< 2 Chroniques 21 >

1 Josaphat se coucha avec ses pères et fut enterré avec ses pères dans la ville de David; et Joram, son fils, régna à sa place.
Yehoshafati akalala pamoja na babu zake na akizikwa pamoaja nao katika mji wa Daudi;
2 Il avait des frères, les fils de Josaphat: Azaria, Jehiel, Zacharie, Azaria, Michel et Schephatia. Tous ceux-là étaient les fils de Josaphat, roi d'Israël.
Yehoramu, mwanaye, akawa mfalme katika nafasi yake. Yehoramu alikuwa na ndugu, wana wa Yehoshafati: Azaria, Yerieli, Zekaria, Azaria, Mikaeli, na Shefatia. Wote hawa walikuwa wana wa Yehoshafati, mfalme wa Israeli.
3 Leur père leur fit de grands dons en argent, en or et en objets précieux, ainsi que des villes fortifiées en Juda; mais il donna la royauté à Joram, parce qu'il était le premier-né.
Baba yao alikuwa amewapa zawadi kubwa ya fedha, dhahabu, na vitu vingine vya thamani, na miji yenye ngome katika Yuda, lakini kiti cha enzi alimpa Yehoramu, kwa sababu alikuwa mzaliwa wake wa kwanza.
4 Or, lorsque Joram s'éleva sur le royaume de son père et qu'il se fortifia, il tua par l'épée tous ses frères, et aussi quelques-uns des princes d'Israël.
Sasa Yehoramu alipokuwa ameinuka katika ufalme wa baba yake na kujiimarisha mwenyewe kama mfalme, akawaua ndugu zake wote kwa upanga, na pia viongizi wengine mbali mbali wa Israeli.
5 Joram avait trente-deux ans lorsqu'il devint roi, et il régna huit ans à Jérusalem.
Yehoramu alikuwa na umri wa mika thelathini na mbili alipoanza kutawala, na akatawala kwa miaka minane katika Yerusalemu.
6 Il marcha dans la voie des rois d'Israël, comme la maison d'Achab, car il avait pour femme la fille d'Achab. Il fit ce qui est mal aux yeux de l'Éternel.
Akatembea katika njia za wafalme wa Israeli, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa ikifanya, kwa maana alikuwa na binti Ahabu kama mke wake, na akafanya yaliyo maovu katika macho ya Yahwe.
7 Mais Yahvé ne voulut pas détruire la maison de David, à cause de l'alliance qu'il avait conclue avec lui, et parce qu'il avait promis de lui donner une lampe, à lui et à ses enfants, pour toujours.
Vile vile, Yahwe hakutaka kuiangamiza nyumba ya Daudi, kwa sababu ya agano ambalo alikuwa amefanya na Daudi; alikuwa ameahidi kwamba siku zote angetoa uzima kwa ajili yake na kwa ajili ya vizazi vyake.
8 De son temps, Édom se révolta de dessous la main de Juda, et se fit un roi.
Katika siku za Yehoramu, Edomu wakaasi wasiwe chini ya Yuda, na wakajisimamishia mfalme juu yao.
9 Et Joram s'y rendit avec ses chefs et tous ses chars avec lui. Il se leva de nuit et frappa les Edomites qui l'entouraient, ainsi que les chefs des chars.
Kisha Yeroboamu akavuka ng'ambo pamoja na maakida na magari yake yote. Ilikuwa usiku aliposimama na kupigana dhidi ya Waedomu ambao walikuwa wamemzunguka na maakida wa magari yake.
10 Ainsi, jusqu'à ce jour, Édom s'est révolté sous la main de Juda. En même temps, Libna se révolta de sous sa main, parce qu'il avait abandonné Yahvé, le Dieu de ses pères.
Kwa hiyo Edomu iliasi kutoka kuwa chini ya Yuda mpaka leo. Libna pia aliasi wakati ule ule wasiwe chini yake. Kwa sababu Yehoramu alikuwa amemsahau Yahwe, Mungu wa babu zake.
11 Il fit aussi des hauts lieux dans les montagnes de Juda, il poussa les habitants de Jérusalem à se prostituer, et il égara Juda.
