< Juges 20 >
1 Alors tous les enfants d'Israël sortirent, et l'assemblée se rassembla comme un seul homme, depuis Dan jusqu'à Beer Schéba, avec le pays de Galaad, vers l'Éternel à Mitspa.
Ndipo watu wote wa Israeli wakatoka kama mtu mmoja, toka Dani mpaka Beer-sheba, pamoja na nchi ya Gileadi; nao wakakusanyika mbele za Bwana huko Mispa.
2 Les chefs de tout le peuple, de toutes les tribus d'Israël, se présentèrent à l'assemblée du peuple de Dieu, quatre cent mille hommes de pied tirant l'épée.
Viongozi wa watu wote, wa kabila zote za Israeli, wakachukua nafasi zao kwenye kusanyiko la watu wa Mungu-watu 400, 000 waendao kwa miguu, ambao walikuwa tayari kupigana na upanga.
3 (Les enfants de Benjamin apprirent que les enfants d'Israël étaient montés à Mitspa.) Les enfants d'Israël dirent: « Dis-nous, comment cette méchanceté est-elle arrivée? »
Basi wana wa Benyamini waliposikia kwamba watu wa Israeli walikuwa wamepanda Mispa. Wana wa Israeli wakasema, “Tuambieni ni kwa namna gani huu uovu umefanyika.”
4 Le Lévite, mari de la femme assassinée, répondit: « Je suis venu à Guibea, qui appartient à Benjamin, moi et ma concubine, pour passer la nuit.
Mlawi, mume wa mwanamke aliyeuawa, akajibu, Nilikuja Gibea katika nchi ya Benyamini, mimi na suria wangu, ili tulale.
5 Les hommes de Guibea se sont soulevés contre moi et ont encerclé la maison pendant la nuit. Ils voulaient me tuer, ils ont violé ma concubine, et elle est morte.
Wakati wa usiku, viongozi wa Gibea walinishambulia, wakizunguka nyumba na wakakusudia kuniua. Walimkamata na kumbaka suria wangu, naye akafa.
6 J'ai pris ma concubine, je l'ai coupée en morceaux, et je l'ai envoyée dans tout le pays de l'héritage d'Israël, car on s'est livré à la débauche et à la folie en Israël.
Nilimchukua suria wangu na kumkata mwili wake vipande vipande, na kuweka katika kila nchi ya urithi wa Israeli, kwa sababu wamefanya uovu huo na upumbavu katika Israeli.
7 Voici, vous, enfants d'Israël, vous tous, donnez ici vos avis et vos conseils. »
Sasa, ninyi Waisraeli wote, toeni maneno na ushauri wenu hapa.”
8 Tout le peuple se leva comme un seul homme, et dit: Aucun de nous n'ira à sa tente, et aucun de nous ne se tournera vers sa maison.
Watu wote wakaondoka pamoja kama mtu mmoja, wakasema, Hakuna hata mmoja wetu atakayeenda hemani kwake, wala hakuna hata mmoja wetu atakayerudi nyumbani kwake.
9 Voici maintenant ce que nous ferons à Guibea: nous monterons contre elle par le sort;
Lakini sasa hivi ndivyo tutakavyoifanyia Gibea tutaishambulia kama kura inavyotuongoza.
10 et nous prendrons dix hommes sur cent dans toutes les tribus d'Israël, cent sur mille, et mille sur dix mille, pour procurer de la nourriture au peuple, afin qu'il fasse, en arrivant à Guibea de Benjamin, toutes les folies que les hommes de Guibea ont commises en Israël. »
Tutachukua watu kumi katika mia moja katika makabila yote ya Israeli, na mia moja katika elfu, na elfu moja katika elfu kumi, kuwapa chakula kwa ajili ya watu hawa, ili waweze kufika Gibea katika Benyamini, watawaadhibu kwa uovu wao waliofanya katika Israeli.
11 Et tous les hommes d'Israël se rassemblèrent contre la ville, unis comme un seul homme.
Basi askari wote wa Israeli wakakusanyika juu ya mji, kama mtu mmoja.
12 Les tribus d'Israël envoyèrent des hommes dans toute la tribu de Benjamin, en disant: « Quelle est cette méchanceté qui est arrivée parmi vous?
Makabila ya Israeli waliwatuma watu kwa kabila lote la Benyamini, wakisema, “Uovu huu uliofanywa kati yenu ni nini?
13 Maintenant, livrez les hommes, les méchants qui sont à Guibea, afin que nous les fassions mourir et que nous fassions disparaître le mal d'Israël. » Mais Benjamin ne voulut pas écouter la voix de ses frères, les enfants d'Israël.
