< 2 Thessaloniciens 3 >
1 Enfin, frères, priez pour nous, afin que la parole du Seigneur se répande rapidement et soit glorifiée, comme aussi chez vous,
Na sasa, ndugu, tuombeeni, kwamba neno la Bwana liweze kuenea na kutukuzwa, kama ilivyo pia kwenu.
2 et que nous soyons délivrés des hommes déraisonnables et méchants; car tous n'ont pas la foi.
Ombeni kwamba tuweze kuokolewa kutoka katika uovu na watu waasi, kwa kuwa si wote wana imani.
3 Mais le Seigneur est fidèle, il vous affermira et vous protégera du malin.
Lakini Bwana ni mwaminifu, ambaye atawaimarisha ninyi na kuwalinda kutoka kwa yule mwovu.
4 Nous avons confiance dans le Seigneur à votre égard, car vous faites et ferez ce que nous vous ordonnons.
Tunaujasiri katika Bwana kwa ajili yenu, kwamba mnatenda na mtaendelea kutenda mambo ambayo tunawaagiza.
5 Que le Seigneur dirige vos cœurs dans l'amour de Dieu et dans la persévérance du Christ.
Bwana aweze kuongoza mioyo yenu katika upendo na katika uvumilivu wa Kristo.
6 Or nous vous ordonnons, frères, au nom de notre Seigneur Jésus-Christ, de vous retirer de tout frère qui marche dans la rébellion et non selon la tradition qu'ils ont reçue de nous.
Sasa tunawaagiza, ndugu, katika jina la Bwana Yesu Kristo, kwamba mwepuke kila ndugu ambaye anaishi maisha ya uvivu na siyo kwa kutokana na desturi ambazo mlipokea kutoka kwetu.
7 Car vous savez comment vous devez nous imiter. Car nous ne nous sommes pas conduits au milieu de vous de manière rebelle,
Kwa kuwa ninyi wenyewe mnajua ni sawa kwenu kutuiga sisi. Hatukuishi miongoni mwenu kama wale ambao hawakuwa na nidhamu.
8 et nous n'avons pas mangé le pain de la main de quelqu'un sans le payer, mais nous avons travaillé nuit et jour à force de travail et de peines, afin de n'être à la charge d'aucun de vous.
Na hatukula chakula cha mtu yeyote bila kukilipia. Badala yake, tulifanya kazi usiku na mchana kwa kazi ngumu na kwa shida, ili tusiweze kuwa mzigo kwa yeyote katika ninyi.
9 Ce n'est pas que nous n'en ayons pas le droit, mais c'est pour vous servir d'exemple, afin que vous nous imitiez.
Tulifanya hivi si kwa sababu hatuna mamlaka. Badala yake, tulifanya hivi ili tuwe mfano kwenu, ili kwamba mweze kutuiga sisi.
10 En effet, lorsque nous étions avec vous, nous vous avions déjà donné cet ordre: « Si quelqu'un ne veut pas travailler, qu'il ne mange pas ».
Wakati tulipokuwa pamoja nanyi tuliwaagiza, “Ikiwa mmoja wenu hataki kufanya kazi, na asile.”
11 Car nous avons entendu parler de quelques-uns qui marchent parmi vous en révoltés, qui ne travaillent pas du tout, mais qui s'occupent.
Kwa kuwa tunasikia kwamba baadhi wanaenenda kwa uvivu miongoni mwenu. Hawafanyi kazi lakini badala yake ni watu wasio na utaratibu.
12 Or, nous ordonnons et exhortons dans le Seigneur Jésus-Christ ceux qui sont dans cette voie, afin qu'ils travaillent tranquillement et mangent leur propre pain.
Sasa hao nao tunaagiza na kuwaasa katika Bwana Yesu Kristo, kwamba lazima wafanye kazi kwa utulivu na kula chakula chao wenyewe.
13 Mais vous, frères, ne vous lassez pas de faire ce qui est juste.
Lakini ninyi, ndugu, msizimie roho katika kufanya yaliyo sahihi.
14 Si quelqu'un n'obéit pas à ce que nous avons dit dans cette lettre, notez-le et ne le fréquentez pas, afin qu'il ait honte.
Ikiwa mtu yeyote hataki kutii neno letu katika waraka huu, mwe makini naye na msiwe na ushirika pamoja naye, ili kwamba aweze kuaibika.
15 Ne le considère pas comme un ennemi, mais exhorte-le comme un frère.
Msimchukulie kama adui, lakini mwonyeni kama ndugu.
16 Maintenant, que le Seigneur de la paix lui-même vous donne la paix en tout temps et de toutes les manières. Le Seigneur soit avec vous tous.
Bwana wa amani mwenyewe awape amani wakati wowote katika njia zote. Bwana awe nanyi nyote.
17 Moi, Paul, j'écris cette salutation de ma propre main, qui est le signe dans chaque lettre. C'est ainsi que j'écris.
Hii ni salam yangu, Paulo, kwa mkono wangu mwenyewe, ambayo ni alama katika kila waraka. Hivi ndivyo niandikavyo.
18 Que la grâce de notre Seigneur Jésus-Christ soit avec vous tous. Amen.
Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iweze kuwa nanyi nyote.