< 2 Rois 10 >
1 Or Achab avait soixante-dix fils à Samarie. Jéhu écrivit des lettres et les envoya à Samarie, aux chefs de Jizreel, aux anciens, et à ceux qui avaient élevé les fils d'Achab, en disant:
Basi Ahabu alikuwa na watoto sabini katika Samaria. Yehu akaandika barua na kuzituma kwenda Samaria, kwa watawala wa Yezreeli, pamoja na wazee na walinzi wa wana wa Ahabu akisema,
2 « Maintenant, dès que cette lettre vous parviendra, puisque les fils de votre maître sont avec vous, et que vous avez des chars et des chevaux, une ville fortifiée et des armes,
“Wana wa bwana wako wako pamoja na wewe, na wewe pia una magari ya farasi na farasi na kuimarisha mji dhidi ya maadui na silaha. Hivyo basi, haraka iwezekanavyo barua hii ikufikiapo,
3 choisissez le meilleur et le plus apte des fils de votre maître, mettez-le sur le trône de son père, et combattez pour la maison de votre maître. »
mchagueni aliye bora na anayestahili miongoni mwa mtoto wa bwana wenu na kumuweka kwenye kiti cha kifalme cha baba yake, na kupigania ufalme wa bwana wenu.”
4 Mais ils eurent très peur et dirent: « Voici, les deux rois ne se sont pas tenus devant lui! Comment allons-nous donc nous tenir debout? »
Lakini waliogopa na kusema miongoni mwao, “Tazama, wafalme wawili hawatasimama mbele ya Yehu. Hivyo tutasimamaje?”
5 Celui qui était à la tête de la maison, celui qui était à la tête de la ville, les anciens aussi, et ceux qui élevaient les enfants, envoyèrent dire à Jéhu: « Nous sommes tes serviteurs, et nous ferons tout ce que tu nous demanderas. Nous ne ferons pas de roi un autre homme. Fais ce qui est bon à tes yeux. »
Kisha yule mtu ambaye alikuwa kiongozi kwenye nyumba ya mfalme, na wale waliowalea watoto, wakatuma ujumbe kwa Yehu, kusema, “Sisi ni watumishi wako. Tutafanya chochote utakacho tuamuru. Hatutamfanya mtu yeyote kuwa mfalme. Fanya lile lililojema machoni pako.”
6 Puis il leur écrivit une seconde fois une lettre dans laquelle il disait: « Si vous êtes de mon côté, et si vous écoutez ma voix, prenez les têtes des hommes qui sont les fils de vos maîtres, et venez me voir à Jizreel demain à cette heure-ci. » Or les fils du roi, au nombre de soixante-dix personnes, étaient avec les grands de la ville, qui les firent monter.
Kisha Yehu akaandika barua mara ya pili, akisema, “Kama mko upande wangu, na kama mtasikiliza sauti yangu, mtachukua vichwa vya watu wa wana wa mabwana wenu, na mje kwangu Yezreeli kesho mda kama huu.” Ndipo wana wa wafalme, sabini kwa hesabu, waliokuwa watu muhimu huko mjini, ambao walikuwa wakiwaleta.
7 Lorsque la lettre leur parvint, ils prirent les fils du roi, les tuèrent, soit soixante-dix personnes, mirent leurs têtes dans des paniers, et les envoyèrent à Jizreel.
Hivyo barua ilipokuja kwao, waliwachukua wana wa wafalme na kisha kuwaua, watu sabini, wakaweka vichwa vyao kwenye vikapu, na kuivituma kwa Yehu katika Yezreeli.
8 Un messager vint lui dire: « On a apporté les têtes des fils du roi. » Il dit: « Disposez-les en deux tas à l'entrée de la porte jusqu'au matin. »
Mjumbe mmoja akaja kwa Yehu, akisema, “Wamevileta vile vichwa vya watoto wa wafalme.” Hivyo akasema, viwekeni kwenye mafungu mawili kwenye lango hadi asubuhi.”
9 Au matin, il sortit, se tint debout, et dit à tout le peuple: « Vous êtes justes. Voici, j'ai conspiré contre mon maître et je l'ai tué, mais qui a tué tous ceux-là?
