< Jérémie 37 >
1 Sédécias, fils de Josias, régna comme roi à la place de Conias, fils de Jojakim, que Nebucadnetsar, roi de Babylone, avait établi roi dans le pays de Juda.
Sasa Sedekia mwana wa Yosia alitawala kama mfalme badala ya Yehoyachin mwana wa Yehoyakimu. Nebukadreza mfalme wa Babeli alikuwa amemfanya Sedekia mfalme juu ya nchi ya Yuda.
2 Mais ni lui, ni ses serviteurs, ni le peuple du pays n'écoutèrent les paroles de Yahvé, qu'il avait prononcées par le prophète Jérémie.
Lakini Sedekia, wajakazi wake, na watu wa nchi hawakusikiliza maneno ya Yahwe ambayo alitangaza kwa mkono wa Yeremia nabii.
3 Le roi Sédécias envoya Jehucal, fils de Shelemia, et Sophonie, fils de Maaséja, le prêtre, au prophète Jérémie, pour lui dire: « Priez maintenant Yahvé notre Dieu pour nous. »
Kwa hiyo Mfalme Sedekia, Yehukali mwana wa Shelemia, na Zefania mwana wa Maaseia kuhani alituma ujumbe kwa Yeremia nabii. Walisema, “Omba kwa niaba kwa Yahwe Mungu wetu.”
4 Or Jérémie entrait et sortait au milieu du peuple, car on ne l'avait pas mis en prison.
Sasa Yeremia alikuwa anakuja na kwenda miongoni mwa watu, kwa kuwa alikuwa bado hajawekwa ndani ya gereza.
5 L'armée de Pharaon était sortie d'Égypte; et lorsque les Chaldéens qui assiégeaient Jérusalem en eurent vent, ils se retirèrent de Jérusalem.
Jeshi la Farao lilitoka Misri, na Wakaldayo waliozingira Yerusalem walisikia habari kuhusu wao na kuondoka Yerusalem.
6 Alors la parole de Yahvé fut adressée au prophète Jérémie, en ces termes:
Kisha neno la Yahwe lilikuja kwa Yeremia nabii na kusema,
7 « Yahvé, le Dieu d'Israël, dit: Tu diras au roi de Juda, qui t'a envoyé vers moi pour me consulter: « Voici l'armée de Pharaon qui est venue à ton secours: « Voici que l'armée de Pharaon, qui est sortie pour te secourir, retournera en Égypte dans son pays.
“Yahwe, Mungu wa Israel, asema hivi: Hiki ndivyo utakavyosema kwa mfalme wa Yuda, kwa sababu amekutuma wewe kutafuta ushauri toka kwangu, 'Ona, jeshi la Farao, ambalo lilikuja kukusaidia, liko tayari kurudi Misri, kwenye nchi yao.
8 Les Chaldéens reviendront et combattront cette ville. Ils la prendront et la brûleront par le feu. »''
Wakaldayo watarudi. Watapigana dhidi ya mji huu, kuuteka, na kuuchoma.'
9 « Yahvé dit: « Ne vous faites pas d'illusions en disant: « Les Chaldéens s'éloigneront de nous », car ils ne s'éloigneront pas.
Yahwe asema hivi: Msidaganyane kwa kusema, “Hakika Wakaldayo wanatuacha sisi,' kwa kuwa hawatatuacha.
10 Car si vous aviez frappé toute l'armée des Chaldéens qui vous combattent, et qu'il ne restât parmi eux que des blessés, chacun se lèverait dans sa tente et brûlerait cette ville par le feu.'"
Hata kama mmelishinda jeshi la Wakaldayo lote ambalo linapigana nanyi ili kwamba wanaume waliojeruhiwa walibakizwa katika mahema yao, wangeweza kunyanyuka na kuchoma mji huu.”
11 Lorsque l'armée des Chaldéens se fut retirée de Jérusalem par crainte de l'armée de Pharaon,
Basi ilikuwa wakati jeshi la Wakaldayo lilipoondoka Yerusalem wakati jeshi la Farao lilikuwa linakuja,
12 Jérémie sortit de Jérusalem pour aller au pays de Benjamin, afin d'y recevoir sa part, au milieu du peuple.
kisha Yeremia alienda toka Yerusalem kwenda nchi ya Benjamini. Alitaka kumiliki njia ya nchi huko miongoni mwa watu wake.
