< Ecclésiaste 12 >

1 Souviens-toi aussi de ton Créateur aux jours de ta jeunesse, avant que les mauvais jours arrivent et que les années s'approchent, quand tu diras: « Je n'ai aucun plaisir à les voir ».
Pia mkumbuke Muumba wako katika siku za za ujana, kabla ya siku za ugumu hazijaja, na kabla ya miaka haijafika utakapo sema, “Mimi sina furaha katika hizo,”
2 Avant que le soleil, la lumière, la lune et les étoiles ne soient obscurcis, et les nuages reviennent après la pluie;
fanya hivi kabla ya nuru ya jua na mwezi na nyota havijawa giza, na mawingu kurudi baada ya mvua.
3 au jour où les gardiens de la maison trembleront, et les hommes forts s'inclineront, et les broyeurs cessent parce qu'ils sont peu nombreux, et ceux qui regardent par les fenêtres sont assombris,
Huo utakuwa wakati ambapo mlinzi wa ikulu atatetemeka, na wanaume imara wameinama, na wanawake wanao saga kukoma, kwa sababu ni wachache, na wale wanao chungulia dirishani hawaoni vizuri tena.
4 et les portes doivent être fermées dans la rue; quand le bruit du broyage est faible, et l'un d'eux se lèvera à la voix d'un oiseau, et toutes les filles de la musique seront humiliées;
Huo utakuwa wakati ambao milango imefungwa katika mtaa, na mlio wa kusanga kukoma, wakati wanaume watasitushwa kwa mlio wa ndege, na wimbo wa sauti ya wasichana kukoma.
5 oui, ils auront peur des hauteurs, et les terreurs seront sur le chemin; et l'amandier fleurira, et la sauterelle sera un fardeau, et le désir s'éteindra; parce que l'homme va dans sa maison éternelle, et les personnes en deuil vont dans les rues;
Utakuwa wakati ambapo watu wataogopa vilivyoinuka na hatari iliyoko barabarani, na wakati ambapo mlozi utachanua maua, na wakati panzi watakapokokotana wenyewe, na wakati ambapo hamu za asili zitakaposhindwa. Kisha mtu aenda katika nyumba yake ya milele na waombolezaji watelemka mitaani.
6 avant que le cordon d'argent ne soit coupé, ou le bol d'or est cassé, ou le lanceur est cassé au niveau du ressort, ou la roue cassée à la citerne,
Mkumbuke Muumba wako kabla ya kamba ya fedha kukatwa, au bakuli ya dhahabu kupasuka, au gudulia kuvunjwa kwenye chemuchemi, au torori la maji kuvunjika kisimani,
7 et la poussière retourne à la terre comme elle était, et l'esprit retourne à Dieu qui l'a donné.
kabla mavumbi kurudia mahali yalipotoka, na roho kurudi kwa Mungu aliyeitoa.
8 « Vanité des vanités », dit le prédicateur. « Tout est vanité! »
Kama ukungu wa mvuke,” asema mwalimu, kila kitu ni mvuke upoteao.
9 De plus, parce que le prédicateur était sage, il enseignait encore la connaissance au peuple. Oui, il a médité, recherché et mis en ordre de nombreux proverbes.
Mwalimu alikuwa na hekima na aliwafundisha watu maarifa. Alisoma na kuazimu na kutunga mithali nyingi katika mpangilio.
10 Le prédicateur s'efforçait de trouver des paroles agréables, des écrits irréprochables, des paroles de vérité.
Mwalimu alitafuta kuandika kwa kutumia vithibitisho dhahiri, maneno ya kweli yaliyo wima.
11 Les paroles des sages sont comme des aiguillons, et comme des clous bien fixés, les paroles des maîtres d'assemblée, qui sont données par un seul berger.
Maneno ya watu wenye hekima ni kama mchokoo. Kama misumari ilivyogongomewa kwa undani, ndivyo yalivyo maneno ya mabwana katika mkusanyiko wa mithali zao, ambayo yamefundishwa na mchungaji mmoja.
12 Sois donc averti, mon fils: on n'en finit pas de faire beaucoup de livres, et beaucoup d'étude est une fatigue pour la chair.
Mwanangu kuwa makini na kitu zaidi, utengezaji wa vitabu vingi, ambacho hakina mwisho, na kusoma kwingi huleta uchovu mwilini.
13 C'est la fin de l'affaire. Tout a été entendu. Craignez Dieu et gardez ses commandements, car c'est là tout le devoir de l'homme.
Mwisho wa jambo baada ya kila kitu umesikika, ni kwamba ni lazima umche Mungu na kushika amri zake, kwa kuwa huu ndilo jukumu lote la mwanadamu.
14 Car Dieu mettra en jugement toute œuvre, toute chose cachée, soit bonne, soit mauvaise.
Kwa kuwa Mungu ataleta kila tendo hukumuni, pamoja na kila kitu kilichofichika, kizuri au kibaya.

< Ecclésiaste 12 >