Asubuhi Yehu akatoka nje na kusimama, na kusema kwa watu wote, “Ninyi hamna hatia. Tazameni, nimefanya fitina dhidi ya bwana wangu na kumuua, lakini ni nani aliyewaua hawa wote?
10 Sachez maintenant que rien ne tombera à terre de la parole de l'Éternel, que l'Éternel a prononcée sur la maison d'Achab. Car Yahvé a accompli ce qu'il avait annoncé par son serviteur Élie. »
Sasa hakika tafakarini kwamba hakuna sehemu ya neno la Yahwe, lile alilonena Yahwe kuhusu familia ya Ahabu, itaanguka kwenye aridhini, kwa kuwa Yahwe amefanya kile alichokiongea kupitia mtumishi wake Eliya.”
11 Et Jéhu frappa tout ce qui restait de la maison d'Achab à Jizreel, avec tous ses grands, ses familiers et ses prêtres, jusqu'à ce qu'il ne lui restât plus personne.
Basi Yehu akawaua wote waliokuwa wamebakia wa familia ya Ahabu katika Yezreeli, na watu wake muhimu wote, marafiki zake wa karibu, na makuhani wake, hakuna hata mmoja wao alisalia.
12 Il se leva, partit, et se rendit à Samarie. Comme il se trouvait en chemin dans la bergerie des bergers,
Kisha Yehu akainuka na kuondoka; akaenda Samaria. Kadiri alivyokuwa akikaribia Bethi Ekedi ya wachungaji,
13 Jéhu rencontra les frères d'Achazia, roi de Juda, et dit: « Qui êtes-vous? » Ils répondirent: « Nous sommes les frères d'Achazia. Nous descendons saluer les enfants du roi et les enfants de la reine. »
akamlaki na ndugu wa Ahazia mfalme wa Yuda. Yehu akawaambia, “Ninyi ni akina nani?” Wakajibu, “Sisi ni ndugu zake na Ahazia, na tunashuka chini kuwasalimia watoto wa mfalme na watoto wa Malkia Yezebeli.”
14 Il a dit: « Prenez-les vivants! » Ils les prirent vivants, et les tuèrent à la fosse de la tondeuse, même quarante-deux hommes. Il n'en a laissé aucun.
Yehu akawaambia watu wake mwenyewe, “Wachukue wakiwa hai.” Hivyo wakawachukua wakiwa hai na kuwaua kwenye kisima cha Bethi Ekedi, watu wote arobaini na mbili. Hakumwacha hata mmoja wao akiwa hai.
15 Comme il était parti de là, il rencontra Jehonadab, fils de Rechab, qui venait à sa rencontre. Il le salua, et lui dit: « Ton cœur est-il droit, comme mon cœur est avec ton cœur? » Jehonadab a répondu: « C'est vrai. » « Si c'est le cas, donne-moi ta main. » Il lui donna sa main, et il le fit monter vers lui dans le char.
Baada ya Yehu kuondoka huko, akakutana na Yehonadabu mwana wa Rekabu anakuja kukutana naye. Yehu akamsalimia na kisha akamwambia, “Je moyo wako uko na mimi, kama moyo wangu ulivyo pamoja na wako?” Yehonadabu akajibu, Ndio.” Yehu akasema, “kama ni ndio, nipatie mkono wako.” Kisha Yehonadabu akampatia mkono wake, na Yehu akampandisha Yehonadabu juu kwenye magari ya farasi pamoja naye.
16 Il dit: « Viens avec moi, et vois mon zèle pour Yahvé. » Et ils le firent monter dans son char.
Yehu akasema, “Fuatana pamoja nami na uone wivu wangu kwa Yahwe.” Hivyo alikuwa na Yehonadabu akiendesha gari la farasi.
17 Lorsqu'il arriva à Samarie, il frappa tous ceux qui restaient à Achab à Samarie, jusqu'à ce qu'il les eût détruits, selon la parole de l'Éternel qu'il avait adressée à Élie.
