< Isaïe 41 >

1 « Taisez-vous devant moi, îles, et que les peuples renouvellent leur force. Laissez-les s'approcher, alors laissez-les parler. Retrouvons-nous ensemble pour le jugement.
''Sikilizeni mbele yangu kwa ukimya, enyi mkao pwani; wacha mataifa yapate nguvu kwa upya; waache waje karibu na kuzungumza; na tusogee karibu tujadili mgogoro.
2 Qui a suscité un homme de l'Orient? Qui l'a rappelé à l'ordre dans la justice? Il lui remet les nations et le fait régner sur les rois. Il les donne comme la poussière à son épée, comme le chaume enfoncé dans son arc.
Nani aliyechochea juu mmoja kutoka mashariki, anamuita katika haki yake kwenye huduma yake? Amemkabidhi mataifa juu yake ili amsaidie yeye kuwaangamiza wafalme. Aliwajeuza kuwa mavumbi kwa neno lake, kama upepo unaovuma kwenye mabua kwa upinde wake.
3 Il les poursuit et passe en toute sécurité, même par un chemin qu'il n'avait pas emprunté avec ses pieds.
Aliwachukuwa wao na kuwapitisha salama, katika njia nyepesi ambayo miguu yake imegusa shida.
4 Qui a travaillé et qui l'a fait, en appelant les générations depuis le début? Moi, Yahvé, le premier et le dernier, c'est moi. »
Ni nani aliyeyafanya na kukamilisha matendo haya? Ni nanialiyechagua kizazi kutoka mwanzo? Mimi, Yahwe ni mwanzo na mwisho, mimi ndiye.
5 Les îles ont vu, et elles craignent. Les extrémités de la terre tremblent. Ils s'approchent, et viennent.
Visiwa vimeona na kuogopa; miisho ya dunia yatetemeka; walikaribia n kuja.
6 Chacun aide son voisin. Ils disent à leurs frères: « Soyez forts! »
Kila mmoja amsaidie jirani yake, na kila mmoja asemezane na mwenzake, 'Kuwa mfariji;
7 Ainsi le charpentier encourage l'orfèvre. Celui qui lisse avec le marteau encourage celui qui frappe l'enclume, disant de la soudure, « C'est bon ». et il le fixe avec des clous, pour qu'il ne chancelle pas.
Hivyo basi seremala anamfariji mfua dhahabu, na yule anayefanya kazi kwa kutumia nyundo anamfariji anayefanya kazi kwa chuma, akisema kwa msemo wa kurehemu, ''Ni mizuri; Naye ataupigilia kwa makini misumari ili isipinduke.
8 « Mais toi, Israël, mon serviteur, Jacob que j'ai choisi, la descendance d'Abraham mon ami,
Lakini wewe, Israeli mtumishi wangu, Yakobo niliyekuchagua, mtoto wa Ibrahimu rafiki yangu,
9 vous que j'ai saisis des extrémités de la terre, et appelé depuis ses coins, et t'a dit: « Tu es mon serviteur. Je t'ai choisi et je ne t'ai pas rejeté ».
wewe ambaye ninakurudisha kutoka miisho ya nchi, na ambaye niliyekuita kutoka sehemu ya mbali, na kwako niliyekuambia, 'Wewe ni mtumishi wangu; 'Nimekuchagua wewe na sijakukataa.
10 N'ayez pas peur, car je suis avec vous. Ne soyez pas consternés, car je suis votre Dieu. Je vais te renforcer. Oui, je vais vous aider. Oui, je te soutiendrai avec la main droite de ma justice.
Usiogope maana mimi niko pamoja na wewe. Usiwe na wasiwasi, maana mimi ni Mungu wako. Nitakutia nguvu, na nitakusaidia, wewe, na Nitakushika kwa mkono wa haki yangu.
11 Voici que tous ceux qui s'enflamment contre toi seront déçus et confondus. Ceux qui luttent avec toi ne seront rien et périront.
Tazama, watakuwa na aibu na hawataheshimiwa, wale wote waliokuwa na hasira na wewe; watakuwa si kitu na watatokomea, wale watakao kupinga wewe.
12 Tu les chercheras, et tu ne les trouveras pas, même ceux qui vous contestent. Ceux qui te font la guerre ne seront rien, comme une chose inexistante.
Utawatafuta na wala hautawapata wale wanaopingana na wewe; wale wafanyao vita dhidi yako watakuwa kama si kitu, si kitu kabisa.
13 Car moi, Yahvé ton Dieu, je tiendrai ta main droite, qui vous dit: « N'ayez pas peur. Je vais vous aider.
Maana mimi Yahwe Mungu wako, nitawashika mkono wako wa kiume, nikikuambia wewe, 'Usiogope; Nitakusaidia wewe.
14 N'aie pas peur, vermisseau de Jacob, et vous, hommes d'Israël. Je t'aiderai », dit Yahvé. « Votre rédempteur est le Saint d'Israël.
Usiogope, Yakobo wewe mdudu, na enyi watu wa Israeli; Nitawasaidia''- hili ni tamko la Yahwe, Mkombozi wako, Mtakatifu wa Israeli.
15 Voici, j'ai fait de toi un nouvel instrument de battage tranchant, avec des dents. Vous allez battre les montagnes, et les battre à petit feu, et rendra les collines semblables à de la paille.
