< Juges 2 >
1 L'ange de Yahvé monta de Gilgal à Bochim. Il dit: « Je vous ai fait sortir d'Égypte et je vous ai conduits dans le pays que j'avais juré de donner à vos pères. J'ai dit: « Je ne romprai jamais mon alliance avec vous.
Malaika wa Bwana akatoka Gilgali, akaenda Bokimu, akasema, “Nimekuleta kutoka Misri, na nimekuleta katika nchi niliyoapa kuwapa baba zako.
2 Vous ne ferez aucune alliance avec les habitants de ce pays. Vous démolirez leurs autels. Mais vous n'avez pas écouté ma voix. Pourquoi avez-vous fait cela?
Nikasema, 'Sitakuvunja kamwe agano langu na wewe. Usifanye agano na wale wanaoishi katika nchi hii. Ziangushe madhabahu zao. Lakini hukusikiliza sauti yangu. Je! ni nini hiki ulichokifanya?
3 C'est pourquoi j'ai dit: « Je ne les chasserai pas de devant toi, mais ils seront dans ton camp, et leurs dieux seront pour toi un piège. »
Basi sasa nasema, “Sitawafukuza Wakanaani mbele yenu, nao watakuwa miiba kwenu, na miungu yao itakuwa mtego kwa ajili yenu.”
4 Lorsque l'ange de Yahvé eut prononcé ces paroles devant tous les enfants d'Israël, le peuple éleva la voix et pleura.
Malaika wa Bwana alipowaambia maneno hayo kwa watu wote wa Israeli, watu wakapiga kelele na kulia.
5 Ils appelèrent le nom de ce lieu Bochim, et ils y sacrifièrent à l'Éternel.
Waliita mahali hapo Bokimu. Hapo wakatoa dhabihu kwa Bwana.
6 Lorsque Josué eut renvoyé le peuple, les enfants d'Israël allèrent chacun dans son héritage pour prendre possession du pays.
Yoshua alipowaruhusu watu waende zao, wana wa Israeli kila mmoja akaenda mahali alipopewa, wakiwa na umiliki wa ardhi yao.
7 Le peuple servit l'Éternel pendant toute la vie de Josué et pendant toute la vie des anciens qui survécurent à Josué et qui avaient vu toute la grande œuvre de l'Éternel en faveur d'Israël.
Watu walimtumikia Bwana wakati wa maisha ya Yoshua na wazee walioendelea baada yake, ni wale waliokuwa wameona matendo yote makuu ya Bwana aliyoyafanya kwa Israeli.
8 Josué, fils de Nun, serviteur de l'Éternel, mourut, âgé de cent dix ans.
Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wa Bwana, alikufa akiwa na umri wa miaka 110.
9 On l'enterra dans le territoire de son héritage, à Timnath Hérès, dans la montagne d'Ephraïm, au nord de la montagne de Gaash.
Wakamzika ndani ya mpaka wa nchi aliyopewa huko Timnath Heresi, katika mlima wa Efraimu, kaskazini mwa Mlima Gaash.
10 Après que toute cette génération eut été recueillie auprès de ses pères, il se leva après elle une autre génération qui ne connaissait pas l'Éternel ni l'œuvre qu'il avait faite pour Israël.
Kizazi hicho chote kilikusanyika kwa baba zao. Kizazi kingine kilichofuata baada yao ambao hakikumjua Bwana au kile alichokifanya kwa Israeli.
11 Les enfants d'Israël firent ce qui est mal aux yeux de l'Éternel, et ils servirent les Baals.
Watu wa Israeli walifanya yaliyo mabaya machoni pa Bwana, nao wakawatumikia Mabaali.
12 Ils abandonnèrent Yahvé, le Dieu de leurs pères, qui les avait fait sortir du pays d'Égypte, et ils suivirent d'autres dieux, les dieux des peuples qui les entouraient, et ils se prosternèrent devant eux; et ils irritèrent Yahvé.
Wakaondoka kwa Bwana, Mungu wa baba zao, aliyewatoa kutoka Misri. Wakaifuata miungu mingine, miungu ya watu waliokuwa karibu nao, nao wakaisujudia. Wakamkasirisha BWANA kwa sababu
13 Ils abandonnèrent Yahvé, et servirent Baal et Ashtaroth.
waliondoka kwa Bwana na kumwabudu Baal na Maashtoreti.