Kwa hiyo, tupeni watu hao waovu wa Gibea, tupate kuwaua, na hivyo tutaondoa kabisa uovu huu kutoka kwa Israeli.” Lakini Wabenyamini hawakusikiliza sauti ya ndugu zao, watu wa Israeli,
14 Les fils de Benjamin se rassemblèrent des villes jusqu'à Guibea, pour aller combattre les enfants d'Israël.
Ndipo wana wa Benyamini wakakusanyika kutoka mijini kwenda Gibea, wakajiandaa kupigana na wana wa Israeli.
15 Ce jour-là, on compta parmi les enfants de Benjamin, sur les villes, vingt-six mille hommes tirant l'épée, sans compter les habitants de Guibea, qui étaient au nombre de sept cents hommes d'élite.
Watu wa Benyamini wakakusanya kutoka miji yao ili kupigana siku ile, askari elfu ishirini na sita waliopangwa kupigana na upanga. Walakini, kuna watu mia saba waliochaguliwa kutoka kwa wenyeji wa Gibea.
16 Parmi tous ces soldats, il y avait sept cents hommes d'élite qui étaient gauchers. Chacun d'eux pouvait lancer une pierre à un cheveu sans la manquer.
Miongoni mwa askari wote hawa walikuwa watu mia saba waliochaguliwa ambao walikuwa wenye shoto. Kila mmoja wao angeweza kupiga unywele kwa mawe na asikose.
17 Les hommes d'Israël, outre Benjamin, comptèrent quatre cent mille hommes tirant l'épée. Tous ces hommes étaient des hommes de guerre.
Watu wa Israeli, bila kuhesabu namba kutoka kwa Benyamini, walikuwa na watu 400, 000 waliokuwa wamejifunza kupigana na upanga. Wote hawa walikuwa watu wa vita.
18 Les enfants d'Israël se levèrent, montèrent à Béthel, et demandèrent conseil à Dieu. Ils demandèrent: « Qui montera le premier pour nous dans la bataille contre les enfants de Benjamin? » Yahvé a dit: « Juda d'abord. »
Watu wa Israeli waliondoka, wakaenda Betheli, wakaomba ushauri kutoka kwa Mungu. Wakauliza, “Ni nani kwanza atakayewaangamiza watu wa Benyamini kwa ajili yetu?” Bwana akasema, “Yuda atashambulia kwanza.”
19 Les enfants d'Israël se levèrent le matin et campèrent devant Guibea.
Watu wa Israeli waliamka asubuhi na wakahamisha kambi yao karibu na Gibea.
20 Les hommes d'Israël sortirent pour combattre Benjamin, et les hommes d'Israël se rangèrent en bataille contre eux à Guibea.
Watu wa Israeli walikwenda kupigana na Benyamini. Wakaweka nafasi zao za vita dhidi yao huko Gibea.
21 Les enfants de Benjamin sortirent de Guibea et, ce jour-là, ils détruisirent par terre vingt-deux mille hommes des Israélites.
Watu wa Benyamini wakatoka Gibea, nao wakawaua watu elfu ishirini na mbili wa jeshi la Israeli siku ile.
22 Le peuple, les hommes d'Israël, s'encouragèrent et se rangèrent en bataille à l'endroit où ils s'étaient rangés le premier jour.
Wana wa Israeli walijitia nguvu wenyewe, na wakaunda mstari wa vita mahali pale walipokwisha kuchukua nafasi siku ya kwanza.
23 Les enfants d'Israël montèrent et pleurèrent devant l'Éternel jusqu'au soir, et ils demandèrent à l'Éternel: « M'approcherai-je encore pour combattre les enfants de Benjamin, mon frère? » Yahvé a dit: « Monte contre lui. »
Na wana wa Israeli wakaenda, wakalia mbele za Bwana hata jioni. Walitaka mwongozo kutoka kwa Bwana “Je, tunapaswa kwenda tena kupigana na ndugu zetu, watu wa Benyamini?” Naye Bwana akasema, “Wapigeni!”
24 Les enfants d'Israël s'approchèrent des enfants de Benjamin le second jour.
Basi watu wa Israeli wakapigana na askari wa Benyamini siku ya pili.
25 Benjamin sortit contre eux de Guibea, le second jour, et il détruisit encore par terre dix-huit mille hommes des enfants d'Israël. Tous tirèrent l'épée.
Siku ya pili, Benyamini alitoka kupigana nao kutoka Gibea, nao wakawaua watu wa Israeli elfu kumi na nane. Wote walikuwa watu ambao walijifunza kupigana na upanga.