Wakati alipokuja Samaria, Yehu akawaua wote waliobakia kutoka uzao wa Ahabu katika Samaria, hata akawaangamiza ukoo wa kifalme wa Ahabu, kama walivyokuwa wameambiwa kabla ya neno la Yahwe, ambalo aliloambiwa Eliya.
18 Jéhu rassembla tout le peuple et leur dit: « Achab a un peu servi Baal, mais Jéhu le servira beaucoup.
Kisha Yehu akawakusanya watu wote akwaambia, “Ahabu alimtumikia Baali kidogo, lakini Yehu atamtumikia sana.
19 Maintenant, appelez-moi tous les prophètes de Baal, tous ses adorateurs et tous ses prêtres. Que personne ne soit absent, car j'ai un grand sacrifice à offrir à Baal. Celui qui sera absent ne vivra pas. » Mais Jéhu agit de manière trompeuse, avec l'intention de détruire les adorateurs de Baal.
Basi niitieni manabii wote wa Baali, wote wamwabuduo, na makuhani wake wote. Asikosekane mtu hata mmoja, kwa kuwa nina dhabihu kubwa nataka kutoa kwa Baali. Yeyote atakayeshindwa kuja hataishi.” Lakini Yehu alifanya haya kwa udanganyifu, kwa dhamira ya kuwaua wanaomwabudu Baali.
20 Jéhu a dit: « Sanctifiez une assemblée solennelle pour Baal! » Et ils le proclamèrent.
Yehu akasema, “Tengeni mda tuwe na mkutano kwa ajili ya Baali.” Hivyo wakalitangaza.
21 Jéhu envoya par tout Israël; et tous les adorateurs de Baal vinrent, de sorte qu'il ne resta pas un homme qui ne vint pas. Ils entrèrent dans la maison de Baal, et la maison de Baal fut remplie d'un bout à l'autre.
Kisha Yehu akatuma Israeli yote na wamwabuduo Baali waje, hivyo basi hakuna mtu hata mmoja ambaye aliacha kuja. Walikuja kwenye hekalu la Baali, na ilijaa kutoka mwanzo hadi mwisho.
22 Il dit à celui qui gardait l'armoire: « Sortez des robes pour tous les adorateurs de Baal! ». Il leur apporta donc des robes.
Yehu akamwambia yule mtu aliyekuwa anatunza kabati la nguo za makuhani, “Uwatolee mavazi wote wamwabuduo Baali.” Basi yule mtu akawatolea nguo.
23 Jéhu entra avec Jéhonadab, fils de Réchab, dans la maison de Baal. Il dit alors aux adorateurs de Baal: « Cherchez, et voyez qu'il n'y a ici avec vous aucun des serviteurs de Yahvé, mais seulement les adorateurs de Baal. »
Basi Yehu akaingia pamoja na Yohonadabu mwana wa Rekabu kwenye nyumba ya Baali, na kisha akawaambia wanaomwabudu Baali, “Tafuteni na muhahakishe kwamba hakuna mtu hapa pamoja na ninyi kutoka watumishi wa Yahwe, lakini wamwabuduo Baali peke yao.”
24 Et ils entrèrent pour offrir des sacrifices et des holocaustes. Or Jéhu s'était désigné quatre-vingts hommes à l'extérieur, et il avait dit: « Si l'un des hommes que je livre entre tes mains s'échappe, celui qui le laissera partir en aura pour sa vie. »
Kisha wakaenda kutoa dhabihu na sadaka ya kutekeza. Basi Yehu alichagua watu themanini ambao walikuwa wamesimama nje, na aliwaambia, Kama mtu yeyote miongoni mwa hawa watu ambao nimewaleta kwenye mikono yenu atoroke, yeyote atakayemwacha huyo mtu atoroke, maisha yake yatachukuliwa kwa ajili ya yule aliyeokoka.”
25 Dès qu'il eut fini d'offrir l'holocauste, Jéhu dit à la garde et aux chefs: « Entrez et tuez-les! Que personne n'échappe. » Ils les frappèrent donc du tranchant de l'épée. La garde et les chefs jetèrent les cadavres dehors et allèrent dans le sanctuaire intérieur de la maison de Baal.
