< Isaïe 17 >
1 Le fardeau de Damas. « Voici, Damas est enlevée de son statut de ville, et elle sera un monceau de ruines.
Tamko kuhusu Damaskasi.
2 Les villes d'Aroër sont abandonnées. Elles seront pour les troupeaux, qui se coucheront, et personne ne les effraiera.
Miji ya Aroera itaharibiwa. Patakuwa na nafasi kwa ajili ya kutunzia mifugo, na hakuna hatakayeizuia.
3 La forteresse disparaît d'Éphraïm, Le royaume de Damas, et le reste de la Syrie. Ils seront comme la gloire des enfants d'Israël », dit Yahvé des armées.
Miji ilioachwa itatoweka kutoka Efraimu, ufalme katuka Damskasi, na walobaki Aramu-watakuwa kama utukufu wa watu wa Israeli-Hili ni tamko la Yahwe wa majeshi.
4 « En ce jour-là, la gloire de Jacob sera amaigrie, et la graisse de sa chair deviendra maigre.
Itakuwa siku hiyo utukufu wa Yakobo utapungua, utakuwa mwembamba na kunona kwa mwili wake utapungua.
5 Ce sera comme lorsque le moissonneur recueille le blé, et que son bras moissonne le grain. Oui, ce sera comme quand on glane le grain dans la vallée des Rephaïm.
Itakuwa kama mvuna ikusanyavyo mavuno, na mkono wake huvuna maganda ya mazao. Itakuwa kama mtu atoae maganda ya mavuno katika bonde la Refaimu.
6 Mais il y restera des glanures, comme on secoue un olivier, deux ou trois olives au sommet de la branche supérieure, quatre ou cinq dans les branches extérieures d'un arbre fructueux, dit l'Éternel, le Dieu d'Israël.
Masalia yataachwa, hata hivyo, mti wa mzabibu utatingishwa: Mizeituni miwili au mitatu iliyo juu sana matawi yake yako juu, manne au matano katka tawi la juu katika mti unaozaa-hili ni tamko la Yahwe, Mungu wa Israeli.
7 En ce jour-là, les gens regarderont vers leur Créateur, et leurs yeux se tourneront vers le Saint d'Israël.
Siku hiyo watu watawangalia Muumba wake, na macho yatamuangalia Mtakatifu wa Israeli.
8 Ils ne regarderont pas les autels, ouvrage de leurs mains, et ils ne respecteront pas ce que leurs doigts ont fait, les mâts d'ashère et les autels à encens.
Hawatangalia madhabahu, kazi za mikono yao, wala hataangalia kile kinachofanywa na vidole vyao, nguzo za Ashera na picha ya jua.
9 En ce jour-là, leurs villes fortes seront comme les lieux abandonnés dans les bois et sur le sommet des montagnes, qui ont été abandonnés devant les enfants d'Israël, et ce sera une désolation.
Siku hiyo miji yenye nguvu itakuwa kama msitu uliotelekezwa na juu ya kilele cha mlima, na palipo achwa kwa sababu ya wana wa Israeli patakuwa ukiwa.
10 Car vous avez oublié le Dieu de votre salut, et vous ne vous êtes pas souvenus du rocher de votre force. C'est pourquoi vous plantez des plantes agréables, et vous mettez en terre des plants étrangers.
Maana mmemsahau Mungu wa wakovu wenu, na umeudharau mwamba wa nguvu zako. Hivyo basi umeotesha miti mizuri, na mizabibu mizuri iliyotoka ugenini,
11 Le jour où tu as planté, tu fais une haie. Le matin, tu fais fleurir ta semence, mais la moisson s'enfuit au jour du deuil et de la détresse.
Siku hiyo uliootesha na fensi na kulima. Mbegu zako zitaota mapema na kukua, lakini mavuno yatashindikana siku hiyo itakuwa huzuni na kukata tamaa.
12 Ah! le tumulte de peuples nombreux qui mugissent comme le mugissement des mers, et le tumulte des nations qui se précipitent comme le tumulte des grandes eaux!
Ole! Watu wenye ghasia, Kishindo chake ni kama mngurumo wa bahari, na kasi ya mataifa, wananguruma kama ngurumo ya maji mengi!
13 Les nations se précipiteront comme les grandes eaux, mais il les réprimandera, et elles fuiront au loin, et seront chassées comme la balle des montagnes devant le vent, et comme la poussière tourbillonnante devant la tempête.
Mataifa yataunguruma kama maji mengi yaendao kasi, lakini Mungu atawakemea.
14 Le soir, voici la terreur! Avant le matin, ils ne sont plus. Telle est la part de ceux qui nous pillent, tel est le sort de ceux qui nous dépouillent.
Watakimbia mbali sana na watafukuzwa kama pumba kwenye mlima mbele ya upepo, kama mavumbi yazungukayo kwenye dhoruba. Wakati wa usiku, ona, hofu! Na kabla ya alfajiri watakwenda; hili ndilo eneo la wale waliotupora, na wale wanaotunyang'anya mali zetu.