26 Alors tous les enfants d'Israël et tout le peuple montèrent et vinrent à Béthel; ils pleurèrent, s'assirent là devant l'Éternel, et jeûnèrent ce jour-là jusqu'au soir; puis ils offrirent devant l'Éternel des holocaustes et des sacrifices de prospérité.
Basi askari wote wa Israeli na watu wote wakaenda Betheli, wakalia, wakakaa mbele za Bwana; nao wakafunga siku hiyo hata jioni, wakatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani mbele za Bwana.
27 Les enfants d'Israël demandèrent à l'Éternel (car l'arche de l'alliance de Dieu était là en ce temps-là,
Wana wa Israeli wakamwomba Bwana, - kwa sababu ya sanduku la agano la Mungu lilikuwapo siku hizo;
28 et Phinées, fils d'Éléazar, fils d'Aaron, se tenait devant elle en ce temps-là): « Irai-je encore combattre les enfants de Benjamin, mon frère, ou bien cesserai-je? » Yahvé dit: « Monte, car demain je le livrerai entre tes mains. »
na Finehasi, mwana wa Eleazari, mwana wa Haruni, aliyekuwa akihudumia mbele ya sanduku siku hizo. “Je twende vitani tena dhidi ya watu wa Benyamini, ndugu zetu, au tuache?” Bwana akasema, “Wapigeni, kwa maana kesho nitawasaidia kuwashinda.
29 Israël dressa des embuscades tout autour de Guibea.
Basi Israeli akaweka watu mahali pa siri karibu na Gibea.
30 Le troisième jour, les enfants d'Israël montèrent contre les enfants de Benjamin, et ils se rangèrent en bataille contre Guibea, comme les autres fois.
Watu wa Israeli wakapigana na wana wa Benyamini kwa siku ya tatu, nao wakajenga vita vyao juu ya Gibea, kama walivyotangulia.
31 Les Benjamites sortirent à l'encontre du peuple, et s'éloignèrent de la ville; ils se mirent à frapper et à tuer du peuple, comme les autres fois, sur les routes, dont l'une monte à Béthel et l'autre à Guibea, dans les champs, environ trente hommes d'Israël.
Watu wa Benyamini wakaenda kupigana na watu, nao wakachukuliwa mbali na mji. Walianza kuua baadhi ya watu. Kulikuwa na watu thelathini wa Israeli ambao walikufa katika mashamba na barabara. Njia moja ilienda Betheli, na nyingine ikaenda Gibea.
32 Les fils de Benjamin dirent: « Ils sont frappés devant nous, comme au début. » Mais les enfants d'Israël dirent: « Fuyons, et attirons-les loin de la ville sur les routes. »
Ndipo wana wa Benyamini wakasema, “Wameshindwa na wanatukimbia, kama hapo awali.” Lakini askari wa Israeli wakasema, “Hebu tukimbie na kuwavuta mbali na mji hadi barabarani.”
33 Tous les hommes d'Israël se levèrent de leur place et se rangèrent en bataille devant Baal Tamar. Et les embusqueurs d'Israël sortirent de leur place, même de Maareh Guéba.
Watu wote wa Israeli waliondoka kutoka mahali pao na wakajipanga kwa vita huko Baal-Tamari. Basi askari wa Israeli waliokuwa wakijificha mahali pa siri walikimbia kutoka Maare-Geba.
34 Dix mille hommes d'élite de tout Israël s'avancèrent contre Guibea, et le combat fut rude; mais ils ne savaient pas que le désastre était proche d'eux.
Wakatoka juu ya Gibea watu kumi elfu waliochaguliwa kutoka Israeli yote, na vita vilikuwa kali, lakini Wabenjamini hawakujua kwamba msiba ulikuwa karibu nao.
35 L'Éternel frappa Benjamin devant Israël, et les enfants d'Israël détruisirent ce jour-là vingt-cinq mille cent hommes de Benjamin. Tous tirèrent l'épée.
Bwana akamshinda Benyamini mbele ya Israeli. Siku hiyo, askari wa Israeli waliwauawa watu wa Benyamini 25, 100. Wote hawa waliokufa walikuwa wale waliokuwa wamejifunza kupigana na upanga.
36 Les fils de Benjamin virent qu'ils étaient frappés, car les hommes d'Israël avaient cédé à Benjamin parce qu'ils avaient confiance dans les embusqueurs qu'ils avaient placés contre Gibéa.
Basi askari wa Benyamini waliona wameshindwa. Wana wa Israeli walikuwa wametoa ardhi kwa Benyamini, kwa kuwa walikuwa wakihesabu watu waliowaweka katika nafasi zilizofichwa nje ya Gibea.
