wako juu ya mahali pa kukimbilia, na kuijenga njia sahihi. Toa ng'ombe ya pili kama sadaka ya kuteketezwa, ukitumia kuni kutoka Ashera uliyoikata. '
27 Alors Gédéon prit dix hommes parmi ses serviteurs et fit ce que Yahvé lui avait dit. Comme il craignait la maison de son père et les hommes de la ville, il ne put le faire de jour, mais il le fit de nuit.
Gideoni akachukua watumishi wake kumi na kufanya kama Bwana alivyomwambia. Lakini kwa sababu aliogopa sana watu wa nyumba ya baba yake na watu wa mji hakufanya hivyo wakati wa mchana, alifanya hivyo usiku.
28 Les gens de la ville se levèrent de bon matin, et voici, l'autel de Baal était démoli, l'idole d'Astarté qui était près de lui était coupée, et le second taureau était offert sur l'autel qui avait été bâti.
Asubuhi wakati watu wa mji walipoamka, madhabahu ya Baali imebomolewa, na Ashera iliyokuwa karibu nayo imekatwa, na ng'ombe wa pili ametolewa sadaka kwenye madhabahu iliyojengwa.
29 Ils se dirent les uns aux autres: « Qui a fait cela? » Quand ils se sont renseignés et ont demandé, ils ont dit: « Gédéon, fils de Joash, a fait cette chose. »
Watu wa mji wakaambiana, “Ni nani aliyefanya jambo hili?” Walipokuwa wakiongea na wengine na kutafuta majibu, wakasema, 'Gidioni mwana wa Yoashi amefanya jambo hili.”
30 Alors les gens de la ville dirent à Joas: « Fais sortir ton fils, et qu'il meure, parce qu'il a démoli l'autel de Baal et qu'il a abattu l'ashère qui était près de lui. »
Ndipo watu wa mji wakamwambia Yoashi, “Mtoe mtoto wako ili afe, kwa sababu ameibomoa madhabahu ya Baali, na kwa sababu ameikata Ashera karibu nayo.”
31 Joas dit à tous ceux qui s'opposaient à lui: « Allez-vous lutter pour Baal? Ou le sauverez-vous? Que celui qui le défendra soit mis à mort dès demain matin! Si c'est un dieu, qu'il se défende lui-même, car on a démoli son autel! »
Yoashi akawaambia wote waliompinga, “Je, ninyi mtamsihi Baali? Je, mtamuokoa? Mtu yeyote atakayemtetea, basi atauawa asubuhi hii. Ikiwa Baali ni mungu, basi atajitetea mwenyewe wakati mtu anaibomoa madhabahu yake.”
32 C'est pourquoi, ce jour-là, il lui donna le nom de Jerub-Baal, en disant: « Que Baal conteste contre lui, car il a démoli son autel. »
Kwa hiyo siku hiyo wakamwita Gideoni “Yerubaali,” kwa sababu alisema, “Baali ajijitetee dhidi yake,” kwa sababu Gidioni alivunja madhabahu ya Baali.
33 Et tous les Madianites et les Amalécites et les fils de l'Orient se rassemblèrent; et ils passèrent et campèrent dans la vallée de Jizréel.
Basi Wamidiani wote, Waamaleki, na watu wa mashariki walikusanyika pamoja. Wakavuka Yordani na wakapanga katika bonde la Yezreeli.
34 Mais l'Esprit de Yahvé vint sur Gédéon, et il sonna de la trompette; et Abiezer se rassembla pour le suivre.
Lakini Roho wa Bwana akaja juu ya Gideoni. Gideoni akapiga tarumbeta, akawaita jamaa ya Abiezeri, ili wapate kumfuata.
35 Il envoya des messagers dans tout Manassé, et eux aussi se rassemblèrent pour le suivre. Il envoya des messagers à Aser, à Zabulon et à Nephtali, et ils montèrent à leur rencontre.
Aliwatuma wajumbe wote katika Manase, na wao pia, waliitwa nje kumfuata. Naye akatuma wajumbe kwa Asheri, na Zabuloni, na Naftali; nao wakaenda kumlaki.
36 Gédéon dit à Dieu: « Si tu veux sauver Israël par ma main, comme tu l'as dit,
Gideoni akamwambia Mungu, “Ikiwa ungependa kunitumia kuokoa Israeli, kama ulivyosema,
37 voici, je mettrai une toison de laine sur l'aire de battage. S'il y a de la rosée sur la toison seulement, et qu'il y ait du sec sur tout le sol, alors je saurai que tu sauveras Israël par ma main, comme tu l'as dit. »
tazameni, ninaweka ngozi ya samazi kwenye sakafu. Ikiwa kuna umande tu juu ya ngozi, na ni kavu duniani, basi nitajua kwamba utanitumia kuokoa Israeli, kama ulivyosema.”
38 Il en fut ainsi, car il se leva de bonne heure le lendemain, pressa la toison et en tira la rosée, une coupe pleine d'eau.
Hivi ndivyo ilivyotokea-Gideoni aliamka mapama asubuhi, akaikamua ngozi hiyo, na akatoa umande kwenye ngozi, wa kutosha kujaza bakuli kwa maji.
39 Gédéon dit à Dieu: « Que ta colère ne s'enflamme pas contre moi, et je ne parlerai que cette fois-ci. Laisse-moi, je t'en prie, faire l'épreuve de la toison pour cette fois seulement. Qu'il n'y ait de sec que sur la toison, et sur toute la terre, qu'il y ait de la rosée. »
Gideoni akamwambia Mungu, 'Usinikasirikie, nitasema tena kwa mara nyingine. Tafadhali niruhusu nijaribu tena kwa kutumia ngozi. Wakati huu uifanye kavu, na iwe na umande juu ya ardhi yote kuzunguka.
40 Dieu fit ainsi cette nuit-là, car il faisait sec sur la toison seulement, et il y avait de la rosée sur toute la terre.
Mungu alifanya kile alichoomba usiku huo. Ngozi ilikuwa kavu, na kulikuwa na umande katika ardhi yote iliyozunguka.