< Deutéronome 4 >
1 Maintenant, Israël, écoute les lois et les ordonnances que je t'enseigne, pour les mettre en pratique, afin que tu vives, que tu entres et que tu possèdes le pays que Yahvé, le Dieu de tes pères, te donne.
Sasa, Israeli, sikiliza sheria na amri ambayo niko karibu kukufundisha, kuzifanya, ili kwamba uweze kuishi na kuingia ndani na kumiliki nchi ambayo Yahwe, Mungu wa baba zako, anakupa.
2 Vous n'ajouterez rien à la parole que je vous prescris, et vous n'en retrancherez rien, afin d'observer les commandements de l'Éternel, votre Dieu, que je vous prescris.
Hautaongeza maneno ambayo nakuamuru, wala hautayapunguza, ili kwamba uweze kushika amri ya Yahwe Mungu wako ambazo naenda kukuamuru.
3 Tes yeux ont vu ce que l'Éternel a fait à cause de Baal Peor; car l'Éternel, ton Dieu, a fait disparaître du milieu de toi tous les hommes qui suivaient Baal Peor.
Macho yako yamekwisha ona nini Yahwe alifanya kwa sababu ya Baal Peor, kwa kuwa watu wote waliomfuata Baali Peor, Yahwe Mungu wenu amekwisha kuwaangamiza kutoka miongoni mwenu.
4 Mais vous, qui avez été fidèles à l'Éternel, votre Dieu, vous êtes tous vivants aujourd'hui.
Lakini walioambatana na Yahwe Mungu wenu wako hai leo, kila moja wenu.
5 Voici, je vous ai enseigné des lois et des ordonnances, comme l'Éternel, mon Dieu, me l'a ordonné, afin que vous les mettiez en pratique au milieu du pays dont vous allez prendre possession.
Tazama, nimewafundisha sheria na amri, kama Yahwe Mungu wangu alivyoniamuru mimi, ila kwamba mfanye hivyo katikati mwa nchi ambayo mnaiendea ili kusudi muimiliki.
6 Gardez-les donc et mettez-les en pratique, car c'est là votre sagesse et votre intelligence aux yeux des peuples qui entendront toutes ces lois et qui diront: « Certes, cette grande nation est un peuple sage et intelligent. »
Kwa hiyo washikilieni na kuwafanya, kwa kuwa hii ni hekima yenu na uelewa wenu mbele ya macho ya watu watakaosikia amri hizi zote na kusema, “Hakika taifa hili kubwa lina watu wa hekima na uelewa.'
7 Car quelle est la grande nation qui ait un dieu aussi proche d'elle que l'est Yahvé, notre Dieu, quand nous l'invoquons?
Kuna taifa gani jingine la vile liko hapo lina mungu karibu nao, kama Yahwe Mungu wetu tunapomwita wakati wowote?
8 Quelle est la grande nation qui ait des lois et des ordonnances aussi justes que toute cette loi que je vous présente aujourd'hui?
Kuna taifa kubwa gani jingine liko hapo ambalo lina sheria na amri ili kwamba haki pamoja na sheria ambayo ninaweka mbele yenu leo?
9 Seulement, prends garde et garde ton âme avec soin, de peur que tu n'oublies les choses que tes yeux ont vues et qu'elles ne s'éloignent de ton cœur tous les jours de ta vie; mais fais-les connaître à tes enfants et aux enfants de tes enfants -
Zingatia peke na kuwa makini kujilinda, ili usisahau mambo ambayo macho yako yameona, ili kwamba yasiuwache moyo wako kwa siku zote za maisha yako. Badala yake, yafanye yajulikane kwa watoto wako na wana watoto wako.
10 le jour où tu t'es tenu devant l'Éternel, ton Dieu, à Horeb, quand l'Éternel m'a dit: « Assemble le peuple auprès de moi, et je leur ferai entendre mes paroles, afin qu'ils apprennent à me craindre tous les jours qu'ils vivront sur la terre, et qu'ils les enseignent à leurs enfants. »
Kuhusu siku ile uliyosimama mbele ya Yahwe Mungu wako katika Horeb, wakati Yahwe alisema nami, 'Nikusanyie watu, na nitawafanya wasikia maneno yangu, ili kwamba waweze kujifunza kuniogopa mimi siku zote ambazo wanazoishi duniani, na kwamba waweze kuwafundisha watoto wao.
11 Vous vous êtes approchés et vous vous êtes tenus sous la montagne. La montagne brûlait de feu jusqu'au cœur du ciel, avec des ténèbres, des nuages et une obscurité épaisse.
Mlikuja karibu na kusimama katika wayo wa mlima. Mlima uliwaka moto kwenye moyo wa mbinguni, pamoja na giza, mawingu na giza jembamba.
