< Ézéchiel 24 >

1 La neuvième année, au dixième mois, le dixième jour du mois, la parole de l'Éternel me fut adressée en ces termes:
Neno la Yahwe likanijia katika mwaka wa nane mwezi wa kumi na siku ya kumi ya mwezi, kusema,
2 « Fils d'homme, écris le nom du jour, ce jour-là. En ce jour, le roi de Babylone s'est approché de Jérusalem.
“Mwanadamu, andika kwa ajili yako jina la hii siku, siku hii sahihi mfalme wa Babeli ameizingira Yerusalimu.
3 Raconte une parabole à la maison rebelle, et dis-leur: « Le Seigneur Yahvé dit, « Mets le chaudron sur le feu. Mettez-le, et aussi verser de l'eau dedans.
Basi nena mithali juu ya hii nyumba ya kuasi, fumbo moja. Waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: weka sufuria ya kupikia. Iweke na weka maji kwenye hiyo.
4 Rassemblez ses pièces en elle, même chaque bon morceau: la cuisse et l'épaule. Remplissez-le avec les os de choix.
Vikusanye vipande vya chakula ndani yake, kila kipande kizuri-paja na bega-na ijaze kwa mifupa bora.
5 Prenez le choix du troupeau, et aussi un tas de bois pour les os sous le chaudron. Faites-le bien bouillir. Oui, que ses os soient bouillis en son sein. »
Chukua kundi bora na jaza mifupa chini yake. Ilete kuchemsha na ipike mifupa ndani yake.
6 "'C'est pourquoi le Seigneur Yahvé dit: « Malheur à cette ville sanglante, au chaudron dont la rouille est à l'intérieur, et dont la rouille n'a pas disparu! En retirer morceau après morceau sans tirer au sort.
Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Ole kwa mji wa damu. Nitakiongeza chungu cha mbao. Weka kuni nyingi na washa moto. Pika nyama vizuri na changanya katika viungo na iacha mifupa iteketee.
7 "''Car le sang qu'elle a versé est au milieu d'elle. Elle l'a posé sur la roche nue. Elle ne l'a pas versé sur le sol, pour le recouvrir de poussière.
Kwa kuwa damu iko kati yake. Ameiweka juu ya jiwe laini; hakuimwaga juu ya nchi kuifunika kwa mavumbi,
8 afin de faire monter la colère pour se venger, J'ai mis son sang sur la roche nue, qu'il ne devrait pas être couvert. »
hivyo inaleta hasira ya kulipa kisasi. Nimeweka damu yake juu ya jiwe laini ili isifunikwe.
9 "'C'est pourquoi le Seigneur Yahvé dit: « Malheur à cette ville sanglante! Je vais aussi faire en sorte que la pile soit grande.
Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Ole kwa mji wa damu. Nitakiongeza chungu cha mbao.
10 Entassez le bois. Faites chauffer le feu. Faites bien bouillir la viande. Rendez le bouillon épais, et que les os soient brûlés.
Weka kuni nyingi na washa moto. Pika nyama vizuri na changanya katika viungo na acha mifupa iteketee.
11 Puis on le pose vide sur ses charbons, pour qu'il soit chaud, et son bronze peut brûler, et que sa souillure soit fondue en elle, pour que sa rouille soit consommée.
Kisha weka chungu kitupu juu ya mkaa, ili kuchemsha na kuchoma shaba yake, hivyo uchafu wake ndani yake itayeyushwa, kutu yake imekula.'
12 Elle est fatiguée par le labeur; pourtant sa grande rouille, la rouille par le feu, ne la quitte pas.
Amechoka kwa sababu ya kazi ya taabu, lakini kutu yake haitoki kweke kwa moto.
13 "''Dans votre souillure, il y a de la débauche. Parce que je t'ai purifié et que tu n'as pas été purifié, tu ne seras plus purifié de ta souillure, jusqu'à ce que j'aie fait cesser ma colère contre toi.
Tabia yako ya aibu iko ndani ya uchafu wako, kwa sababu nimekusafisha, lakini bado hutaweza kuwa msafi. Bado hutakuwa huru kutoka uchafu wako hadi hasira yako itakapotulia kutoka kwako.
14 "''Moi, Yahvé, je l'ai dit. Cela arrivera, et je le ferai. Je ne reviendrai pas en arrière. Je n'épargnerai pas. Je ne me repentirai pas. Selon vos voies et selon vos actes, on vous jugera, dit le Seigneur Yahvé.''"