13 Lorsqu'il fut à la porte de Benjamin, il y avait là un chef de la garde, nommé Irija, fils de Shelemia, fils de Hanania, qui saisit Jérémie, le prophète, en disant: « Tu passes aux Chaldéens! »
Kama alivyokuwa katika mlango wa Benjamini, mlinzi mkuu aliyekuwa hapo. Jina lake lilikuwa Yeria mwana wa Shelemia mwana wa Hanania. Alimshika kwa kumnyakua Yeremia nabii na kusema, “Mnatoka jangwani kwa Wakaldayo.”
14 Jérémie dit alors: « C'est faux! Je ne fais pas défection aux Chaldéens. » Mais il ne l'écouta pas; alors Irija se saisit de Jérémie, et l'amena aux princes.
Lakini Yeremia alisema, “Hiyo si kweli. Siendi jangwani kwa Wakaldayo.” Lakini Yeria hakumsikiliza. Alimchukua Yeremia na kumleta kwa maafisa.
15 Les princes s'irritèrent contre Jérémie, le frappèrent et le mirent en prison dans la maison de Jonathan, le scribe, car ils avaient fait de cette maison une prison.
Maafisa walikuwa wamemkasirikia Yeremia. Walimpiga na kumweka gerezani, ambayo ilikuwa nyumba ya Yonathani mwandishi, kwa kuwa waligeuza kuwa gereza.
16 Lorsque Jérémie fut entré dans le cachot et dans les cellules, et que Jérémie y fut resté plusieurs jours,
Kwa hiyo Yeremia alikuwa amewekwa kwenye kifungo cha chini, ambako alikuwa huko kwa siku nyingi.
17 le roi Sédécias l'envoya chercher et le fit sortir. Le roi l'interrogea secrètement dans sa maison: « Y a-t-il une parole de Yahvé? » Jérémie a dit: « Il y en a un. » Il a aussi dit: « Vous serez livrés aux mains du roi de Babylone. »
Kisha mfalme Sedekia alimtuma mtu mmoja aliyemleta kwenye ikulu. Kwenye nyumba yake, mfalme alimuuliza binafsi, “Kuna neno: Utatiwa kwenye mkono wa mfalme wa Babeli.”
18 Jérémie dit au roi Sédécias: « En quoi ai-je péché contre toi, contre tes serviteurs ou contre ce peuple, pour que tu me mettes en prison?
Kisha Yeremia alisema kwa mfalme Sedekia, “Kwa namna gani nimekutenda dhambi, mjakazi wako, au watu hawa kwamba umeniweke mimi kwenye gereza?
19 Où sont maintenant tes prophètes qui t'ont prophétisé en disant: Le roi de Babylone ne viendra pas contre toi ni contre ce pays?
Wako wapi nabii wako, wale waliotabiri kwa ajili yako na kusema mfalme wa Babeli hatakuja dhidi yako au dhidi ya nchi hii?
20 Écoute maintenant, mon seigneur le roi, et permets que ma supplique soit présentée devant toi, afin que tu ne me fasses pas retourner dans la maison de Jonathan, le scribe, de peur que je n'y meure. »
Lakini sasa sikiliza, bwana wangu mfalme! Acha ombi langu liwe mbele yako. Usinirudie mimi kwenye nyumba ya Yonathani mwandishi, au nitakufa huko.”
21 Alors le roi Sédécias donna ses ordres, et on enferma Jérémie dans la cour des gardes. On lui donna chaque jour une miche de pain de la rue des boulangers, jusqu'à ce qu'il n'y ait plus de pain dans la ville. Jérémie resta ainsi dans la cour des gardes.
Kwa hiyo mfalme Sedekia alitoa amri. Wajakazi wake walimwekea mipaka Yeremia katika uwanja wa walinzi. Alipewa mkate kila siku kutoka mtaa wa waokaji mkate, mpaka mkate wote mjini uliisha. Basi Yeremia alibaki kwenye uwanja walinzi.