12 Yahvé vous a parlé du milieu du feu: vous avez entendu des paroles, mais vous n'avez pas vu de forme, vous avez seulement entendu une voix.
Yahwe alizungumza katikati ya moto, ulisikia suati pamoja na maneno yake, lakini hakuona umbo, ila ulisikia sauti peke.
13 Il vous a annoncé son alliance, qu'il vous a ordonné d'exécuter, les dix commandements. Il les a écrits sur deux tables de pierre.
Alitangaza kwenu agano lake ambalo aliwaamuru ninyi kulifanya, amri kumi. Aliziandika kwenye vibao viwili vya mawe.
14 En ce temps-là, Yahvé m'a ordonné de vous enseigner des lois et des ordonnances, afin que vous les mettiez en pratique dans le pays dont vous allez prendre possession.
Yahwe aliniamuru mimi kwa wakati huo kuwafundisha sheria na amri, ili kwamba muweze kuzifanya katika nchi mnaoivuka kwenda kuimiliki.
15 Soyez très attentifs, car vous n'avez vu aucune forme le jour où l'Éternel vous a parlé à Horeb, du milieu du feu,
Basi iweni waangalifu ninyi wenyewe - kwa kuwa mliona hakuna namna ya umbo siku hiyo ambapo Yahweh alizungumza nanyi huko Horeb kutoka katikati mwa moto,
16 de peur que vous ne vous corrompiez et que vous ne vous fassiez une image taillée, sous la forme d'une figure quelconque, la ressemblance d'un mâle ou d'une femelle,
ili kwamba usiharibike na kuchonga umbo katika sura ya kiumbe chochote, umbo la mwanaume au mtu wa kike,
17 la ressemblance de tout animal qui est sur la terre, la ressemblance de tout oiseau ailé qui vole dans le ciel,
au sura ya mnyama aliye katika nchi, au sura ya ndege yoyote wa mabawa arukae katika anga, au
18 la ressemblance de tout ce qui rampe sur le sol, la ressemblance de tout poisson qui est dans l'eau sous la terre;
sura ya kitu chochote kitambaacho katika ardhi, au sura ya samaki yoyote katika maji chini ya ardhi.
19 et de peur que, levant les yeux vers le ciel, tu ne voies le soleil, la lune et les étoiles, toute l'armée du ciel, et que tu ne te laisses entraîner à les adorer et à les servir, eux que l'Éternel, ton Dieu, a donnés à tous les peuples qui sont sous le ciel entier.
Hautainua macho yako juu mbinguni na kutazama jua, mwezi, au nyota - jeshi lote la mbinguni- ukusogezwa na kuviabudu na kuvisujudia- vile vyote ambavyo Yahwe Mungu wenu amewapa hisa watu wote walio chini ya anga lote.
20 Mais l'Éternel t'a pris et t'a fait sortir de la fournaise de fer, de l'Égypte, pour être à ses yeux un peuple d'héritage, comme il en est aujourd'hui.
Lakini Yahwe amewatoa ninyi na kuwaleta nje ya tanuru la chuma, nje ya Misri, kuwa kwake watu wa urithi wake, kama mlivyo leo.
21 Mais l'Éternel s'est irrité contre moi à cause de vous, et il a juré que je ne passerais pas le Jourdain, et que je n'entrerais pas dans le bon pays que l'Éternel, ton Dieu, te donne en héritage;
Yahwe alinikasirikia mimi kwa sababu yenu; aliapa kwamba nisiende ng'ambo ya Yordani, na kwamba nisiende kwenye nchi nzuri, nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa ninyi kama urithi.
22 mais je dois mourir dans ce pays. Je ne passerai pas le Jourdain, mais toi, tu passeras et tu posséderas ce bon pays.
Badala yake, ninapaswa kufa katika nchi hii, sipaswi kwenda ng'ambo ya Yordani, lakini mtaenda ng'ambo na kuimiliki nchi nzuri
23 Prenez garde que vous n'oubliiez l'alliance de l'Éternel, votre Dieu, qu'il a conclue avec vous, et que vous ne vous fassiez une image taillée en forme de ce que l'Éternel, votre Dieu, vous a interdit.
Zingatia ninyi wenyewe, ili kwamba msisahau agano la Yahwe Mungu wenu, alilolifanya pamoja nanyi, na kujichongea mfano wa sanamu katika uombo la kitu chochote ambacho Yahwe Mungu wenu amewakataza kufanya.
24 Car l'Éternel, ton Dieu, est un feu dévorant, un Dieu jaloux.
Kwa kuwa Yahwe Mungu wenu ni moto ulao, Mungu wa wivu.