Tazama, ninakufanya wewe kuwa chombo kikali cha kuparulia chenye makali pande mbili; utaparua milima na kuiponda; utafanya vilima kama makapi.
16 Tu les vanneras, et le vent les emportera, et le tourbillon les dispersera. Vous vous réjouirez en Yahvé. Tu te glorifieras dans le Saint d'Israël.
Utawatawanya wao, na upepo utawabeba na kuwapeka mbali; upepo utawatanya wao. Utashanglia katika Yahwe, utashangiliakatika mtakatifu wa Israeli
17 Les pauvres et les indigents cherchent de l'eau, et il n'y en a pas. Leur langue manque de soif. Moi, Yahvé, je leur répondrai. Moi, le Dieu d'Israël, je ne les abandonnerai pas.
Waliodhulumiwa na masikini wanatafuta maji, lakini hakuna kitu, ndimi zao zimekauka kwa kiu; Mimi Yahwe, nitajibu maombi yao; Mimi Mungu wa Israeli, sitawacha wao.
18 J'ouvrirai des rivières sur les hauteurs dénudées, et des sources au milieu des vallées. Je ferai du désert un bassin d'eau, et la terre sèche des sources d'eau.
Nitatengeneza mikondo ya maji kushusha chini, na chemichem katikati ya mabonde; nitalifanya jangwa kuwa kisima cha maji, na aridhi kavu kuwa chemichem ya maji.
19 Je mettrai dans le désert des cèdres, des acacias, des myrtes et des arbres à huile. Je mettrai ensemble des cyprès, des pins et des buis dans le désert;
Katika jangwa nitapanda mierezi, mshita, mhadisi, na mti wa mizeituni. Nitaotesha mberoshi katika uwazi wa jangwa, pamoja na mbono nitapanda mberoshi kitika jangwa lililowazi.
20 afin qu'ils puissent voir, connaître, considérer et comprendre ensemble, que la main de Yahvé a fait cela, et le Saint d'Israël l'a créé.
Nitayafanya haya ili waweze kuona, kutambua na kuelewa kwa pamoja, kwamba mkono wa Yahwe umetenda haya, kama Mtakatifu wa Israeli aliyeliumba.
21 Produisez votre cause, dit l'Éternel. « Sortez vos fortes raisons! » dit le roi de Jacob.
Wakilisha keshi yako, '' asema Yahwe; ''wakilisha hoja zenu nzuri kwa sanamu yenu,'' asema Mfalme wa Yakobo.
22 « Qu'ils nous annoncent et nous déclarent ce qui va arriver! Déclarez les choses passées, ce qu'elles sont, afin que nous puissions les considérer et en connaître la fin; ou nous montrer des choses à venir.
Waache walete hoja zao wenyewe; waache waje mbele na watutangazie sisi nini kitakachotokea, ili tuweze kuelewa haya mambo vizuri. Tuawaache watupe tamko mapema, ili tuweze kulitafakari na tuweze kujua n kwa jinsi gani litatimia.
23 Annoncez les choses qui doivent arriver dans l'au-delà, afin que nous sachions que vous êtes des dieux. Oui, fais le bien, ou fais le mal, pour que nous soyons consternés, et le voir ensemble.
Wajulishe kitu kuhusu baadaye, ili tujue kuwa ninyi ni miungu; fanya kitu kizuri au kibaya, ambacho kitatutisha na kutushangaza.
24 Voici, vous n'êtes rien, et votre travail n'est rien. Celui qui vous choisit est une abomination.
Tazama sanamu zenu si kitu na matendo yenu si kitu; aliyewachagua ni machukizo.
25 « J'ai suscité un homme du nord, et il est venu, dès le lever du soleil, celui qui invoque mon nom, et il s'abattra sur les chefs comme sur un mortier, et comme le potier foule l'argile.
Nimemnyanyua mmoja kutoka kaskazini, naye amekuja kutoka mawio ya jua nimemchagua yeye alitajae jina langu, na atawakanyaga viongozi kama matope, kama mfinyanzi akanyagavyo udongo.
26 Qui l'a déclaré dès le commencement, afin que nous le sachions? et avant, pour que nous puissions dire: « Il a raison »? Certes, il n'y a personne qui déclare. Sûrement, il n'y a personne qui montre. Certes, il n'y a personne qui entende tes paroles.
Ni nani aliyetangaza hili tangu mwanzo, ili tuweze kujua? na kabla ya mda, ili tuseme, ''Yuko sawasawa''? Kweli hakuna hata mmoja aliyekiri hili, ndio hakuna hata mmoja aliyekusikia ukisema chochote.
27 Je suis le premier à dire à Sion: « Voici, regarde-les ». et je donnerai à celui qui apporte de bonnes nouvelles à Jérusalem.
Kwanza nilizungumza na Sayuni, ''Tazama hapo walipo;'' Nimemtuma mhubiri Yerusalemu.
28 Quand je regarde, il n'y a pas d'homme, même parmi eux, il n'y a pas de conseiller qui, lorsque je demande, puisse répondre à un mot.
Nilipoangalia, hakuna hata mmoja, hakuna hata miongoni mwao ambaye anaweza kutoa ushauri mzuri, nani, lini nimulize, awezaye kunijibu neno.
29 Voici, toutes leurs actions ne sont que vanité et néant. Leurs images en fusion sont le vent et la confusion.
Tazama, matendo yao si kitu; sanamu zao za chuma zilizotupwa ni upepo na utupu.

< Isaïe 41 >