< Osée 3 >

1 Yahvé m'a dit: « Va encore, aime une femme aimée par un autre, une adultère, comme Yahvé aime les enfants d'Israël, bien qu'ils se tournent vers d'autres dieux et qu'ils aiment les gâteaux de raisins secs. »
Bwana akaniambia, “Nenda tena, mpendeni mwanamke, aliyependwa na mumewe; lakini ni mzinzi. Mpende kama mimi, Bwana, ninavyowapenda watu wa Israeli, ingawa wanaigeukia miungu mingine na kupenda mikate ya zabibu.”
2 Je l'achetai pour moi, pour quinze pièces d'argent et un homer et demi d'orge.
Kwa hiyo nimemnunulia mwenyewe kwa vipande kumi na tano vya fedha na homeri na letheki ya shayiri.
3 Je lui dis: « Tu resteras avec moi de nombreux jours. Tu ne te prostitueras pas, et tu ne seras pas avec un autre homme. J'agirai de même envers toi. »
Nilimwambia, “Lazima uishi pamoja nami siku nyingi. Huwezi kuwa kahaba au kuwa na mtu mwingine yeyote. Kwa njia hiyo hiyo, nitakuwa pamoja nanyi.”
4 Car les enfants d'Israël vivront longtemps sans roi, sans prince, sans sacrifice, sans pierre sacrée, sans éphod et sans idoles.
Kwa maana wana wa Israeli wataishi kwa siku nyingi bila mfalme, mtu mkuu, dhabihu, nguzo ya mawe, efodi au sanamu za nyumbani.
5 Ensuite, les enfants d'Israël reviendront et chercheront Yahvé, leur Dieu, et David, leur roi, et ils viendront avec tremblement à Yahvé et à ses bénédictions, dans les derniers jours.
Baadaye watu wa Israeli watarudi na kumtafuta Bwana Mungu wao na Daudi mfalme wao. Na katika siku za mwisho, watakuja wakitetemeka mbele za Bwana na wema wake.

< Osée 3 >