25 Lorsque vous aurez engendré des enfants et des enfants d'enfants, que vous aurez séjourné longtemps dans le pays, et que vous vous serez corrompus, que vous vous serez fait une image taillée en forme de quoi que ce soit, et que vous aurez fait ce qui est mal aux yeux de l'Éternel, votre Dieu, pour l'irriter,
Wakati mnapozaa watoto na wana watoto, na wakati mtakapo kuwa katika nchi kwa muda mrefu, na kama mtaharibikiwa ninyi na kuchonga umbo la umbo lolote, na kufanya uovu machoni pa Yahwe Mungu wenu, kumchoche katika hasira-
26 j'en prends aujourd'hui à témoin contre vous le ciel et la terre: vous disparaîtrez bientôt du pays dont vous prendrez possession en passant le Jourdain. Vous n'y prolongerez pas vos jours, mais vous serez entièrement détruits.
Nitaita nchi na mbingu kushuhudia dhidi yenu leo kwa kuwa mapema kabisa mtaangamia kutoka katika nchi ambayo mnaiendea huko ng'ambo ya Yordani kuimiliki, hamtazidisha siku zenu ndani yake, lakini mtaangamizwa kabisa.
27 Yahvé vous dispersera parmi les peuples, et vous resterez peu nombreux parmi les nations où Yahvé vous conduira.
Yahwe atawatawanyisha ninyi miongoni mwa watu, na mtabaki wachache ki-idadi miongoni mwa mataifa, ambapo Yahwe atawaongoza mbali.
28 Là, vous servirez des dieux, ouvrage de la main de l'homme, bois et pierre, qui ne voient ni n'entendent, ne mangent ni ne sentent.
Huko mtatumikia miungu mingine, kazi ya mikono ya watu, mbao na mawe, ambayo wala haioni, kusikia, wala kunusa.
29 Mais de là, tu chercheras Yahvé ton Dieu, et tu le trouveras, si tu le cherches de tout ton cœur et de toute ton âme.
Lakini kuanzia hapo mtamtafuta Yahwe Mungu wenu, na mtampata, wakati mtakapomtafuta kwa moyo wenu wote na roho zenu zote.
30 Quand tu seras dans l'oppression, et que toutes ces choses t'arriveront, dans la suite des temps, tu reviendras à l'Éternel, ton Dieu, et tu écouteras sa voix.
Wakati mnakuwa katika dhiki, na wakati haya yote yatakuwa yamekuja kwenu, katika siku za badae mtamrudia Yahwe Mungu wenu na kusikia sauti yake.
31 Car Yahvé ton Dieu est un Dieu de miséricorde. Il ne te laissera pas tomber, ne te détruira pas et n'oubliera pas l'alliance de tes pères qu'il leur a jurée.
Kwa kuwa Yahwe Mungu wenu ni Mungu wa rehema; hatawaangusha wala kuwaangamiza ninyi, wala kusahau agano la baba zenu ambalo aliapa kwao.
32 Car demandez-vous maintenant, parmi les jours passés, qui vous ont précédés, depuis le jour où Dieu a créé l'homme sur la terre, et d'une extrémité du ciel à l'autre, s'il y a eu quelque chose d'aussi grand que cette chose, ou si l'on a entendu quelque chose de semblable?
Kwa ajili ya kuuliza sasa kuhusu siku zilizopita ambazo zilikuwa mbele yenu: tangu siku ile ambayo Mungu alimuumba mtu katika nchi, kutoka pande moja ya mbingu hadi nyingine, uliza kama kumekuwepo chochote kama hiki kikubwa, au chochote kama hicho imewahi kusikiwa?
33 Un peuple a-t-il jamais entendu la voix de Dieu parlant du milieu du feu, comme vous l'avez entendue, et vit-il?
Ilishawahi kutokea watu kusikia sauti ya Mungu kuongea katikati ya moto, kama mlivyosikia, na kuishi?
34 Ou bien Dieu a-t-il essayé d'aller prendre pour lui une nation au milieu d'une autre nation, par des épreuves, par des signes, par des prodiges, par la guerre, par une main puissante, par un bras étendu, et par de grandes terreurs, selon tout ce que Yahvé ton Dieu a fait pour toi en Égypte, sous tes yeux?
Au Mungu ameshawahi kujaribu kwenda na kujichukulia kwa ajili yake taifa kutoka miongoni mwa taifa, kwa majaribu, ishara na maajabu na kwa vita, na mkono wa nguvu, na mkono ulionyoshwa, na magaidi wakuu, vile vyovyote ambavyo Yahwe Mungu wenu alifanya kwa ajili yenu Misri mbele ya macho yenu?
35 Cela vous a été montré pour que vous sachiez que Yahvé est Dieu. Il n'y a personne d'autre que lui.
Kwenu haya yalioneshwa, ili muweze kujua kuwa Yahwe ni Mungu, na kwamba hakuna mwingine zaidi yake.
36 Du haut des cieux, il vous a fait entendre sa voix, pour qu'il vous instruise. Sur la terre, il vous a fait voir son grand feu, et vous avez entendu ses paroles au milieu du feu.
