< Jérémie 45 >

1 Message que Jérémie, le prophète, adressa à Baruc, fils de Neriah, lorsqu'il écrivit ces paroles dans un livre de la bouche de Jérémie, la quatrième année de Jojakim, fils de Josias, roi de Juda, en disant:
Hili ni neno ambalo Yeremia nabii alimwambia Baruku mwana wa Neria. Hii ilitokea wakati alipoandika kwenye kitabu maneno haya kwa imla ya Yeremia - hii ilikuwa katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, na alisema,
2 « Yahvé, le Dieu d'Israël, te parle, Baruc:
“Yahwe, Mungu wa Israel, asema hivi kwako, Baruku:
3 Tu as dit: « Malheur à moi maintenant! Car Yahvé a ajouté la douleur à ma peine! Je suis fatigué par mes gémissements, et je ne trouve pas de repos. »
Umesema, Ole mimi, kwa kuwa Yahwe ameongeza uchungu wa maumivu. Kuugua kwangu kumenichosha; sipati pumziko.'
4 Tu lui diras: Yahvé dit: « Voici, je détruirai ce que j'ai construit, j'arracherai ce que j'ai planté, et cela dans tout le pays.
Hivi ndivyo unapaswa kusema kwake: “Yahwe asema hivi: Ona, nilichojenga, sasa ninararua chini. Nilichopanda, sasa ninangoa. Hii ni kweli juu ya dunia.
5 Cherches-tu de grandes choses pour toi-même? Ne les cherche pas, car voici que je vais faire venir le malheur sur toute chair, dit Yahvé, mais je te laisserai échapper avec ta vie partout où tu iras. »
Lakini unategema mambo makubwa kwa ajili yako? Usitegemee hayo. Uone, maafa yanakuja kwa binadamu wote - hii ni tamko la Yahwe - lakini ninakupa maisha yangu kama nyara popote utakakoenda.”

< Jérémie 45 >