< Exode 3 >

1 Moïse gardait le troupeau de Jéthro, son beau-père, prêtre de Madian. Il conduisit le troupeau au fond du désert et arriva à la montagne de Dieu, à Horeb.
Wakati huu Musa aliendelea kuchunga mifugo ya Yethro baba mkwe wake, kuhani wa Midiani. Musa aliliongoza kundi la mifugo kuelekea upande wa mbali wa jangwa mpaka kufika Horebu, mlima wa Mungu.
2 L'ange de Yahvé lui apparut dans une flamme de feu, au milieu d'un buisson. Il regarda, et voici, le buisson brûlait de feu, et le buisson ne se consumait pas.
Akiwa pale malaika wa Yahwe akamtokea kama mwali wa moto katika kichaka. Musa aliangalia, na tazama, kichaka kiliwaka moto lakini hakikuteketea.
3 Moïse dit: « Je vais maintenant aller voir ce grand spectacle, pourquoi le buisson ne se consume pas. »
Musa akasema, “Nitageuka ili nione kitaku hiki cha ajabu, kwa nini kichaka hakiteketei.”
4 Lorsque Yahvé vit qu'il venait pour voir, Dieu l'appela du milieu du buisson et dit: « Moïse! Moïse! » Il a dit: « Je suis là. »
Yahwe alipoona ya kuwa amegeuka upande ili aone, Mungu alimwita kutoka katika kile kichaka na kusema, “Musa, Musa.” Musa akasema, “Mimi hapa.”
5 Il dit: « N'approchez pas. Enlève tes sandales, car le lieu sur lequel tu te tiens est une terre sainte. »
Mungu akasema, “Usinikaribie! Vua viatu katika miguu yako, kwa kuwa mahali uliposimama ni mahali palipowekwa wakfu kwa ajili yangu.”
6 Il dit encore: « Je suis le Dieu de ton père, le Dieu d'Abraham, le Dieu d'Isaac et le Dieu de Jacob. » Moïse a caché son visage parce qu'il avait peur de regarder Dieu.
Aliongeza kusema, “Mimi ni Mungu wa baba yako, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo.” Kisha Musa akaufunika uso wake, kwa kuwa aliogopa kumwangalia Mungu.
7 Yahvé dit: « J'ai vu la détresse de mon peuple qui est en Égypte, j'ai entendu ses cris à cause de ses maîtres, car je connais ses souffrances.
Yahwe akasema, “Hakika nimeyaona mateso ya watu wangu walioko Misri. Nimesikia kelele zao kwa sababu ya mabwana wao, kwa kuwa nayajua mateso yao.
8 Je suis descendu pour les délivrer de la main des Égyptiens et pour les faire monter de ce pays dans un bon et vaste pays, dans un pays où coulent le lait et le miel, dans le lieu où vivent les Cananéens, les Héthiens, les Amoréens, les Phéréziens, les Héviens et les Jébusiens.
Nimekuja chini kuwaokoa dhidi ya mamlaka ya Wamisri na kuwatoa katika nchi ile na kuwaleta katika nchi nzuri, pana, nchi ijaayo maziwa na asali; kwenye ukanda wa Wakanaani, Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
9 Maintenant, voici, le cri des enfants d'Israël est venu jusqu'à moi. Et j'ai vu l'oppression que leur font subir les Égyptiens.
Sasa kilio cha watu wa Israeli kimenifikia mimi. Zaidi sana, Mimi nimeyaona mateso ambayo Wamisri wanawatesa.
10 Viens donc maintenant, et je t'enverrai vers Pharaon, afin que tu fasses sortir d'Égypte mon peuple, les enfants d'Israël. »
Sasa basi, nitakutuma wewe kwa Farao ili upate kuwatoa watu wangu, wana wa Israeli, kutoka katika nchi ya Misri.”
11 Moïse dit à Dieu: « Qui suis-je, pour aller vers Pharaon, et pour faire sortir d'Égypte les enfants d'Israël? »
Lakini Musa akamwambia Mungu, “Mimi ni nani hata niende kwa Farao na kuwatoa Waisraeli kutoka Misri?”
12 Il dit: « Certainement, je serai avec toi. Ceci sera pour toi le signe que je t'ai envoyé: quand tu auras fait sortir le peuple d'Égypte, tu serviras Dieu sur cette montagne. »
Mungu akamjibu, “Hakika nitakuwa pamoja nawe. Hii itakuwa ishara kwako ya kuwa nimekutuma. Utakapokuwa umewatoa watu kutoka Misri, mtaniabubu mimi katika mlima huu.”