Mimi, Yahwe, nimesema hili, na nitalifanya. Sintotulia wala kupumzika kwa ajili ya hili. Kama njia zako zilivyokuwa, na kama matendo yako, yatakuhukumu! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
15 La parole de Yahvé me fut adressée en ces termes:
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
16 « Fils d'homme, voici que je vais t'ôter d'un seul coup le désir de tes yeux; mais tu ne te lamenteras pas, tu ne pleureras pas, et tes larmes ne couleront pas.
“mwanadamu! Tazama, ninachukua tamaa ya macho yako kutoka kwako pamoja na tauni, lakini hutaomboleza wala kulia, na machozi yako hayatatoka.
17 Soupirez, mais pas à haute voix. Ne portez pas le deuil des morts. Attache ta coiffe sur toi, et mets tes sandales à tes pieds. Ne couvre pas tes lèvres, et ne mange pas de pain de deuil. »
Utagugumia bila kusikika. Usiendeshe mazishi kwa ajili ya aliyekufa. Funga kilemba chako juu yako na vaa makubazi miguuni pako, lakini usivalishe shela nywele zako au kula mkate wa watu waombolezao kwa ajili ya kuwapoteza wake zao.”
18 J'ai donc parlé au peuple le matin, et le soir ma femme est morte. J'ai donc fait le matin ce qu'on m'avait ordonné.
Hivyo nimeongea na watu asubuhi, na mke wangu amekufa asubuhi. Asubuhi nimefanya kile nilichokuwa nimeambiwa kukifanya.
19 Le peuple me demanda: « Ne vas-tu pas nous dire ce que cela signifie pour nous, que tu agisses ainsi? »
Watu wameniuliza, “Ji! hautatuambia haya mambo yanamaana gani, mambo ambayo unayoyafanya?”
20 Puis je leur dis: « La parole de Yahvé m'a été adressée en ces termes:
Hivyo nimewaambia, “Neno la Yahwe likanijia, kusema,
21 Parle à la maison d'Israël: « Le Seigneur Yahvé dit: 'Voici que je vais profaner mon sanctuaire, l'orgueil de ta puissance, le désir de tes yeux et ce qui fait la joie de ton âme, et tes fils et tes filles que tu as laissés tomber par l'épée.
'Waambie nyumba ya Israeli, Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Nitapanajisi patakatifu pangu-fahari ya nguvu yenu, mahali panapopendeza macho yenu, na panapotamaniwa na roho zenu, na wana wenu na binti zenu ambao mliowaacha nyuma wataanguka kwa upanga.
22 Tu feras comme moi. Vous ne couvrirez pas vos lèvres et ne mangerez pas de pain de deuil.
Kisha mtafanya hasa kama nilivyofanya: hutafunika nywele za sehemu ya chini za uso, wala kula mkate wa watu wanaoomboleza!
23 Vos turbans seront sur vos têtes, et vos sandales à vos pieds. Vous ne vous lamenterez pas, vous ne pleurerez pas, mais vous vous morfondrez dans vos iniquités, et vous gémirez les uns sur les autres.
Badala yake, vilemba vyenu vitakuwa juu ya vichwa, na makubadhi yenu miguuni mwenu; hutaomboleza wala kulia, kwa kuwa mtayeyuka katika maovu yenu, na kila mtu atagugumia kwa ya ajili ya ndugu yake.
24 Ainsi, Ézéchiel sera pour vous un signe; vous ferez tout ce qu'il a fait. Quand cela sera arrivé, alors vous saurez que je suis le Seigneur Yahvé.'"""
Hivyo Ezekieli atakuwa ishara kwenu, kama kila kitu ambacho alichokifanya mtafanya wakati hili litakapokuja. Kisha mtajua yakwamba mimi ni Bwana Yahwe!”'
25 « Toi, fils d'homme, n'est-ce pas au jour où je leur enlèverai leur force, la joie de leur gloire, le désir de leurs yeux, et ce sur quoi ils ont jeté leur dévolu - leurs fils et leurs filles -
“Lakini wewe, mwanadamu, siku ambayo nitachukua hekalu lao, ambalo ni furaha yao, kiburi chao, na kile waonacho na kutamani-na wakati nikiwachukua wana wao na binti-
26 qu'en ce jour-là, celui qui échappe viendra à toi, pour que tu l'entendes de tes oreilles?
siku hiyo, mgeni atakuja kwako kukupatia habari!
27 En ce jour-là, ta bouche s'ouvrira à celui qui s'échappe, tu parleras et tu ne seras plus muet. Tu seras pour eux un signe. Ils sauront alors que je suis Yahvé. »
Siku hiyo kinywa chako kitafunguliwa kwa huyo mgeni na utaongea-hutakuwa bubu tena. Utakuwa ishara kwao hivyo basi watajua kwamba mimi ni Yahwe.

< Ézéchiel 24 >