Toka mbinguni alifanya msikie sauti yake, ili kwamba aweze kuwaelekeza, juu ya nchi aliwafanya muone moto wake mkuu, mlisikia maneno yake toka katikati ya moto.
37 Parce qu'il a aimé vos pères, il a choisi leurs descendants après eux, et il vous a fait sortir d'Égypte par sa présence, par sa grande puissance,
Kwa sababu aliwapenda baba zenu, alichagua wazao wao baada yao, na kuwatoa ninyi Misri kwa uwepo wake, kwa nguvu yake kubwa,
38 pour chasser devant vous des nations plus grandes et plus puissantes que vous, pour vous faire entrer, pour vous donner leur pays en héritage, comme il l'est aujourd'hui.
ili kusudi awatowe kutoka mbele ya mataifa makubwa na yenye nguvu kuliko ninyi, kuwaleta ndani, kuwapa ninyi nchi yao kama urithi, hivi leo.
39 Sachez donc aujourd'hui, et prenez-le à cœur, que Yahvé lui-même est Dieu en haut dans les cieux et en bas sur la terre. Il n'y a personne d'autre.
Tambua hivi leo, weka kwenye moyo wako, Yahwe ni Mungu juu ya mbingu na chini ya dunia, hakuna mwingine yeyote.
40 Tu observeras ses lois et ses commandements que je te prescris aujourd'hui, afin que tout aille bien pour toi et pour tes enfants après toi, et que tu prolonges tes jours dans le pays que Yahvé ton Dieu te donne à perpétuité.
Mtazishika sheria zake na amri zake ambazo nawaamuru leo, ili kwamba iweze kuwa vizuri kwenu na watoto wenu baada yenu, na kwamba muweze kuongeza siku zenu katika nchi ambayo Yahwe Mungu wenu amewapa milele.”
41 Moïse mit à part trois villes au-delà du Jourdain, vers le soleil levant,
Kisha Musa alichagua miji mitatu mashariki mwa Yordani,
42 afin que s'y réfugie le meurtrier qui tue involontairement son prochain et qui ne le haïssait pas autrefois, et qu'en s'enfuyant dans l'une de ces villes, il puisse vivre:
ili kwamba yoyote aweze kukimbia kati ya moja yao kama imemuua mtu mwingine kwa ajili, pasipo kuwa adui hapo awali. Kwa kukimbilia kwenye moja ya miji hii, atakuwa amenusurika.
43 Bezer au désert, dans la plaine, pour les Rubénites; Ramoth en Galaad pour les Gadites; et Golan en Basan pour les Manassites.
Walikuwa: Bezeri katika jangwa, nchi tambarare, kwa Warubenites; Ramothi huko Gileadi, kwa Gadites; na Golani huko Bashani, kwa Manassites.
44 Telle est la loi que Moïse mit devant les enfants d'Israël.
Hii ni sheria ambayo Musa aliweka mbele ya watu wa Israeli,
45 Tels sont les témoignages, les lois et les ordonnances que Moïse adressa aux enfants d'Israël à leur sortie d'Égypte,
hizi ni amri za agano, sheria, na amri zingine alizungumza na watu wa Israeli wakati walipotoka Misri,
46 de l'autre côté du Jourdain, dans la vallée en face de Beth Peor, au pays de Sihon, roi des Amoréens, qui habitait à Hesbon, et que Moïse et les enfants d'Israël battirent à leur sortie d'Égypte.
pindi walikuwa Mashariki mwa Yordani, katika bonde mkabala wa Beth Peori, katika nchi ya Sihoni, mfalme wa Amorites, aliyewahi kuishi Heshbon, ambaye Musa na watu wa Israeli waliwahi kumshinda wakati walipotoka Misri.
47 Ils prirent possession de son pays et du pays d'Og, roi de Basan, les deux rois des Amoréens, qui étaient au-delà du Jourdain, vers le soleil levant,
Walichukua nchi yake kama urithi, na nchi ya Ogi mfalme wa Bashani- hawa, wafalme wawili wa Amorites, waliokuwa ng'ambo ya pili ya Yordani kuelekea Mashariki.
48 depuis Arœr, qui est sur le bord de la vallée de l'Arnon, jusqu'à la montagne de Sion (appelée aussi Hermon),
Himaya hii ilienda kutoka Aroer, katika ukingo wa bonde la Arnon, kwa mlima wa Sion (mlima Hermon),
49 et toute la plaine au-delà du Jourdain, vers l'est, jusqu'à la mer de la plaine, sous les pentes du Pisga.
na ilijumuisha tambarare zote za bonde la mto Yordani, Mashariki mwa ng'ambo ya pili ya Yordani, kuelekea bahari ya Arabah, kuelekea miteremko ya mlima Pisgah.