Hivyo kisha baada ya mda mfupi Yehu alipomaliza kutoa sadaka ya kutekezwa, akamwambia mlinzi na manahodha, “Ingieni na muwaue. Msimwache mtu yeyote atoke.” Basi waliwaua kwa makali ya upanga, na mlinzi na manahodha wakawatupa nje na kwenda kwenye chumba cha ndani cha nyumba ya Baali.
26 Ils sortirent les colonnes qui étaient dans la maison de Baal et les brûlèrent.
Wakazitoa nguzo za mawe ambazo zilikuwa kwenye nyumba ya Baali, na kisha kuzichoma.
27 Ils démolirent la colonne de Baal, ils démolirent la maison de Baal, et ils en firent une latrine, jusqu'à ce jour.
Kisha wakazivunja zile nguzo za Baali, na kuiharibu nyumba ya Baali na kuifanya choo, ambacho kipo hadi leo.
28 Ainsi Jéhu détruisit Baal hors d'Israël.
Hivi ndivyo ambavyo Yehu alivyomharibu muabudu Baali kutoka Israeli.
29 Cependant, Jéhu ne se détourna pas des péchés de Jéroboam, fils de Nebat, par lesquels il avait fait pécher Israël, à savoir les veaux d'or qui étaient à Béthel et ceux qui étaient à Dan.
Lakini Yehu hakuacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati, ambayo ilfanya Israeli kutenda dhambi-ambayo ni, kumwabudu ndama wa dhahabu katika Betheli na Dani.
30 Yahvé dit à Jéhu: « Parce que tu as bien exécuté ce qui est juste à mes yeux, et que tu as fait à la maison d'Achab tout ce qui était dans mon cœur, tes descendants s'assiéront sur le trône d'Israël jusqu'à la quatrième génération. »
Hivyo Yahwe akamwambia Yehu, “Kwa kuwa umefanya vema kwa kufanya yaliyo sahihi kwenye macho yangu, na kumailiza kwenye nyumba ya Ahabu kulingana na yote yaliyokuwa kwenye moyo wangu, uzao wako utakaa kwenye kiti cha Israeli hadi kizazi cha nne.”
31 Mais Jéhu ne prit pas garde de marcher de tout son cœur dans la loi de Yahvé, le Dieu d'Israël. Il ne s'est pas détourné des péchés de Jéroboam, par lesquels il avait fait pécher Israël.
Lakini Yehu hakujali kutembea kwenye sheria ya Yahwe, Mungu wa Israeli, kwa moyo wake wote. Hakugeuka kutoka kwenye dhambi za Yeroboamu, ambayo iliwafanya Israeli kutende dhambi.
32 En ces jours-là, l'Éternel commença à retrancher des parties d'Israël, et Hazaël les frappa dans tout le territoire d'Israël
Siku zile Yahwe akaanza kupunguza mikoa ya Israeli, na Hazaeli kuwashinda Waisraeli mipakani mwa Israeli,
33 depuis le Jourdain vers l'orient, tout le pays de Galaad, les Gadites, les Rubénites et les Manassites, depuis Aroër, qui est près du torrent de l'Arnon, jusqu'à Galaad et Basan.
kutoka Yordani upande wa mashariki, nchi yote ya Gileadi, Wagadi, na Wareubeni, na Wamanase, kutoka Aroeri, alipo karibu na bonde la Arnoni, kupita Geleadi hadi Bashani.
34 Et le reste des actes de Jéhu, et tout ce qu'il a fait, et toute sa puissance, n'est-ce pas écrit dans le livre des chroniques des rois d'Israël?
Kama kwa mambo mengine yamhusuyo Yehu, na yote aliyoyafanya, na ushujaa wake, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
35 Jéhu se coucha avec ses pères, et on l'enterra à Samarie. Joachaz, son fils, régna à sa place.
Yehu akalala na wazee wake, na walimzika katika Samaria. Kisha Yehoahazi mwanaye akawa mfalme katika sehemu yake.
36 Le temps que Jéhu régna sur Israël à Samarie fut de vingt-huit ans.
Mda ambao Yehu alitawala juu ya Israeli katika Samaria ulikuwa miaka ishini na nane.