Zaidi ya hayo, Yehoramu pia alikuwa amezijenga sehemu zake za juu katika milma ya Yuda na akawafanya wakaaji wa Yuda kuishi kama makahaba, na akawaongoza Yuda katika upotevu.
12 Une lettre lui fut adressée par le prophète Élie, en ces termes: « Yahvé, le Dieu de David, ton père, dit: 'Parce que tu n'as pas suivi la voie de Josaphat, ton père, ni celle d'Asa, roi de Juda,
Barua kutoka kwa nabii Eliya ikaja kwa Yerohamu. Ilisema, “Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Daudi, babu yako, anasema: Kwa sababu hujatembea katika njia za Yehoshafafati, baba yako, wala katika njia za Asa, mfalme wa Yuda,
13 mais que tu as suivi la voie des rois d'Israël, tu as fait de Juda et des habitants de Jérusalem des prostitués comme la maison d'Achab, et tu as tué tes frères de la maison de ton père, qui étaient meilleurs que toi,
bali umetembea katika njia za wafalme wa Israeli, na umewafanya Yuda na wakaaji wa Yerusalemu kuenenda kama kahaba, kama nyumba ya Ahabu walivyofanya—na kwa sababu pia umewaua ndugu zako katika familia ya baba yako kwa upanga, watu waliokuwa bora kuliko wewe mwenyewe—
14 voici, Yahvé frappera ton peuple d'une grande plaie, avec tes enfants, tes femmes et tous tes biens;
ona, Yahwe atawapiga watu wako na pigo kubwa, watoto wako, wake zako, na mali zako zote.
15 et vous serez atteints d'une grande maladie des entrailles, jusqu'à ce que vos entrailles tombent de jour en jour à cause de la maladie.'"
Wewe mwenyewe utakuwa na ugonjwa mwingi kwa sababu ya ugonjwa kataika katika utumbo wako, mpaka utumbo wako uanguke nje kwa sababu ya ugonjwa, siku baada ya siku.
16 Yahvé excita contre Joram l'esprit des Philistins et des Arabes qui sont à côté des Éthiopiens,
Yahwe akaichochea roho ya Wafilisiti dhidi ya Yuda na ya Waarabu waliokuwa karibu na Waethipia.
17 et ils montèrent contre Juda, y firent irruption et emportèrent tous les biens qui se trouvaient dans la maison du roi, y compris ses fils et ses femmes, de sorte qu'il ne lui resta plus d'autre fils que Joachaz, le plus jeune de ses fils.
Wakaivamia Yuda, wakavamia katika nyumba ya mfalme. Pia wakawachukua wanaye na wake zake. Hakuna mwana aliyebakizwa kwa ajili yake ispokuwa, Yehoshafati, mwanaye mdogo.
18 Après tout cela, Yahvé le frappa aux entrailles d'une maladie incurable.
Baada ya haya yote, Yahwe akampiga katika utumbo wake kwa ugonjwa usiopona.
19 Avec le temps, au bout de deux ans, ses entrailles tombèrent à cause de sa maladie, et il mourut de maladies graves. Son peuple ne fit pas pour lui de brûlure, comme celle de ses pères.
Ikawa wakati ulipofika, katika mwisho wa miaka miwili, kwamba utumbo wake ukaaanguka nje kwa sababu ya ugonjwa wake, na kwamba akafa kwa ugonjwa mkali. Watu wake hawakutengeneza moto kwa ajili ya heshima yake kama walivyokuwa wamefanyia babu zake.
20 Il avait trente-deux ans lorsqu'il devint roi, et il régna huit ans à Jérusalem. Il s'en alla sans que personne ne le regrette. On l'enterra dans la ville de David, mais pas dans les tombeaux des rois.
Alikuwa ameanza kutawala alipokuwa na umrai wa miaka thelatahini na mbaili; akatawala katika Israeli kwa miaka minane, na alikufa bila kuaombolezwa. Wakamzika katika mji wa Daudi, lakini siyo katika makaburi ya kifalme.

< 2 Chroniques 21 >