< Isaïe 61 >
1 L'Esprit du Seigneur Yahvé est sur moi, car Yahvé m'a oint pour annoncer la bonne nouvelle aux humbles. Il m'a envoyé pour panser les cœurs brisés, pour proclamer la liberté aux captifs et libère ceux qui sont liés,
Roho ya Bwana Yahwe i juu yangu, maana Yahwe amenipaka mafuta mimi kuhiubiri habari njema kwa wenye taabu. Amenituma mimi kuwaponywa waliopondeka mioyo, kutangaza uhuru kwa wafungwa, na kufungua gereza ili waliofungwa waweze kutoka.
2 pour proclamer l'année de la faveur de Yahvé et le jour de la vengeance de notre Dieu, pour réconforter tous ceux qui sont en deuil,
Amenituma mimi kuutangaza mwaka wa Yahwe uliokubalika, siku ya kisasi cha Mungu wetu, na kuwafariji wale wote wanaomboleza.
3 pour pourvoir aux besoins de ceux qui pleurent en Sion, pour leur donner une guirlande pour les cendres, l'huile de joie pour le deuil, le vêtement de la louange pour l'esprit de la lourdeur, pour qu'on les appelle des arbres de justice, la plantation de Yahvé, afin qu'il soit glorifié.
Amenituma mimi - kuwapa wale waoombolezao katika Sayuni -kuwapa wao kilemba cha majivu, mafuta ya furaha badala ya kuomboleza, vazi la kusifu katika eneo la roho ya ubutu, kuwaita mialoni ya haki, iliyooteshwa na Yahwe, ili aweze kutukuzwa.
4 Ils rebâtiront les vieilles ruines. Ils relèveront les anciens lieux dévastés. Ils répareront les villes en ruines qui ont été dévastés depuis de nombreuses générations.
Wataijenga tena mahali pa kale palipohaibiwa; wataparejesha mahali palipokuwa na ukiwa. Watairejesha miji iliyoharibiwa, Mahali penye ukiwa kutoka vizazi vingi vilivyopita.
5 Des étrangers se tiendront debout et nourriront vos troupeaux. Des étrangers travailleront vos champs et vos vignes.
Wageni watasimama na kulisha makumdi yako, na watoto wa wageni watafanya kazi kwenye mashamba yako na mizabu.
6 Mais vous serez appelés prêtres de Yahvé. Les hommes vous appelleront les serviteurs de notre Dieu. Vous mangerez les richesses des nations. Vous vous glorifierez de leur gloire.
Mtaitwa makuhani wa Yahwe; watawaita watumishi wa Mungu wetu. Mtakula utajiri wa mataifa, na utajivuinia katika utajiri wake.
7 Au lieu de ta honte, tu auras le double. Au lieu du déshonneur, ils se réjouiront de leur part. C'est pourquoi, dans leur pays, ils posséderont le double. La joie éternelle sera pour eux.
Badala yake aibu yenu itaongezeka; na badala ya fedhea walifurahia juu ya sehemu yao. Hivyo basi sehemu yao itaongezeka mara mbili katika nchi na furaha ya milele itakuwa yao.
8 « Car moi, Yahvé, j'aime la justice. Je déteste le vol et l'iniquité. Je leur donnerai leur récompense dans la vérité et je conclurai avec eux une alliance éternelle.
Maana Mimi, Yahwe, ninapenda haki, na ninachukia wizi na vurugu zisizo za haki. Nitawalipa wao kataka haki na Nitafanya agano la milele na wao.
9 Leur progéniture sera connue parmi les nations, et leur progéniture parmi les peuples. Tous ceux qui les verront les reconnaîtront, qu'ils sont la progéniture que Yahvé a bénie. »
Uzao wao utajulikana miongoni mwa mataifa, na watoto wao miongoni mwa watu. Wote watakaowaona watawakubali wao, kwamba ni watu wangu ambao Yahwe amewabariki.
10 Je me réjouirai de l'Éternel! Mon âme sera joyeuse en mon Dieu, car il m'a revêtu des habits du salut. Il m'a couvert de la robe de la justice, comme un jeune marié se pare d'une guirlande et comme une mariée se pare de ses bijoux.
Nitafurahia sana katika Yahwe; Katika Mungu nitafurahia. Maana amenivika mimi kwa vazi la wokovu; amenivika mimi kwa vazi la haki, kama bwana harusi aliyejipamba mwenywe kwa kilemba, na kama bibi harusi aliyejipamba kwa vito.
11 Car comme la terre produit son bourgeon, et comme le jardin fait germer les choses qui y sont semées, ainsi le Seigneur Yahvé fera jaillir la justice et la louange devant toutes les nations.
Maana kama nchi inavyozalisha miti inayochipukia na kama bustani inavyofanya miti yake ikuie, hivyo Bwana atasasbabisha haki na sifa kuchipukia mbele ya mataifa yote.