14 La colère de Yahvé s'enflamma contre Israël, et il les livra entre les mains de pillards qui les pillèrent. Il les vendit entre les mains de leurs ennemis tout autour, de sorte qu'ils ne purent plus tenir devant leurs ennemis.
Hasira ya Bwana ikawaka juu ya Israeli, naye akawapa washambuliaji walioiba mali zao kutoka kwao. Aliwauza kama watumwa waliofanyika kwa nguvu za maadui zao waliowazunguka, hivyo hawakuweza kujikinga dhidi ya adui zao.
15 Partout où ils sortaient, la main de l'Éternel était contre eux pour le mal, comme l'Éternel l'avait dit et comme l'Éternel le leur avait juré; et ils étaient dans une grande détresse.
Israeli walipokwenda kupigana, mkono wa Bwana ulikuwa dhidi yao kuwashinda, kama alivyowaapia. Na walikuwa katika shida kali.
16 L'Yahvé suscita des juges, qui les sauvèrent de la main de ceux qui les pillaient.
Ndipo Bwana akawainua waamuzi, waliowaokoa katika mikono ya wale waliokuwa wakiba mali zao.
17 Mais ils n'écoutèrent pas leurs juges, car ils se prostituèrent à d'autres dieux et se prosternèrent devant eux. Ils se sont vite détournés de la voie dans laquelle marchaient leurs pères, en obéissant aux commandements de Yahvé. Ils ne l'ont pas fait.
Hata hivyo hawakuwasikiliza waamuzi wao. Hawakuwa waaminifu kwa Bwana na wakajitoa wenyewe kama makahaba kwa miungu mingine na kuabudu. Waligeuka upesi na kuiacha njia waliyoishi baba zao-wale waliotii amri za Bwana-lakini wao wenyewe hawakufanya hivyo.
18 Lorsque l'Éternel leur suscitait des juges, l'Éternel était avec le juge et les sauvait de la main de leurs ennemis pendant toute la durée du mandat du juge, car l'Éternel était affligé de leurs gémissements à cause de ceux qui les opprimaient et les troublaient.
Bwana aliinua waamuzi kwa ajili yao, Bwana akawasaidia waamuzi na kuwakomboa kutoka kwa mikono ya adui zao siku zote muamuzi aliishi. Bwana aliwahurumia walipougua kwa sababu ya wale waliowadhulumu na kuwasumbua.
19 Mais quand le juge fut mort, ils revinrent en arrière et se corrompirent plus que leurs pères en suivant d'autres dieux pour les servir et se prosterner devant eux. Ils ne cessèrent pas ce qu'ils faisaient et ne renoncèrent pas à leur entêtement.
Lakini mwamuzi alipokufa, waligeuka na kufanya mambo ambayo yalikuwa mabaya zaidi kuliko baba zao walivyofanya. Wakaenda kuifuata miungu mingine kuitumikia na kuiabudu. Walikataa kuacha matendo yao yote mabaya au njia zao za ukaidi.
20 La colère de Yahvé s'enflamma contre Israël, et il dit: « Parce que cette nation a transgressé mon alliance que j'avais prescrite à ses pères, et qu'elle n'a pas écouté ma voix,
Hasira ya Bwana iliwaka juu ya Israeli; akasema, Kwa sababu taifa hili limevunja masharti ya agano langu ambalo nililiweka kwa ajili ya baba zao-kwa sababu hawakuisikiliza sauti yangu.
21 je ne chasserai plus devant elle aucune des nations que Josué a laissées en mourant,
Tangu sasa sitaliondoa mbele yao taifa lolote aliloliacha Yoshua baada ya kufa.
22 afin de mettre Israël à l'épreuve par elles, pour voir s'ils garderont ou non la voie de Yahvé pour y marcher, comme l'ont fait leurs pères. »
Nitafanya hivi ili kuwajaribu Israeli, ikiwa watafuata njia ya Bwana au sivyo, kama vile baba zao walivyoifuata.
23 Yahvé laissa donc ces nations, sans les chasser précipitamment. Il ne les a pas livrées entre les mains de Josué.
Ndiyo sababu Bwana aliwaacha mataifa hayo, wala hakuwafukuza haraka na kuwatia mikononi mwa Yoshua.