37 Les embusqueurs se hâtèrent et se précipitèrent sur Gibéa; ils se répandirent et frappèrent toute la ville du tranchant de l'épée.
Ndipo watu waliokuwa wameficha wakainuka na haraka na wakamkimbia Gibea. Nao wakauawa kila mtu aliyeishi mjini kwa upanga wao.
38 Or le signe fixé entre les hommes d'Israël et les embusqueurs était de faire monter de la ville un grand nuage de fumée.
Ishara iliyopangwa kati ya askari wa Israeli na watu waliojificha kwa siri itakuwa wingu kubwa la moshi litatokea nje ya mji.
39 Les hommes d'Israël se retournèrent dans la bataille, et Benjamin commença à frapper et à tuer environ trente personnes parmi les hommes d'Israël, car ils disaient: « Certainement ils ont été frappés devant nous, comme dans la première bataille. »
Ishara ilipokuja askari wa Israeli wakageuka kutoka kwenye vita. Basi Benyamini wakaanza kushambulia na wakawaua watu wa Israeli thelathini, wakasema, “Hakika wanapigwa mbele yetu, kama katika vita vya kwanza.”
40 Mais lorsque la nuée commença à s'élever de la ville en une colonne de fumée, les Benjamites regardèrent derrière eux, et voici que toute la ville montait en fumée vers le ciel.
Lakini wakati nguzo ya moshi ilipoanza kuinuka nje ya mji, Wabenjamini waligeuka na kuona moshi ukitanda mbinguni kutoka mji mzima.
41 Les hommes d'Israël se retournèrent, et les hommes de Benjamin furent consternés, car ils virent que le désastre les atteignait.
Ndipo watu wa Israeli wakawageuka. Wana wa Benyamini waliogopa, kwa sababu waliona kwamba maafa yaliwajia.
42 Ils tournèrent le dos devant les hommes d'Israël pour prendre le chemin du désert, mais la bataille les suivit de près, et ceux qui sortirent des villes les détruisirent au milieu d'elles.
Basi wakakimbia kutoka kwa wana wa Israeli, kuelekea njia ya jangwani. Lakini vita viliwapata. Askari wa Israeli walitoka mijini na wakawaua pale waliposimama.
43 Ils entourèrent les Benjamites, les poursuivirent et les foulèrent aux pieds sur leur lieu de repos, jusqu'aux environs de Guibea, vers le lever du soleil.
Waliwalzungukia wana wa Benjamini na wakawafuata. Nao wakawakanyaga huko Noha, wakawaua mpaka upande wa mashariki wa Gibea.
44 Dix-huit mille hommes de Benjamin tombèrent; tous étaient des hommes valeureux.
Kutoka kabila la Benyamini, watu kumi na nane elfu walikufa, wote walikuwa wanaume waliojulikana katika vita.
45 Ils se retournèrent et s'enfuirent vers le désert, au rocher de Rimmon. Ils en glanèrent cinq mille dans les chemins, les poursuivirent jusqu'à Gidom, et en battirent deux mille.
Wakageuka na kukimbia kuelekea jangwani hadi mwamba wa Rimoni. Waisraeli waliuawa zaidi ya elfu tano kati yao barabarani. Waliendelea kuwafuata, wakifuata kwa njia kuu kwenda Gidomu, na huko waliuawa elfu mbili zaidi.
46 Ainsi, tous ceux de Benjamin qui tombèrent ce jour-là furent vingt-cinq mille hommes qui tirèrent l'épée. Tous ceux-là étaient des hommes valeureux.
Askari wote wa Benyamini walioshuka siku hiyo walikuwa watu ishirini na tano waliokuwa wamejifunza kupigana kwa upanga; wote walikuwa wanajulikana katika vita.
47 Mais six cents hommes se détournèrent et s'enfuirent vers le désert, au rocher de Rimmon, et ils restèrent quatre mois au rocher de Rimmon.
Lakini watu mia sita wakageuka na kukimbilia jangwani, kuelekea mwamba wa Rimoni. Wakakaa katika mwamba wa Rimoni kwa muda wa miezi minne.
48 Les hommes d'Israël se retournèrent contre les fils de Benjamin et les frappèrent du tranchant de l'épée, y compris toute la ville, le bétail et tout ce qu'ils trouvèrent. Ils incendièrent aussi toutes les villes qu'ils trouvèrent.
Askari wa Israeli waliwarudia watu wa Benyamini na wakawashinda na kuwaua-mji mzima, ng'ombe, na kila kitu walichopata. Pia walichoma moto kila mji katika njia yao.