13 Moïse dit à Dieu: « Voici, quand je viendrai vers les enfants d'Israël et que je leur dirai: « Le Dieu de vos pères m'a envoyé vers vous », et qu'ils me demanderont: « Quel est son nom? », que leur dirai-je? »
Musa akamwambia Mungu, “Nikienda kwa Waisraeli na kuwaambia, 'Mungu wa baba zenu amenituma mimi kwenu,' na kisha wakiniambia, 'jina lake nani?' nitawaambia nini?”
14 Dieu dit à Moïse: « JE SUIS QUI JE SUIS », et il ajouta: « Tu diras ceci aux enfants d'Israël: « Je Suis, je vous ai envoyé. »
Mungu akamwambia Musa, “MIMI NIPO AMBAYE NIPO.” Mungu akasema, “Ni lazima uwaambie Waisraeli, “MIMI NIPO amenituma kwenu.”
15 Dieu dit encore à Moïse: « Tu diras aux enfants d'Israël: « Yahvé, le Dieu de vos pères, le Dieu d'Abraham, le Dieu d'Isaac et le Dieu de Jacob, m'a envoyé vers vous. C'est là mon nom pour toujours, et c'est là mon souvenir pour toutes les générations.
Pia Mungu akamwambia Musa, “Lazima uwaambie Waisraeli, 'Yahwe, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo amenituma mimi kwenu. Hili ndio jina langu milele, na hivi ndivyo nitakavyokumbukwa na vizazi vyote.'
16 Allez rassembler les anciens d'Israël et dites-leur: « Yahvé, le Dieu de vos pères, le Dieu d'Abraham, d'Isaac et de Jacob, m'est apparu et m'a dit: Je vous ai visités et j'ai vu ce qu'on vous a fait en Égypte.
Nenda ukawakusanye wazee wa Israeli pamoja. Waambie, 'Yahwe, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Abrahamu, wa Isaka na Yakobo, amenitokea mimi na kusema, “Hakika nimewatazama na nimeona yale mliyotendewa huko Misri.
17 J'ai dit: Je vous ferai monter de la détresse de l'Égypte au pays des Cananéens, des Héthiens, des Amoréens, des Phéréziens, des Héviens et des Jébusiens, dans un pays où coulent le lait et le miel ».
Nimeahidi kuwatoa ninyi katika mateso ya Misri na kuwaleta katika nchi ya Wakanaani, Wahiti, Wamwori, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi. Nchi ijaayo maziwa na asali.”
18 Ils écouteront ta voix. Tu iras, toi et les anciens d'Israël, vers le roi d'Égypte et tu lui diras: « Yahvé, le Dieu des Hébreux, nous a rencontrés. Laisse-nous maintenant faire trois jours de marche dans le désert, afin que nous puissions sacrifier à Yahvé, notre Dieu.
Watakusikiliza. Wewe pamoja na wazee wa Israeeli itawapasa kwenda kwa mfalme wa Misri, na imewapasa kumwambia, 'Yahwe, Mungu wa Waebrania amekutana nasi. Hivyo tuache sisi twende safari ya siku tatu katika jangwa ili tupate kutoa sadaka kwa Yahwe Mungu wetu.'
19 Je sais que le roi d'Égypte ne vous donnera pas la permission de partir, non, pas par une main puissante.
Lakini nafahamu ya kuwa mfalme wa Misri hatawaacha ninyi mwende, isipokuwa kwa kulazimishwa.
20 J'étendrai ma main et je frapperai l'Égypte par tous les prodiges que je ferai au milieu d'elle, et après cela, il vous laissera partir.
Nitainua mkono wangu na kuwapiga Wamisri kwa miujiza yote nitakayoifanya kati yao. Baada ya hayo, atawaacha mwende.
21 J'accorderai à ce peuple une faveur aux yeux des Égyptiens, et il arrivera que, lorsque vous partirez, vous ne partirez pas les mains vides.
Nitawapa watu hawa kufadhiliwa kutoka kwa Wamisri ili muondokapo msiende mikono mitupu.
22 Mais chaque femme demandera à sa voisine et à celle qui visite sa maison des bijoux d'argent, des bijoux d'or et des vêtements. Vous les mettrez sur vos fils et sur vos filles. Vous pillerez les Égyptiens. »
Kila mwanamke ataomba kwa jirani yake Mmisri na kwa kila mwanamke akaaye kwenye nyumba ya jirani yake, vyombo vya fedha na vya dhahabu na nguo. Nanyi mtawavika watoto wenu wa kiume na binti zenu. Kwa njia hii mtawateka nyara Wamisri.”

< Exode 3 >