< Jonas 4 >
1 Mais cela déplut fortement à Jonas, qui se mit en colère.
Lakini hili lilimchukiza Yona naye akakasirika.
2 Il pria Yahvé et dit: « Je t'en prie, Yahvé, n'est-ce pas ce que j'ai dit quand j'étais encore dans mon pays? C'est pourquoi je me suis hâté de fuir à Tarsis, car je savais que tu es un Dieu miséricordieux et compatissant, lent à la colère et riche en bonté, et que tu ne fais pas de mal.
Basi Yona akamwomba Bwana akasema, “Ee, Bwana, hiya sio yale niliyosema wakati niliporudi katika nchi yangu? Ndiyo maana nilifanya haraka na kujaribu kukimbia Tarshishi-kwa sababu nilijua kuwa wewe ni Mungu mwenye neema, mwenye huruma, si meingi wa hasira, mwingi kwa uaminifu, na hughairi maafa.
3 C'est pourquoi maintenant, Yahvé, enlève-moi la vie, je t'en supplie, car il vaut mieux pour moi mourir que vivre. »
Kwa hiyo sasa, Bwana, nakuomba, uniondoe uhai wangu, kwa maana ni bora kwangu kufa kuliko kuishi.”
4 Yahvé dit: « Est-ce que tu as raison de te mettre en colère? »
Bwana akasema, Je, ni vema kwamba umekasirika?”
5 Alors Jonas sortit de la ville et s'assit à l'est de la ville; il se fit une tente et s'assit dessous à l'ombre, jusqu'à ce qu'il puisse voir ce qu'il adviendrait de la ville.
Kisha Yona akaondoka mjini akaketi upande wa mashariki wa jiji. Huko alifanya makao na akaketi chini yake katika kivuli ili aweze kuona mji utakuwaje.
6 Yahvé Dieu prépara une vigne et la fit monter au-dessus de Jonas, afin qu'elle soit un ombrage sur sa tête et le délivre de son malaise. Et Jonas se réjouit beaucoup à cause de la vigne.
Bwana Mungu aliandaa mmea na kuukuza juu ya Yona ili uwe kivuli juu ya kichwa chake ili kupunguza dhiki yake. Yona alikuwa na furaha kubwa kwa sababu ya mmea.
7 Mais le lendemain, à l'aube, Dieu prépara un ver qui rongea la vigne et la fit se dessécher.
Lakini Mungu aliandaa mdudu kulipopambazuka asubuhi iliyofuata. Alishambulia mmea na mmea ukapooza.
8 Lorsque le soleil se leva, Dieu prépara un vent d'est très fort, et le soleil frappa la tête de Jonas, qui se sentit faible et demanda à mourir. Il dit: « Il vaut mieux pour moi mourir que vivre. »
Ikawa wakati jua lilipochomoza asubuhi, Mungu aliandaa upepo mkali wa mashariki. Pia, jua lilipiga kichwa cha Yona na akaanguka. Kisha Yona alitamani kufa. Akajiambia, “Ni bora kwangu kufa kuliko kuishi.”
9 Dieu dit à Jonas: « Est-ce bien que tu sois en colère contre la vigne? » Il a dit: « J'ai le droit d'être en colère, même jusqu'à la mort. »
Kisha Mungu akamwambia Yona, “Je, ni vema wewe kuwa na hasira juu ya mmea?” Yona akasema, Ni vyema kuwa nimekasirika hata kufa.
10 L'Éternel dit: « Tu t'es préoccupé de la vigne, pour laquelle tu n'as pas travaillé et que tu n'as pas fait croître, qui est montée en une nuit et qui a péri en une nuit.
Bwana akasema, Umeuhurumia mmea, ambao haukuufanyia kazi wala haukukua. Uliomea katika usiku na kufa usiku.
11 Nedevrais-je pas m'inquiéter de Ninive, cette grande ville, dans laquelle il y a plus de cent vingt mille personnes qui ne savent pas distinguer leur main droite de leur main gauche, et aussi beaucoup d'animaux? ».
Kwa hiyo mimi, haikunipassa kuuhurumia Ninawi, mji mkuu, ambalo kuna watu zaidi ya mia na ishirini elfu ambao hawajui tofauti kati ya mkono wao wa kulia na mkono wao wa kushoto, na pia ng'ombe wengi?