< Job 21 >
Kisha Ayubu akajibu na kusema,
2 « Écoutez attentivement mon discours. Que ceci soit votre consolation.
“Sikilizeni hotuba yangu kwa makini, hii na iwe faraja yenu.
3 Permettez-moi, et je parlerai aussi. Après que j'ai parlé, moquez-vous.
Nimeteswa, lakini pia nitasema; nikisha kusema, endeleeni kudhihaki.
4 Quant à moi, ma plainte est-elle adressée à un homme? Pourquoi ne devrais-je pas être impatient?
Lakini kwangu mimi, malalamikio yangu ni kwa mtu? Kwa nini nisiwe mwenye subira?
5 Regardez-moi, et soyez étonnés. Posez votre main sur votre bouche.
Nitazameni na mshangae, nanyi wekeni mkono wenu midomoni mwenu.
6 Quand je me souviens, je suis troublé. L'horreur s'empare de ma chair.
Ninapoyafikiria mateso yangu, ninaumizwa, mwili wangu unaogopa.
7 « Pourquoi les méchants vivent-ils, devenir vieux, oui, et devenir puissant?
Kwa nini waovu wanaendelea kuishi, wanazeeka, na kuwa na uwezo katika madaraka?
8 Leur enfant est établi avec eux à leurs yeux, leur progéniture devant leurs yeux.
Wazao wao wanathibitishwa mbele zao, na uzao wao unaimarika machoni pao.
9 Leurs maisons sont à l'abri de la peur, la verge de Dieu n'est pas non plus sur eux.
Nyumba zao ziko salama mbali na hofu; wala fimbo ya Mungu haiko juu yao.
10 Leurs taureaux se reproduisent sans faute. Leurs vaches vêlent, et ne font pas de fausses couches.
Dume lao la ng'ombe linazalisha; halishindwi kufanya hivyo; ng'ombe wao anazaa na hafishi ndama wake akiwa mchanga.
11 Ils envoient leurs petits comme un troupeau. Leurs enfants dansent.
Wanawapeleka wadogo wao kama kundi la kondoo, na watoto wao hucheza.
12 Ils chantent au tambourin et à la harpe, et se réjouir au son de la pipe.
Wanaimba kwa tari na vinubi na hufurahi kwa muziki na zomari.
13 Ils passent leurs jours dans la prospérité. En un instant, ils descendent au Shéol. (Sheol )
Wanatumia siku zao katika mafanikio, na wanashuka kuzimu kwa utulivu. (Sheol )
14 Ils disent à Dieu: « Éloigne-toi de nous! car nous ne voulons pas connaître vos habitudes.
Wanamwambia Mungu, 'Ondoka kwetu kwani hatutaki ufahamu wowote juu ya njia zako.
15 Qu'est-ce que le Tout-Puissant, pour que nous le servions? Quel profit devrions-nous avoir, si nous le prions? ».
Mwenye enzi ni nani, hata tumwabudu? Tutafaidika na nini tukimwabudu? Tutapata faida gani ikiwa tutamwomba?
16 Voici, leur prospérité n'est pas dans leur main. Le conseil des méchants est loin de moi.
Tazama, je mafanikio yao hayamo katika mikono yao wenyewe? Sina cha kufanya na ushauri wa waovu.
17 « Combien de fois la lampe des méchants s'éteint-elle? que leur calamité s'abat sur eux, que Dieu distribue des peines dans sa colère?
Mara ngapi taa za waovu huzimwa, au kwamba majanga huja juu yao? Mara ngapi inatokea kwamba Mungu husambaza huzuni kwao kwa hasira?
18 Combien de fois ne sont-ils pas comme du chaume devant le vent? comme de l'ivraie que la tempête emporte?
Ni mara ngapi inatokea kwamba wanakuwa kama mabua mbele ya upepo au kama makapi yanayopeperushwa na dhoruba?
19 Vous dites: « Dieu fait retomber son iniquité sur ses enfants ». Qu'il s'en rende compte à lui-même, afin qu'il le sache.
Mnasema, 'Mungu huweka hatia ya mtu kwa watoto wake kuilipa.' Na alipe yeye mwenyewe, ili kwamba aweze kujua hatia yake mwenyewe.
20 Que ses propres yeux voient sa destruction. Qu'il boive la colère du Tout-Puissant.
Acha macho yake yaone uangamivu wake mwenyewe, na acha anywe gadhabu ya Mwenyezi.
21 Car que se soucie-t-il de sa maison après lui, lorsque le nombre de ses mois sera interrompu?
Kwani anaangaliaje familia yake mbele yake idadi ya miezi yake inapokwisha.
22 « Si quelqu'un enseigne la connaissance à Dieu, puisqu'il juge ceux qui sont élevés?
Je kuna mtu anaweza kumfundisha Mungu maarifa kwa kuwa yeye huwaukumu hata walio juu?
23 On meurt dans toute sa force, en étant tout à fait à l'aise et tranquille.
Mtu mmoja ufa katika nguvu zake kamili, akiwa na utulivu kabisa na kwa amani.
24 Ses seaux sont pleins de lait. La mœlle de ses os est humidifiée.
Mwili wake hauna uhitaji, na kiini cha mifupa yake ina unyevu na afya njema.
25 Un autre meurt dans l'amertume de l'âme, et n'a jamais le goût du bien.
Mtu mwingine ufa kwa uchungu wa nafsi, bila kujifurahisha kwa jambo lolote jema.
26 Ils se couchent tous deux dans la poussière. Le ver les recouvre.
Wanazikwa kaburini wote kwa pamoja, funza wanawafunika wote.
27 « Voici, je connais tes pensées, les plans avec lesquels vous me feriez du tort.
Tazama, nayajua mawazo yenu, na jinsi mnavyotaka kunikosesha.
28 Car vous dites: « Où est la maison du prince? Où est la tente dans laquelle vivaient les méchants?
Kwa kuwa mwasema, 'Iko wapi sasa nyumba ya mwana wa mfalme? Liko wapi kao alipokaa mwovu?'
29 N'avez-vous pas demandé aux hommes de bonne volonté? Vous ne connaissez pas leurs preuves,
Je hamjawauliza wasafiri? Hamfahamu wanavyoweza kusema,
30 que l'homme mauvais est réservé pour le jour de la calamité, qu'ils sont conduits au jour de la colère?
kwamba mwovu anaepushwa na siku ya shida, na kwamba anawekwa mbali na siku ya gadhabu?
31 Qui déclarera sa voie à sa face? Qui lui rendra ce qu'il a fait?
Ni nani atakaye ituhumu siku ya mwovu mbele yake? Ni nani atakayemwadhibu kwa alichokifanya?
32 Pourtant, il sera porté au tombeau. Des hommes veilleront sur la tombe.
Hata hivyo atapelekwa kaburini; watu wataliona kaburi lake.
33 Les mottes de la vallée lui seront douces. Tous les hommes le suivront, comme il y en a eu d'innombrables avant lui.
Udongo wa bondeni utakuwa mtamu kwake; watu wote watamfuata, hata kuwe na watu wengi mbele yake.
34 Alorscomment pouvez-vous me réconforter avec des bêtises, parce que dans vos réponses il ne reste que le mensonge? »
Ni jinsi gani basi mtanifariji bila kufikiri, kwa kuwa majibu yenu hayana lolote ila uongo?”