< Amos 8 >

1 Ainsi le Seigneur Yahvé m'a montré: voici une corbeille de fruits d'été.
Hiki ndicho ambacho bwana Yahwe amenionyesha. Tazama, kikapu cha matunda ya hari!
2 Il dit: « Amos, que vois-tu? » J'ai dit: « Un panier de fruits d'été. » Alors Yahvé me dit, « La fin est venue sur mon peuple Israël. Je ne passerai plus devant eux.
Akasema, “Unaona nini, Amosi?” Nikasema, “Kikapu cha matunda ya hari.” Kisha Yahwe akanambia, “Mwisho umefika kwa watu wangu Israeli; sintowaumiza tena.
3 Les chants du temple seront des gémissements en ce jour-là, dit le Seigneur Yahvé. « Les cadavres seront nombreux. En tout lieu, on les jettera en silence.
Nyimbo za kwenye hekalu zitakuwa vilio. Katika siku hiyo-hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe. Mizoga itakuwa mingi, katika kila sehemu wataitupa katika ukimya!”
4 Écoutez ceci, vous qui voulez engloutir les indigents, et faire échouer les pauvres du pays,
Lisikilizeni hili, ninyi mkanyagao maskini na kumuondoa fukara wa nchi.
5 en disant: « Quand la nouvelle lune sera-t-elle passée, pour que nous puissions vendre du blé? Et le sabbat, pour que nous puissions commercialiser le blé, rendant l'épha petit, et le shekel grand, et de traiter faussement avec des balances de tromperie;
wakisema, “Wakati mwezi mpya utakapoisha, hivyo tunaweza kuuza mazao tena? Wakati siku ya Sabato itakapoisha, ili kwamba tuuze ngano? Tutafanya kipimo kidogo na kuongeza bei, tukidanganya kwa mizani za udanganyifu.
6 afin que nous puissions acheter les pauvres pour de l'argent, et les nécessiteux pour une paire de sandales, et vendre les balayures avec le blé? »
Hivi ndivyo ambavyo tunaweza kuuza ngano mbaya, kununua fukara kwa fedha, na masikini kwa jozi moja ya kubadhi.”
7 Yahvé a juré par l'orgueil de Jacob, « Je n'oublierai certainement jamais aucune de leurs œuvres.
Yahwe ameapa kwa fahari ya Yakobo, “Hakika sintoweza kusahau kazi zao hata moja.”
8 Le pays ne tremblera-t-il pas pour cela? et tous ceux qui l'habitent en deuil? Oui, il s'élèvera entièrement comme le fleuve; et il sera remué et coulera de nouveau, comme le fleuve d'Égypte.
Je nchi haitatetemeka kwa hili, na kila mmoja aishiye kuombolezea? Yote hayo yatainuka kama Mto Naili, nayo itataabika juu na kupwa tena, kama mto wa Misri.
9 Cela arrivera en ce jour-là, dit le Seigneur Yahvé, « que je ferai en sorte que le soleil se couche à midi, et j'obscurcirai la terre en plein jour.
“Itakuja siku ambayo -huu ndio usemi wa Bwana Yahwe- kwamba nitafanya jua litue wakati wa mchana, na nitaiweka giza dunia wakati wa mchana.
10 Je transformerai vos fêtes en deuil, et toutes vos chansons en lamentations; et je vous ferai porter le sac sur tout votre corps, et la calvitie sur toutes les têtes. Je le ferai comme le deuil d'un fils unique, et sa fin comme un jour amer.
Nitazigeuza sikukuu zenu kuwa maombolezo na nyimbo zenu zote kuwa masikitiko. Nitawafanya wote kuvaa nguo za magunia na kipara juu ya kila kichwa. Nitayafanya haya kama maombolezo kwa mwana pekee, na siku ya uchungu mwisho wake.
11 Voici, les jours viennent, dit le Seigneur Yahvé, « que j'enverrai une famine dans le pays, pas une famine de pain, ni la soif d'eau, mais d'entendre les paroles de Yahvé.
Tazama, siku zinakuja -asema Bwana Yahwe- wakati nitakapoleta njaa katika nchi, sio njaa ya mkate, wala kiu ya maji, ila kusikia maneno ya Yahwe.
12 Ils erreront d'une mer à l'autre, et du nord jusqu'à l'est; ils courront de long en large pour chercher la parole de Yahvé, et ne le trouveront pas.
watatangatanga kutoka bahari hata bahari; watakimbia kutoka kaskazini kwenda magharibi kutafuta neno la Yahwe, lakini hawatalipata.
13 En ce jour-là, les belles vierges et les jeunes hommes s'évanouiront de soif.
Katika siku hiyo wanawali wazuri na wavulana watazimia kutokana na njaa.
14 Ceuxqui jurent par le péché de Samarie, et dire: « Ton dieu, Dan, est vivant ». et, « Comme le chemin de Beersheba vit, ils tomberont, et ne se relèveront jamais. »
Wale waapao kwa dhambi ya Samaria wataanguka na hawatainuka tena.”

< Amos 8 >